Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUNA WAKATI HISIA ZA KUPENDA, MSISIMKO HUPOTEA!

NI somo gumu kidogo lakini ni vizuri kulijadili maana linajenga na kustawisha uhusiano. Wengi huogopa kujifunza kuhusu hili. Ndugu zangu huu ni ugonjwa, tena hatari sana kwenye uhusiano. Kuna watu wapo kwenye uhusiano na wenzi ambao wamepoteza msisimko wa mapenzi. Yaani wanashindwa kuwa na uwezo wa kupenda. Upo uwezekano kwamba, hukumwelewa vizuri mpenzi wako mwanzoni, lakini sasa unagundua kwamba amepoteza uwezo wa kupenda....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KUNA WAKATI HISIA ZA KUPENDA, MSISIMKO HUPOTEA!-2

KUPENDA ni hisia za ndani. Hata siku moja, mtu hawezi kulazimisha kupenda. Ni mpaka moyo wake uamue wenyewe. Wakati fulani hisia hizo hutoweka. Kwa bahati mbaya ni kwamba, wakati hisia za kupenda na msisimko wa mapenzi vikiondoka, mhusika huwa hana taarifa. Ni wachache sana hujigundua.
Wengi hujikuta tu– tena wenzi wao ndiyo hugundua mapema na huathiriwa na mabadiliko hayo kuliko wahusika wenyewe. Hata hivyo hao...

 

11 years ago

GPL

KUNA WAKATI HISIA ZA KUPENDA, MSISIMKO HUPOTEA!-4

TATIZO la kupoteza hisia za kupenda ni kubwa kwenye uhusiano. Hiyo ndiyo sababu nimetoa nafasi katika ukurasa huu kujadili kuhusiana na mada hiyo. Nimeshaandika mengi, leo katika sehemu ya mwisho nitakazia zaidi kwenye kumtibu mpenzi aliyeathiriwa na tatizo hilo. Bila kupoteza muda, twende kwenye vipengele vilivyobaki. USIFIKIRIE KUACHANA
Kuna tofauti kubwa kati ya usaliti na kupoteza msisimko. Aliyepoteza msisimko siyo kwamba...

 

11 years ago

GPL

KUNA WAKATI HISIA ZA KUPENDA, MSISIMKO HUPOTEA!-3

NAFURAHI kuona kwamba somo limepokelewa vizuri na wadau na wengi wameonekana kulielewa vizuri zaidi. Marafiki wamejitokeza kwa wingi kuuliza maswali kwa njia mbalimbali huku wengine wakihitaji ushauri. Ni wengi sana. Marafiki, kiukweli inakuwa vigumu kuwafikia wote, kama ulinitumia meseji sijakujibu, tafadhali usikasirike. Zipo nyingi sana. Kitu kimoja nikuhakikishie, majibu ya maswali yote utayapata katika mada hii. Jambo kubwa...

 

11 years ago

GPL

HISIA NA MSISIMKO UNAVYO-POTEA KATIKA MAPENZI!

WAKATI fulani unatakiwa kujihakikishia kuwa, mke au mume uliyenaye anakuwa wako wa maisha yako yote. Kuapa tu mbele ya viongozi wa dini, kuwa atakuwa wako, haitoshi! Kuna mengi zaidi ya kufanya. Kazi ya viongozi wa dini, mila au serikali ni kuwaunganisha tu. Kazi yao humalizikia hapo, sasa suala la furaha ya ndoa ni kazi yenu wenyewe kama wanandoa mkiwa ndani. Ndugu zangu, hivi umeshawahi kujiuliza; kwa nini mwanandoa anatoka...

 

10 years ago

Bongo Movies

Davina: Kuna Wakati Natamani…

“MOYO wangu umegandwa na mavumbi, macho yamepofuka kwa machozi, kwani mateso yangu hayapimiki kwa mizani, kila mtu ananihukumu kwa uongo na hadithi za kutunga juu ya ndoa yangu pasipo kujua ukweli,” ndivyo anavyoanza kusimulia staa wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ akielezea wakati mgumu anaokutana nao baada ya kuwepo na mgogoro kwenye ndoa yake.

Akizungumza kwa njia ya simu na mwandishi wetu hivi karibuni, msanii huyo alisema kila mahali anapopita ananyooshewa vidole kwa watu...

 

11 years ago

GPL

KUNA WAKATI MAKONDA HAWANA HATIA

NIANZE kwa kuwasalimu kwa heshima na taadhima maanko, wakati huu macho na masikio yetu, kwa mara nyingine yakiwa Dodoma, kwenye ule mjengo maarufu, ambako waheshimiwa wasiozidi 400 wako kujadili mustakabali wa uhai wetu kama taifa la watu milioni 45. Kule wanaizungumzia bajeti ya serikali kwa mwaka ujao wa fedha. Ninajua mnajua kuwa mwaka wa serikali huanza Julai, kwa hiyo wale wawakilishi wetu tuliowachagua kwenye ule uchaguzi...

 

11 years ago

GPL

FULL MSISIMKO FULL MSISIMKO TAMASHA LA MATUMAINI 2014

HAPATOSHI! Unaweza sema hivyo kwa maana nyingine wakati lile tamasha kubwa la kihistoria linalosubiriwa kwa hamu kubwa lijulikanalo kama Usiku wa Matumaini litakapowakutanisha bondia Thomas Mashali na Mada Maugo huku staa wa Bongo Fleva Ali Kiba akiwapagawisha mashabiki Agosti 8, mwaka huu (Sikukuu ya Nanenane) ndani ya Uwanja wa Taifa. Akizungumza na Mikito Nusunusu, mratibu wa tamasha hilo kubwa, Luqman Maloto alisema kuwa...

 

10 years ago

GPL

DAVINA: KUNA WAKATI NATAMANI KUJITOA UHAI!

BRIGHTON MASALU “MOYO wangu umegandwa na mavumbi, macho yamepofuka kwa machozi, kwani mateso yangu hayapimiki kwa mizani, kila mtu ananihukumu kwa uongo na hadithi za kutunga juu ya ndoa yangu pasipo kujua ukweli,” ndivyo anavyoanza kusimulia staa wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ akielezea wakati mgumu anaokutana nao baada ya kuwepo na mgogoro kwenye ndoa yake. ...Soma...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Changamoto ya kuosha mikono wakati kuna uhaba wa maji

Fahamu namna ya kuhifadhi maji kwa matumizi ya baadaye

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani