Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simanzi Sekondari ya Sabodo, wanafunzi wazikwa

Simanzi na huzuni vimetawaka katika Shule ya Sekondari ya Mustapha Sabodo baada ya kutokea vifo vya wanafunzi watano vilivyosababishwa na ajali ya gari juzi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi Sekondari Mshikamano hatarini

WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Mshikamano iliyopo Kijiji cha Rwanyo, wilayani Mbarali, Mbeya, wako hatarini kupoteza maisha kwa ajali kutokana na kukosekana kwa kivuko cha waenda kwa miguu katika eneo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi 290 wakacha sekondari

WANAFUNZI 292 waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza wilayani Kyela, Mbeya, hawajaripoti shule kuanza masomo kutokana na matatizo mbalimbali ikiwamo kupata ujauzito kwa wanafunzi wa kike. Kauli hiyo ilitolewa jana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi sekondari Agustivo Mbinga wafundwa

WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Agustivo iliyopo wilayani Mbinga, Ruvuma, wametakiwa kuongeza juhudi katika masomo yao ili waweze kutimiza malengo waliyojiwekea. Ushauri huo ulitolewa na mfanyabiashara maarufu mkoani Ruvuma, Abbas...

 

9 years ago

StarTV

Changamoto ya madawati yawakabili wanafunzi Misitu sekondari

Jumla ya Wanafunzi 364 kati ya wanafunzi 931 katika shule ya Sekondari Misitu iliyopo Kata ya Kivule wilayani Ilala jijini Dar es Salaam hawana madawati.

Ni wanafunzi 567 pekee ambao wanakaa kwenye madawati katika shule hiyo ambayo pia ina upungufu wa vyumba vya madarasa, matundu ya vyoo na uhaba wa walimu wa masomo ya sayansi.

Kilio cha wanafunzi hao kimekuja mara tu baada ya kupokea msaada wa kompyuta na Printa kutoka kwa mdau wa elimu ambaye amesema vifaa hivyo vitasaidia kuboresha elimu...

 

11 years ago

Michuzi

MH. PINDA AKUTANA NA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI KIBOSHO

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Kibosho wakati alipokutana nao kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro wakiwa katika ziara ya kujifunza masuala ya usafiri wa anga. Mheshimiwa Pinda alikuwa akienda Dar es salaam akitoka Arusha Septemba 5, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

 

9 years ago

Michuzi

Masumin wadhamini midahalo ya wanafunzi wa sekondari Dar

Sylivanus Ndayisenga wa shule ya sekondari ya Debrabant, akishiriki katika katika mdahalo wa kitaaluma ulioandaliwa na Masumon Printways na Five Star na kufanyika jijini Dar es Salaam jana. Mdahalo huo ambao ni kwa ajili ya shule za sekondari za Dar es Salaam uliihuisha pia St Antony.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

11 years ago

Dewji Blog

Pinda akutana na wanafunzi wa shule ya sekondari Kibosho

PG4A4849

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Kibosho wakati alipokutana nao kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro wakiwa katika ziara ya kujifunza masuala ya usafiri wa anga. Mheshimiwa Pinda alikuwa akienda Dar es salaam akitoka Arusha Septemba 5, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A4869

 

10 years ago

GPL

WANAFUNZI WA SEKONDARI YA UPILI MANDERA WATEMBELEA GLOBAL

Mhariri Mtendaji wa Global Publishers, Richard Manyota (kulia) akiongea jambo na wanafunzi wa shule ya Sekondari ya wasichana ya Mandera iliyopo Chalinze, Bagamoyo. Wanafunzi wa shule ya wasichana Mandera wakimsikiliza…

 

11 years ago

Habarileo

Waziri- Simu marufuku kwa wanafunzi sekondari

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, imepigilia msumari kwa kuendelea kuwazuia wanafunzi wa shule za sekondari za serikali za bweni na kutwa kumiliki simu za mkononi wakiwa shuleni na yule atakayekamatwa hatua za kinidhamu zitachukuliwa dhidi yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani