BUNGE LITUNGE SHERIA AMBAZO HAZITAKUA MZIGO KWA WATANZANIA-MCHUNGAJI MSIGWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-c41unW1n0pg/XuD5DeH9XYI/AAAAAAALtZo/tqpw0ssteccuKRw1QySPiR5lr6-_zUB-gCLcBGAsYHQ/s72-c/petter-msigwa-600x343.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
MBUNGE wa Jimbo la Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa(CHADEMA),ameshauri Bunge kutunga sheria ambazo hazitakuwa mzigo kwa Watanzania.
Mchungaji Msigwa amesema hayo leo Juni 10,2020 Bungeni Mjini Dodoma wakati anachangania Muswada wa Marekebisho ya Sheria mbalimbali ambao umewasilisha Bungeni.
"Moja ya jukumu la msingi la Bunge ni pamoja na kusimamia utungwaji wa sheria,hivyo wabunge wanaowao wajibu wa kusimamia utungwaji wa sheria ambazo hazitakuwa za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMCHUNGAJI MSIGWA KWA NILIYOFANYA, SIHITAJI KAMPENI 2015
11 years ago
Michuzi06 Feb
MCHUNGAJI MSIGWA AFIKISHWA MAHAKAMANI, AACHIWA KWA DHAMANA NI KUTOKANA NA KESI YA KUJERIHI
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EG2I4ZmpqYM/VlK_qXWZqHI/AAAAAAAIH34/lzbjZkcQO9s/s72-c/IMG_20151120_115511.jpg)
MWAKALEBELA AKANUSHA KUFUTWA KWA KESI YAKE DHIDI YA MCHUNGAJI PETTER MSIGWA NA MKURUGEZI WA MANISPAA YA IRINGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-EG2I4ZmpqYM/VlK_qXWZqHI/AAAAAAAIH34/lzbjZkcQO9s/s640/IMG_20151120_115511.jpg)
Katibu wa CCM wilaya ya Iringa mjini ELISHA MWAMPASHE amesema kuwa taarifa zilizosambaa sehemu mbalimbali sio za kweli.“Nimekuwa nikipigiwa simu nyingi toka jana nikipewa taarifa kuwa kesi yetu imetupiliwa mbali na imeenea sana kwenye mitandao ya kijamii na maeneo mbalimbali ukweli ni kwamba kesi ya...
9 years ago
MichuziWAFUASI 60 WA CHADEMA AKIWEMO MGOMBEA UBUNGE MCHUNGAJI MSIGWA MATATANI KWA TUHUMA ZA KUMPIGA MAWE MKUU WA FFU NA WANANCHI WALIOKUWA WAKITOKA KUMSIKILIZA DR MAGUFULI .....
Na MatukiodaimaBlogJESHI la polisi kikosi cha kutuliza ghasia (FFU) mkoani Iringa watumia mabomu ya machozi kuwakamata wafuasi zaidi ya 60 wa chama cha Demokrasia na maendeleo (chadema ) akiwemo mgombea ubunge wao jimbo la Iringa...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
Mchungaji Msigwa ajibu mapigo
WAZIRI Kivuli wa Maliasili na Utalii, Mchungaji Peter Msigwa, amewataka wamiliki wa Kampuni ya uwindaji ya kitalii ya Green Mile Safari Ltd (GMS), wajibu hoja za msingi dhidi ya tuhuma...
9 years ago
Habarileo21 Sep
Abwao amponda Mchungaji Msigwa
MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini kupitia ACT-Wazalendo, Chiku Abwao amesema heri ya miaka mitano ya aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Monica Mbega wa CCM kuliko miaka mitano ya Mchungaji Peter Msigwa wa Chadema.
9 years ago
Mwananchi07 Oct
Mchungaji Msigwa kizimbani, asomewa mashtaka
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Mchungaji Msigwa ambeza JK kuhusu ujangili