Wanafunzi Sekondari Mshikamano hatarini
WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Mshikamano iliyopo Kijiji cha Rwanyo, wilayani Mbarali, Mbeya, wako hatarini kupoteza maisha kwa ajali kutokana na kukosekana kwa kivuko cha waenda kwa miguu katika eneo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox6PNX7KBagGmgI*Wm10V990GU0BK0Vr9aEwiv9nfjtpVyp7kpS1oAR3DA8ZZBuSdEsBbhFrvidAhwrJFC0qqxqH/MUHAS.jpg?width=650)
WANAFUNZI WA UDAKTARI MUHIMBILI HATARINI
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Wanafunzi hatarini kupata magonjwa ya mlipuko Geita
10 years ago
Habarileo29 Jan
Wanafunzi shule za Papa, Jitengeni wamo hatarini
WANAFUNZI wa shule za msingi Papa na Jitengeni katika kata za Vunta na Kihurio wilayani Same, mkoani Kilimanjaro, wapo hatarini kupoteza maisha kutokana na kusomea katika madarasa chakavu yanayotishia kuanguka wakati wowote.
10 years ago
StarTV03 Feb
Wanafunzi Shule ya Msingi Mwabujose hatarini kuangukiwa na ukuta
Na Projestus Binamungu,
Simiyu.
Wanafunzi wa shule ya msingi Mwabujose wilayani Busega mkoani Simiyu wako hatarini kuangukiwa na kuta za madarasa ya shule hiyo.
Ni kutokana na baadhi ya madarasa kukaa kwa muda mrefu bila kufanyiwa ukarabati tangu yalipojengwa.
Wanafunzi 716 wa shule ya msingi Mwabujose iliyokuwepo kwa miaka 40 iliyopita katika kata ya Kalemela wilayani Busega.
Umri wa shule hii unadhihirisha kuwa imechoka kutokana na baadhi ya madarasa kuonesha kila dalili za kutaka...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
Wanafunzi 290 wakacha sekondari
WANAFUNZI 292 waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza wilayani Kyela, Mbeya, hawajaripoti shule kuanza masomo kutokana na matatizo mbalimbali ikiwamo kupata ujauzito kwa wanafunzi wa kike. Kauli hiyo ilitolewa jana...
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Wanafunzi sekondari Agustivo Mbinga wafundwa
WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Agustivo iliyopo wilayani Mbinga, Ruvuma, wametakiwa kuongeza juhudi katika masomo yao ili waweze kutimiza malengo waliyojiwekea. Ushauri huo ulitolewa na mfanyabiashara maarufu mkoani Ruvuma, Abbas...
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Simanzi Sekondari ya Sabodo, wanafunzi wazikwa
11 years ago
GPLWANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI YA MANZESE WATEMBELEA GLOBAL
9 years ago
MichuziMasumin wadhamini midahalo ya wanafunzi wa sekondari Dar
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI