Simanzi Sekondari ya Sabodo, wanafunzi wazikwa
Simanzi na huzuni vimetawaka katika Shule ya Sekondari ya Mustapha Sabodo baada ya kutokea vifo vya wanafunzi watano vilivyosababishwa na ajali ya gari juzi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Apr
Wanafunzi Sekondari Mshikamano hatarini
WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Mshikamano iliyopo Kijiji cha Rwanyo, wilayani Mbarali, Mbeya, wako hatarini kupoteza maisha kwa ajali kutokana na kukosekana kwa kivuko cha waenda kwa miguu katika eneo...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
Wanafunzi 290 wakacha sekondari
WANAFUNZI 292 waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza wilayani Kyela, Mbeya, hawajaripoti shule kuanza masomo kutokana na matatizo mbalimbali ikiwamo kupata ujauzito kwa wanafunzi wa kike. Kauli hiyo ilitolewa jana...
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Wanafunzi sekondari Agustivo Mbinga wafundwa
WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Agustivo iliyopo wilayani Mbinga, Ruvuma, wametakiwa kuongeza juhudi katika masomo yao ili waweze kutimiza malengo waliyojiwekea. Ushauri huo ulitolewa na mfanyabiashara maarufu mkoani Ruvuma, Abbas...
9 years ago
StarTV20 Nov
Changamoto ya madawati yawakabili wanafunzi Misitu sekondari
Jumla ya Wanafunzi 364 kati ya wanafunzi 931 katika shule ya Sekondari Misitu iliyopo Kata ya Kivule wilayani Ilala jijini Dar es Salaam hawana madawati.
Ni wanafunzi 567 pekee ambao wanakaa kwenye madawati katika shule hiyo ambayo pia ina upungufu wa vyumba vya madarasa, matundu ya vyoo na uhaba wa walimu wa masomo ya sayansi.
Kilio cha wanafunzi hao kimekuja mara tu baada ya kupokea msaada wa kompyuta na Printa kutoka kwa mdau wa elimu ambaye amesema vifaa hivyo vitasaidia kuboresha elimu...
11 years ago
Michuzi.jpg)
MH. PINDA AKUTANA NA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI KIBOSHO
.jpg)
.jpg)
9 years ago
MichuziMasumin wadhamini midahalo ya wanafunzi wa sekondari Dar
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Dewji Blog09 Sep
Pinda akutana na wanafunzi wa shule ya sekondari Kibosho
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Kibosho wakati alipokutana nao kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro wakiwa katika ziara ya kujifunza masuala ya usafiri wa anga. Mheshimiwa Pinda alikuwa akienda Dar es salaam akitoka Arusha Septemba 5, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
GPLWANAFUNZI WA SEKONDARI YA UPILI MANDERA WATEMBELEA GLOBAL
11 years ago
Habarileo22 Oct
Waziri- Simu marufuku kwa wanafunzi sekondari
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, imepigilia msumari kwa kuendelea kuwazuia wanafunzi wa shule za sekondari za serikali za bweni na kutwa kumiliki simu za mkononi wakiwa shuleni na yule atakayekamatwa hatua za kinidhamu zitachukuliwa dhidi yake.