Serikali kuwazawadia wanafunzi na shule za msingi na sekondari zinazofanya vizuri
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Dkt. Shukuru Kawambwa.
Na Mwandishi Wetu
Katika kutekeleza Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) katika sekta ya Elimu, Serikali itawazawadia wanafunzi na shule zilizofanya vyema katika mitihani ya Elimu ya msingi na Sekondari.
Hayo yamesemwa jijini Dar es Salaam Jumatatu April 14, 2014 na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Dkt. Shukuru Kawambwa alipozungumzia na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya Wiki ya Elimu.
Kwa mujibu wa Dkt....
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen20 Apr
Ruzuku ya shule za msingi, sekondari kuiumbua Serikali
9 years ago
StarTV19 Nov
Wizara ya elimu nchini yaombwa kuangalia upya mitaala ya kufundishia wanafunzi wa shule za msingi na sekondari
Wizara ya elimu nchini imeombwa kuangalia upya mitalaa ya kufundishia wanafunzi wa shule za msingi na sekondari ili iwe na uhusiano na mazingira halisi ya Watanzania.
Elimu inayotolewa sasa imekuwa ikilalamikiwa kuwa haimwezeshi mwanafunzi kumudu mazingira yanayomzunguka na badala yake inamsaidia kufaulu kutoka darasa moja kwenda jingine.
Katika mkutano huo Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima, Dokta Fidelis Mafumiko ameyasema hayo jijini Dar es salaam katika mkutano wa kufunga...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fgiAkcyJqiQ/U2wdHIbadGI/AAAAAAAFgZI/xigMBBbjpbs/s72-c/unnamed+(16).jpg)
WIKI YA ELIMU MKOA WA DAR ES SALAAM YAFANA, WANAFUNZI,SHULE ZA SERIKALI NA BINAFSI ZAFANYA VIZURI MITIHANI YA TAIFA MWAKA 2013
![](http://4.bp.blogspot.com/-fgiAkcyJqiQ/U2wdHIbadGI/AAAAAAAFgZI/xigMBBbjpbs/s1600/unnamed+(16).jpg)
10 years ago
MichuziWANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MUHIMBILI 1988 WAIKUMBUKA SHULE YAO.
10 years ago
GPLBAADA YA SHULE YA SEKONDARI YA IFUNDA KUFUNGWA KWA VURUGU UONGOZI WA SHULE HIYO WAWAITA WANAFUNZI 28
10 years ago
Vijimambo08 Oct
FNB YAKABIDHI MADARASA BAADA YA KUFANYIA UKARABATI NA MADAWATI NA MIKOBA YA SHULE KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MSASANI B
![](https://3.bp.blogspot.com/-8ODlrrxpUIo/VDRJ42tYilI/AAAAAAAAOt4/NIP3B_E-UbQ/s1600/IMG_8488fnb.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-ScVFR97yrXU/VDRKJLbdYFI/AAAAAAAAOuA/s9-IdQPPTQU/s1600/IMG_8950fnb.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzJVcnA3Xm0vB8bbcVEW1OnMnjha9QThGx*lVEz8XgxmA3j-uAt61QbIvLAXgt1fLO6EjSFmuAegoTp3DnpfXwDuLeKCzrMI/oya.jpg?width=650)
DENTI SEKONDARI ABAKA MADENTI 3 WA SHULE YA MSINGI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5wu8U2Maqbh3zu*hgtBThrXe9HFhrvFnjtMHLJGfCpsMJqpZBYUIJ11wXOUMx256P-ZkicxZ6EAz1HrjveKvNa7euQLAafHv/JAB.jpg?width=650)
JB: AELEZA MAISHA ALIYOPITIA SHULE YA MSINGI, SEKONDARI
10 years ago
Dewji Blog12 Jan
Pinda aweka jiwe la msingi shule ya sekondari Kibuteni Zanzibar
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza wakati alipoweka jiwe la Masingi la Shule ya Sekondari ya Kibuteni ya Zanzibar ikiwa ni moja ya ya shughuli za Sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar Januari 10, 2015. Kulia kwake ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Ali Juma Shamhuna. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimsikiliza Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali wa Zanzibar,Ali Juma Shamhuna (wapili kulia) baada ya kuweka jiwe la Masingi la Shule ya Sekondari ya...