Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge jipya lisimamie vizuri Serikali

Bunge la Kumi na Moja la Jamhuri ya Muungano litasimikwa rasmi kuanzia Jumanne wakati litakapomchagua Spika, baadaye wabunge kuapishwa kabla ya kuridhia uteuzi wa Waziri Mkuu na siku inayofuata Rais kulihutubia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Bunge jipya, mzigo zaidi

Wakati ikisaka njia za kubana matumizi kuokoa fedha, Serikali ya Awamu ya Tano itakuwa na kazi ya kulipia gharama za uendeshaji zilizosababishwa na kuongezeka kwa wabunge 36 zaidi kwenye Bunge la Kumi na Moja lililopangwa kuanza Novemba 17 mjini Dodoma.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mzee wa Kujitoa natamani liundwe Bunge jipya la Katiba!

UUUWIIII! Nasikia kuna  dalili kwamba wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba wanaweza sasa kupewa likizo ya muda. Hayo si ya Mzee wa Kujitoa, nilimsikia mwenyewe kwenye vyombo vya habari Waziri...

 

11 years ago

Habarileo

‘Serikali ya Umoja wa Kitaifa inaendelea vizuri’

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed SheinRAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Wawakilishi, Dk Ali Mohamed Shein amesema Serikali ya Umoja wa Kitaifa inaendelea vizuri na kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria.

 

10 years ago

Mwananchi

Baraza jipya la Wazee Chadema laibana Serikali

Baraza jipya la wazee la Chadema limeanza kazi kwa kuitaka Serikali kutangaza ratiba ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.

 

11 years ago

Dewji Blog

Serikali kuwazawadia wanafunzi na shule za msingi na sekondari zinazofanya vizuri

ShukuruKawambwa

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Dkt. Shukuru Kawambwa.

Na Mwandishi Wetu

Katika kutekeleza Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) katika sekta ya Elimu, Serikali itawazawadia wanafunzi na shule zilizofanya vyema katika mitihani ya Elimu ya msingi na Sekondari.

Hayo yamesemwa jijini Dar es Salaam Jumatatu April 14, 2014 na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Dkt. Shukuru Kawambwa alipozungumzia na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya Wiki ya Elimu.

Kwa mujibu wa Dkt....

 

10 years ago

Michuzi

Bunge laridhishwa na utendaji wa serikali, lapitisha taarifa za za Kamati ya Bajeti, Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Hesabu za Serikali (PAC), Miundombinu na Nishati na Madini.

 Na Hussein Makame, MAELEZO, DodomaKAMATI za Bunge za Serikali za Mitaa (LAAC) na ile ya Hesabu za Serikali (PAC), zimeridhishwa na mafanikio na hatua zilizochukuliwa na Serikali kwa kuongeza mapato yake na kushughulikia changamoto zinazoikabili katika kutekelza majukumu yake.

Kufuatia hali hiyo, Bunge limepitisha taarifa za kamati hizo na nyingine tatu, huku Serikali ikiahidi kufanyia kazi yale yote yaliyopendekezwa kwenye taarifa hizo ili kulipeleka Taifa kule kunakotakiwa.

Taarifa za Kamati...

 

5 years ago

Michuzi

Wanawake katika kipindi cha serikali ya awamu ya Tano wamefanya vizuri –Katibu Tawala Makame

*THTU yataka wanawake kufanya kazi kwa umahiri pindi wanapopata nafasi

*Maafisa Rasilamali watakiwa kufuata sheria za upandishaji Vyeo

Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii

Wanawake  wengi waliopata nafasi wameonyesha uwezo wa kufanya vizuri hali ambayo imefanya kubaki katika nafasi zao ikilinganishwa na wanaume kwa kipindi cha miaka mitano.

Hayo aliysema Katibu wa Tawala Wilaya Ilala Jabir Makame katika kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake kwa Chuo cha Biashara (CBE). Makame ambaye...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YA JAMHURI YA KOREA YAKUBALI KUTOA FEDHA KWA AJILI YA UJENZI WA DARAJA JIPYA LA SALENDER

Muonekano wa Daraja jipya la Salenda litaakalopita baharini kuanzia Coco Beachi (Oysterbay) kwenda Hospitali ya Aga Khan (Maeneo ya Ocean Road/ Baraka Obama Road). Daraja hilo pamoja na barabara zake, litakuwa na urefu wa kilomita 7.2 na uwezo wa kupitisha magari zaidi ya 61,000 kwa siku huku likiwa na njia nne za magari pamoja service road njia za waenda kwa miguu kila upandeWaziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli kulia akizungumza na Balozi wa Jamhuri ya Korea nchini, Chung Il...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani