Bunge jipya, mzigo zaidi
Wakati ikisaka njia za kubana matumizi kuokoa fedha, Serikali ya Awamu ya Tano itakuwa na kazi ya kulipia gharama za uendeshaji zilizosababishwa na kuongezeka kwa wabunge 36 zaidi kwenye Bunge la Kumi na Moja lililopangwa kuanza Novemba 17 mjini Dodoma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-c41unW1n0pg/XuD5DeH9XYI/AAAAAAALtZo/tqpw0ssteccuKRw1QySPiR5lr6-_zUB-gCLcBGAsYHQ/s72-c/petter-msigwa-600x343.jpg)
BUNGE LITUNGE SHERIA AMBAZO HAZITAKUA MZIGO KWA WATANZANIA-MCHUNGAJI MSIGWA
MBUNGE wa Jimbo la Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa(CHADEMA),ameshauri Bunge kutunga sheria ambazo hazitakuwa mzigo kwa Watanzania.
Mchungaji Msigwa amesema hayo leo Juni 10,2020 Bungeni Mjini Dodoma wakati anachangania Muswada wa Marekebisho ya Sheria mbalimbali ambao umewasilisha Bungeni.
"Moja ya jukumu la msingi la Bunge ni pamoja na kusimamia utungwaji wa sheria,hivyo wabunge wanaowao wajibu wa kusimamia utungwaji wa sheria ambazo hazitakuwa za...
9 years ago
Mwananchi15 Nov
Bunge jipya lisimamie vizuri Serikali
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
Mzee wa Kujitoa natamani liundwe Bunge jipya la Katiba!
UUUWIIII! Nasikia kuna dalili kwamba wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba wanaweza sasa kupewa likizo ya muda. Hayo si ya Mzee wa Kujitoa, nilimsikia mwenyewe kwenye vyombo vya habari Waziri...
11 years ago
Dewji Blog15 May
London ndio jiji jipya la mabilionea duniani, ina mabilionea wengi zaidi ya New york na Moscow
Na Damas Makangale, Moblog Tanzania kwa Msaada wa Mtandao
JIJI la London limekuwa ndio nyumbani kwa mabilionea wakubwa kabisa duniani, kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na gazeti la Sunday Times. Tafiti inasema kwamba London in wakazi 72 ambao mali na utajiri wao ni zaidi ya dola 1.6 bilioni, zaidi ya Moscow (48) au New York (43) na hii ni mara ya kwanza kwa jiji hilo kuwa na mabilionea zaidi ya 100.
Mji mkuu wa Uingereza una mabilionea 104 (thamani ya utajiri wao jumla ya paundi 310...
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Siku 60 zaidi Bunge Maalumu la Katiba
11 years ago
Habarileo09 Apr
BUNGE LA KATIBA: JK akubali muda zaidi
RAIS Jakaya Kikwete amekubali kuongeza muda wa Bunge Maalumu la Katiba katika mazungumzo aliyofanya na mwenyekiti wake, Samuel Sitta.
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Bunge lahaha kusaka muda zaidi wa Bajeti
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Mwingine awageuka wanaodai posho zaidi Bunge la Katiba
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HmYLp_jwMIE/Uxh98ddbgoI/AAAAAAAFRfw/hkZG_6jlc-8/s72-c/unnamed+(63).jpg)
taswira zaidi toka bunge la katiba mjini dodoma leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-HmYLp_jwMIE/Uxh98ddbgoI/AAAAAAAFRfw/hkZG_6jlc-8/s1600/unnamed+(63).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HL73UXzCjpo/Uxh979gq2zI/AAAAAAAFRfs/UG1BRQp082M/s1600/unnamed+(64).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-O3lL5S0JTo4/Uxh98lj7yfI/AAAAAAAFRf0/q4abiNuShEQ/s1600/unnamed+(65).jpg)