Mzee wa Kujitoa natamani liundwe Bunge jipya la Katiba!
UUUWIIII! Nasikia kuna dalili kwamba wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba wanaweza sasa kupewa likizo ya muda. Hayo si ya Mzee wa Kujitoa, nilimsikia mwenyewe kwenye vyombo vya habari Waziri...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a8ZZitQ2zfWAdbW8Y64B*rsn1lBTBM7slmj-Izk-zR7z3uhfkNAq9-2qrtVmP47aMMwFUdIXnyo4SEHFgRpkPX8KVcRFyj2o/Davina.gif?width=650)
DAVINA: KUNA WAKATI NATAMANI KUJITOA UHAI!
BRIGHTON MASALU
“MOYO wangu umegandwa na mavumbi, macho yamepofuka kwa machozi, kwani mateso yangu hayapimiki kwa mizani, kila mtu ananihukumu kwa uongo na hadithi za kutunga juu ya ndoa yangu pasipo kujua ukweli,†ndivyo anavyoanza kusimulia staa wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ akielezea wakati mgumu anaokutana nao baada ya kuwepo na mgogoro kwenye ndoa yake. ...Soma...
10 years ago
Michuzi04 Sep
TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA
Sisi Wawakilishi wa Jumuiya na Taasisi za Dini, tuliopendekezwa na Taasisi zetu na baadaye kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kushauriana na Rais wa Zanzibar kuwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, na kula kiapo cha utekelezaji wa jukumu hili kubwa.Tukiamini kuandaa Katiba Mpya kwa maridhiano ya Kitaifa kwa wananchi wote, tulipokea jukumu hili kama wajibu wetu Kitaifa. Aidha tunaamini kwamba katika kupata maridhiano ya Kitaifa ni muhimu kuheshimu kila wazo na...
9 years ago
Mwananchi10 Nov
Bunge jipya, mzigo zaidi
Wakati ikisaka njia za kubana matumizi kuokoa fedha, Serikali ya Awamu ya Tano itakuwa na kazi ya kulipia gharama za uendeshaji zilizosababishwa na kuongezeka kwa wabunge 36 zaidi kwenye Bunge la Kumi na Moja lililopangwa kuanza Novemba 17 mjini Dodoma.
9 years ago
Mwananchi15 Nov
Bunge jipya lisimamie vizuri Serikali
Bunge la Kumi na Moja la Jamhuri ya Muungano litasimikwa rasmi kuanzia Jumanne wakati litakapomchagua Spika, baadaye wabunge kuapishwa kabla ya kuridhia uteuzi wa Waziri Mkuu na siku inayofuata Rais kulihutubia.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-J7TyexRp0RY/UviSjsMHrHI/AAAAAAAFMDE/xs4iWf62rJE/s72-c/1.jpg)
UKUMBI WA BUNGE LA KATIBA: Sekretarieti ya Bunge la Katiba kukabidhiwa Ukumbi Jumatano
![](http://2.bp.blogspot.com/-J7TyexRp0RY/UviSjsMHrHI/AAAAAAAFMDE/xs4iWf62rJE/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-o5sZn-mfKy8/UviSkzUUgII/AAAAAAAFMDY/kBeYxCxYVLA/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AV9UXPlH8_A/UviSl8oAIjI/AAAAAAAFMDk/Zlh5ap4Atqo/s1600/3.jpg)
11 years ago
Michuzi20 Feb
taswira mbalimbali za WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-jyUmlW2B5UM/UwYVaXuz21I/AAAAAAACprg/y0XD14-INGE/s1600/mtanda.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-15UcnFNNLik/UwYVcoRJp-I/AAAAAAACprw/eOOpdzCRJHA/s1600/WMK.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-FJdD5nbXlWw/UwYVS8qkz6I/AAAAAAACprY/5a9HX2w8teI/s1600/2B.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Gb_hmItxCFM/U_yjdqFoofI/AAAAAAAGCiU/p2LUak-hf6c/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
Ofisi ya Bunge yatoa ufafanuzi kuhusu malipo ya posho za Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba
OFISI ya Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma, imetoa ufafanuzi juu ya taarifa zilizotolewa kwenye vyombo vya habari kuhusu kuchelewa kwa malipo ya posho za Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba.
Ufafanuzi huo umetolewa leo na Mkurugenzi wa Habari na Itifaki Bw. Jossey Mwakasiyuka wakati alopokutana na waandishi wa habari kwa lengo la kutolea ufafanuzi kuhusiana na taarifa hizo zilizoikera ofisi hiyo ya Bunge Maalum.
Mwakasyuka amevieleza vyombo vya habari kuwa, ofisi ya Bunge Maalum imekerwa na...
Ufafanuzi huo umetolewa leo na Mkurugenzi wa Habari na Itifaki Bw. Jossey Mwakasiyuka wakati alopokutana na waandishi wa habari kwa lengo la kutolea ufafanuzi kuhusiana na taarifa hizo zilizoikera ofisi hiyo ya Bunge Maalum.
Mwakasyuka amevieleza vyombo vya habari kuwa, ofisi ya Bunge Maalum imekerwa na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania