Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUNA WAKATI MAKONDA HAWANA HATIA

NIANZE kwa kuwasalimu kwa heshima na taadhima maanko, wakati huu macho na masikio yetu, kwa mara nyingine yakiwa Dodoma, kwenye ule mjengo maarufu, ambako waheshimiwa wasiozidi 400 wako kujadili mustakabali wa uhai wetu kama taifa la watu milioni 45. Kule wanaizungumzia bajeti ya serikali kwa mwaka ujao wa fedha. Ninajua mnajua kuwa mwaka wa serikali huanza Julai, kwa hiyo wale wawakilishi wetu tuliowachagua kwenye ule uchaguzi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

UKWELI MCHUNGU: WAPINZANI HAWANA SIFA ZA KUONGOZA NCHI (A COMPARATIVE ANALYSIS) - PAUL MAKONDA

Paul Makonda (UVCCM). SIASA ama chama chochote cha siasa ni zao la falsafa. Kuwa Mwanasiasa bila kuwa na falsafa ama kuwa na Chama cha Siasa ambacho hakina msingi wa falsafa ni kasoro kubwa ambayo hufanya mwanasiasa ama Chama Cha Siasa kutofanikiwa katika lengo lake kuu. Kukosa falsafa kunasababisha Mwanasiasa ama Chama Cha Siasa kutokuwa na dira ya kuifuata na matokeo yake ni kufanya siasa inayoegemea katika matukio na kukosoa...

 

9 years ago

MillardAyo

DC MAKONDA kawageukia wakandarasi wa barabara..Kuna ufisadi? stori iko hapa!!

Ile kauli ya Rais kuhakikisha anapunguza matumizi yasiyo yalazima kwa Serikali imeendelea kuchukua headlines, pia tumeshuhudia baadhi ya viongozi wakisimamishwa kazi kutokana na matumizi mabaya ya fedha za umma Leo Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda amewageukia wakandarasi wa barabara za Manispaa yake ambao imeonekana wametumia kiasi cha fedha za umma kinyume na makubaliano. […]

The post DC MAKONDA kawageukia wakandarasi wa barabara..Kuna ufisadi? stori iko hapa!! appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Dar kuna wasanii wengi wakali ila wengi hawana nidhamu — Producer T-Touch

Miongoni mwa vitu vinavyoikamilisha ‘package’ ya msanii mzuri ukiachilia mbali kipaji ni pamoja na nidhamu ya kazi, pamoja na watu wanaomzunguka msanii wakiwemo mashabiki. Producer T-Touch amesema kuwa msanii bila kuwa na nidhamu ni ngumu kufanya vizuri hata kama ana kipaji. Akizungumza kupitia Planet Bongo ya EA Radio producer huyo aliyefanya hits ikiwemo ‘Muziki Gani’ […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Davina: Kuna Wakati Natamani…

“MOYO wangu umegandwa na mavumbi, macho yamepofuka kwa machozi, kwani mateso yangu hayapimiki kwa mizani, kila mtu ananihukumu kwa uongo na hadithi za kutunga juu ya ndoa yangu pasipo kujua ukweli,” ndivyo anavyoanza kusimulia staa wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ akielezea wakati mgumu anaokutana nao baada ya kuwepo na mgogoro kwenye ndoa yake.

Akizungumza kwa njia ya simu na mwandishi wetu hivi karibuni, msanii huyo alisema kila mahali anapopita ananyooshewa vidole kwa watu...

 

10 years ago

GPL

DAVINA: KUNA WAKATI NATAMANI KUJITOA UHAI!

BRIGHTON MASALU “MOYO wangu umegandwa na mavumbi, macho yamepofuka kwa machozi, kwani mateso yangu hayapimiki kwa mizani, kila mtu ananihukumu kwa uongo na hadithi za kutunga juu ya ndoa yangu pasipo kujua ukweli,” ndivyo anavyoanza kusimulia staa wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ akielezea wakati mgumu anaokutana nao baada ya kuwepo na mgogoro kwenye ndoa yake. ...Soma...

 

11 years ago

GPL

KUNA WAKATI HISIA ZA KUPENDA, MSISIMKO HUPOTEA!-2

KUPENDA ni hisia za ndani. Hata siku moja, mtu hawezi kulazimisha kupenda. Ni mpaka moyo wake uamue wenyewe. Wakati fulani hisia hizo hutoweka. Kwa bahati mbaya ni kwamba, wakati hisia za kupenda na msisimko wa mapenzi vikiondoka, mhusika huwa hana taarifa. Ni wachache sana hujigundua.
Wengi hujikuta tu– tena wenzi wao ndiyo hugundua mapema na huathiriwa na mabadiliko hayo kuliko wahusika wenyewe. Hata hivyo hao...

 

11 years ago

GPL

KUNA WAKATI HISIA ZA KUPENDA, MSISIMKO HUPOTEA!

NI somo gumu kidogo lakini ni vizuri kulijadili maana linajenga na kustawisha uhusiano. Wengi huogopa kujifunza kuhusu hili. Ndugu zangu huu ni ugonjwa, tena hatari sana kwenye uhusiano. Kuna watu wapo kwenye uhusiano na wenzi ambao wamepoteza msisimko wa mapenzi. Yaani wanashindwa kuwa na uwezo wa kupenda. Upo uwezekano kwamba, hukumwelewa vizuri mpenzi wako mwanzoni, lakini sasa unagundua kwamba amepoteza uwezo wa kupenda....

 

11 years ago

GPL

KUNA WAKATI HISIA ZA KUPENDA, MSISIMKO HUPOTEA!-3

NAFURAHI kuona kwamba somo limepokelewa vizuri na wadau na wengi wameonekana kulielewa vizuri zaidi. Marafiki wamejitokeza kwa wingi kuuliza maswali kwa njia mbalimbali huku wengine wakihitaji ushauri. Ni wengi sana. Marafiki, kiukweli inakuwa vigumu kuwafikia wote, kama ulinitumia meseji sijakujibu, tafadhali usikasirike. Zipo nyingi sana. Kitu kimoja nikuhakikishie, majibu ya maswali yote utayapata katika mada hii. Jambo kubwa...

 

11 years ago

GPL

KUNA WAKATI HISIA ZA KUPENDA, MSISIMKO HUPOTEA!-4

TATIZO la kupoteza hisia za kupenda ni kubwa kwenye uhusiano. Hiyo ndiyo sababu nimetoa nafasi katika ukurasa huu kujadili kuhusiana na mada hiyo. Nimeshaandika mengi, leo katika sehemu ya mwisho nitakazia zaidi kwenye kumtibu mpenzi aliyeathiriwa na tatizo hilo. Bila kupoteza muda, twende kwenye vipengele vilivyobaki. USIFIKIRIE KUACHANA
Kuna tofauti kubwa kati ya usaliti na kupoteza msisimko. Aliyepoteza msisimko siyo kwamba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani