Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ruzuku ya shule za msingi, sekondari kuiumbua Serikali

Dar es Salaam. Ikiwa imebaki miezi miwili mwaka wa fedha wa 2014/2015 umalizike, Serikali imetoa asilimia tisa tu ya ruzuku kwa shule za msingi na asilimia 22 ya ruzuku kwa shule za sekondari na siyo asilimia 100 kama ilivyoahidi chini ya Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), imeelezwa.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Serikali kuwazawadia wanafunzi na shule za msingi na sekondari zinazofanya vizuri

ShukuruKawambwa

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Dkt. Shukuru Kawambwa.

Na Mwandishi Wetu

Katika kutekeleza Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) katika sekta ya Elimu, Serikali itawazawadia wanafunzi na shule zilizofanya vyema katika mitihani ya Elimu ya msingi na Sekondari.

Hayo yamesemwa jijini Dar es Salaam Jumatatu April 14, 2014 na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Dkt. Shukuru Kawambwa alipozungumzia na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya Wiki ya Elimu.

Kwa mujibu wa Dkt....

 

11 years ago

GPL

DENTI SEKONDARI ABAKA MADENTI 3 WA SHULE YA MSINGI

Gladness Mallya na Deogratius Mongela
UKISTAAJABU ya Musa utayaona ya Firauni! Katika hali isiyo kawaida denti wa kidato cha kwanza aliyetajwa kwa jina moja la Musa anadaiwa kuwabaka wanafunzi watatu wa shule ya msingi hadi kuwaharibu sehemu za siri. Mmoja wa watoto wanaodaiwa kubakwa na mwanafunzi wa sekondari.
Tukio hilo la karne lilitokea Kigogo-Luhanga jijini Dar ambapo denti huyo wa sekondari anayeishi na bibi yake...

 

10 years ago

GPL

JB: AELEZA MAISHA ALIYOPITIA SHULE YA MSINGI, SEKONDARI

Star wa Bongo Movies, Jacob Steven Mbura ‘JB’. JACOB Steven Mbura ‘JB’ anaendelea kusimulia historia ya maisha yake tangu utotoni hadi sasa. Ni simulizi ndefu na tamu isiyochosha kwa vimbwanga na kila aina ya mikasa ya kusisimua na kustaajabisha. Uhondo huu ulianza wiki iliyopita. Kwa wale waliokosa kwa bahati mbaya, tuliweka nukta kwenye kipengele cha michezo mbalimbali aliyoipendelea utotoni, ...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali kutoa ruzuku kwa shule binafsi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard MembeWAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema Serikali inaangalia iwezekano wa kuzipa ruzuku shule binafsi ili ziweze kujiendesha vizuri huku akizimwagia sifa shule za Tusiime kwa kuendelea kufanya vizuri kwa kutoa elimu bora na katika viwango vinavyokubalika kitaifa na kimataifa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda aweka jiwe la msingi shule ya sekondari Kibuteni Zanzibar

PG4A8205

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza wakati alipoweka jiwe la Masingi la  Shule  ya Sekondari ya Kibuteni  ya   Zanzibar ikiwa  ni moja ya ya shughuli za  Sherehe za Mapinduzi  ya Zanzibar Januari 10, 2015. Kulia kwake ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Ali Juma Shamhuna. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

PG4A8187

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimsikiliza  Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali  wa Zanzibar,Ali Juma Shamhuna (wapili kulia) baada ya kuweka  jiwe la Masingi la  Shule  ya Sekondari ya...

 

5 years ago

Michuzi

DC NDEJEMBI AONGOZA ZOEZI LA UJENZI WA MSINGI SHULE YA SEKONDARI, ACHANGIA MIFUKO 10 YA SARUJI

Charles James, Michuzi TV

Mkuu wa Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, Deo Ndejembi hii leo ameongoza zoezi la uchimbaji msingi ujenzi wa Shule ya Sekondari katika Kata ya Chamkoroma wilayani humo ambayo ikikamilika itakua ikihudumia wanafunzi kutoka vijiji saba vya kata hiyo.

DC Ndejembi pia ameahidi kuchangia mifuko 10 ya Saruji ili kuwezesha kukamilika mapema kwa Shule hiyo ambayo itaenda kumaliza changamoto ya watoto wanaotembea umbali mrefu kwenda Shule ilipo.

Akizungumza na wananchi wa kata...

 

11 years ago

Michuzi

AJIRA MPYA YA WALIMU WAPYA KWA AJILI YA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2013/14


 JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA- TAMISEMI
  A: OFISI YA WAZIRI MKUU TAMISEMI INATANGAZA ORODHA YA WANACHUO WAHITIMU WA MAFUNZO YA UALIMU KAMA IFUATAVYO:-


i. Walimuwa Cheti (Daraja IIIA) kwa ajili ya shule za msingi 17,928
ii. Walimu wa Stashahada kwa ajili ya shule za sekondari 5,416
iii. Walimu wa Shahada kwa ajili ya shule za sekondari 12,677

Walimu hawa wamepangwa katika Halmashauri na shule za mazoezi za vyuo vya ualimu Tanzania...

 

10 years ago

GPL

VITABU 2500 KWA SHULE ZA SEKONDARI NA ZA MSINGI JUMLA YA MILIONI 218 ZINAHITAJIKA‏

Afisa  Mkuu Ugawaji Rasmali wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) Mozes Nyirenda , akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani ) juu ya hafla ya kutafuta uwezo  wa Kununua Vitabu 2,500 vyenye thamani ya shilingi milioni 218, kwa ajili ya kusaidia shule 10 za msingi na Sekondari  za Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.Hafla hiyo itafanyika usiku wa Oktoba 3 mwaka huu kwenye hoteli ya serena wapili kushoto ni...

 

10 years ago

TZtoday

AJIRA MPYA YA MAFUNDI SANIFU WA MAABARA NA WALIMU KWA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2014/15

                           OFISI YA WAZIRI MKUU  

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (OWM - TAMISEMI)

 

AJIRA MPYA YA MAFUNDI SANIFU WA MAABARA NA WALIMU KWA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2014/15

A: Orodha ya Walimu na Mafundi Sanifu Maabara Ajira Mpya       

Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI inatangaza ajira ya wahitimu wa mafunzo ya ualimu na mafundi sanifu maabara katika mamlaka ya Serikali za Mitaa kama ifuatavyo:-

i.                 walimu wa cheti (Daraja IIIA)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani