Davina: Kuna Wakati Natamani…
“MOYO wangu umegandwa na mavumbi, macho yamepofuka kwa machozi, kwani mateso yangu hayapimiki kwa mizani, kila mtu ananihukumu kwa uongo na hadithi za kutunga juu ya ndoa yangu pasipo kujua ukweli,” ndivyo anavyoanza kusimulia staa wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ akielezea wakati mgumu anaokutana nao baada ya kuwepo na mgogoro kwenye ndoa yake.
Akizungumza kwa njia ya simu na mwandishi wetu hivi karibuni, msanii huyo alisema kila mahali anapopita ananyooshewa vidole kwa watu...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a8ZZitQ2zfWAdbW8Y64B*rsn1lBTBM7slmj-Izk-zR7z3uhfkNAq9-2qrtVmP47aMMwFUdIXnyo4SEHFgRpkPX8KVcRFyj2o/Davina.gif?width=650)
DAVINA: KUNA WAKATI NATAMANI KUJITOA UHAI!
10 years ago
Bongo Movies07 Jul
Davina : Natamani Kuchepuka Ila Nashindwa
Staa wa bongo movies, Halima Yahaya ‘Davina’ amekiri kuwa makundi huwa yanaharibu watu walio kwenye ndoa kwa kuwalaghai kwamba wakaonje nje kwa lengo la kuangalia radha nyingine hali amabayo wakati mwingine mawazo hayo humjia lakini ghafla huhisi kaama mumewe atamuona na kuhatarisha ndoa yake.
Akizungimza na Tanuru la Filamu , Davina alisema kwamba alipata wakati mgumu wakati wakuigiza filamu ya SHANTA inayotarajiwa kuingia sokoni wiki hii ambayo alicheza kama mke wa mtu ambaye ...
11 years ago
GPLKUNA WAKATI MAKONDA HAWANA HATIA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8qIoio0GTJNHUPvcGtdSdvYV83Iq7PB-IOPOm4wQFjpo4jWy*k25QdjhBpVyBC0Xnh2niFdLUE9tsKw2hkZsyvoRGAlHBTTY/mahaba.jpg)
KUNA WAKATI HISIA ZA KUPENDA, MSISIMKO HUPOTEA!-4
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ea4x8ggFHeLF6oaRjqh2a3ZqmulOw-cgX2ONCI5t6h0zo*jwXM7RgwS5cTfIz9azO*k4eD6VgDjkRxMd0V3oE4JlX0gFZVaJ/mahaba.jpg)
KUNA WAKATI HISIA ZA KUPENDA, MSISIMKO HUPOTEA!-3
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPtJp9vtCwtjRcoDatpCPe*rCuV1CDYCE9XIw3ojpxSkVIHE-uDd2pUE8U3slb52ywetE3Q7PMQZ7pP-C3GynU5M/mahaba.jpg)
KUNA WAKATI HISIA ZA KUPENDA, MSISIMKO HUPOTEA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hlBnt738bkzM7JCNIwV9Z7Z0EOLibwmZIhtXWVRg1enk2a7bCWyidYJNa3IsknBMutPAH123wFkkUtrd7e-BECSdmg0UgbuH/MAHABA.jpg)
KUNA WAKATI HISIA ZA KUPENDA, MSISIMKO HUPOTEA!-2
10 years ago
Bongo Movies20 Apr
Davina Akanusha Habari “Davina Amchokonoa Wema” Adai ni Uchonganishi
Staa wa bongo movies, Halima Yahaya ‘Davina’ ameonyesha kushitushwa na habari zilizoripotiwa leo nagezeti moja la udaku limeripoti habari yenye kishwa cha habari “Davina Amchokokoa Wema” kitu ambacho Davina amedai ni uchanganishi kati yake na Staa mwenzake Wema Sepetu.
Gazeti hilo limedai kuwa Davina alisema kuwa anamshukuru Mungu kwa mawanae kutimiza miaka miwili kwani kuna watu wanatafuta watoto mpaka sasa hawajapata.
Davina aliyaongea hayo katika birthday ya mwanae iliyofanyika ...