Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanafunzi sekondari Agustivo Mbinga wafundwa

WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Agustivo iliyopo wilayani Mbinga, Ruvuma, wametakiwa kuongeza juhudi katika masomo yao ili waweze kutimiza malengo waliyojiwekea. Ushauri huo ulitolewa na mfanyabiashara maarufu mkoani Ruvuma, Abbas...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Wanafunzi wafundwa kuepuka mimba

WANAFUNZI wa shule za msingi na sekondari wilayani Namtumbo wametakiwa kujiepusha kushiriki katika vitendo vinavyoweza kukatisha ndoto zao kama vile mimba za utotoni na kupata virusi vya Ukimwi.

 

11 years ago

Habarileo

Wanafunzi vyuo vya Ualimu wafundwa

Mke wa Rais, Mama Salma KikweteWANAFUNZI wa kike wa vyuo vya Ualimu nchini wametakiwa kuvaa mavazi nadhifu yanayoendana na maadili ya kazi yao ili jamii inayowazunguka ijifunze kutoka kwao kwani wao ni kioo cha jamii.

 

11 years ago

Michuzi

JK azindua rasmi stendi ya Mabasi mjini Mbinga Mkoani Ruvuma, Barabara ya Peramiho -Mbinga

 Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa jiwe la Msingi kuzindua rasmi stendi ya Mabasi mjini Mbinga Mkoani Ruvuma leo.Rais Kikwete yupo mkoani Ruvuma Katika ziara ya Kikazi kukagua miradi ya maendeleo.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifunua jiwe la msingi kufungua rasmi Barabara ya kilometa 78 ya Peramiho –Mbinga mjini  Julai 19,2014.Wengine katika picha kutoka kushoto ni Mke wa Rais Mama Salma Kikwete,Wairi wa Ujenzi Dkt.John Pombe Magufuli, katibu Mkuu Wizara ya Fedha Bwana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi Sekondari Mshikamano hatarini

WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Mshikamano iliyopo Kijiji cha Rwanyo, wilayani Mbarali, Mbeya, wako hatarini kupoteza maisha kwa ajali kutokana na kukosekana kwa kivuko cha waenda kwa miguu katika eneo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi 290 wakacha sekondari

WANAFUNZI 292 waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza wilayani Kyela, Mbeya, hawajaripoti shule kuanza masomo kutokana na matatizo mbalimbali ikiwamo kupata ujauzito kwa wanafunzi wa kike. Kauli hiyo ilitolewa jana...

 

11 years ago

Mwananchi

Simanzi Sekondari ya Sabodo, wanafunzi wazikwa

Simanzi na huzuni vimetawaka katika Shule ya Sekondari ya Mustapha Sabodo baada ya kutokea vifo vya wanafunzi watano vilivyosababishwa na ajali ya gari juzi.

 

9 years ago

Michuzi

Masumin wadhamini midahalo ya wanafunzi wa sekondari Dar

Sylivanus Ndayisenga wa shule ya sekondari ya Debrabant, akishiriki katika katika mdahalo wa kitaaluma ulioandaliwa na Masumon Printways na Five Star na kufanyika jijini Dar es Salaam jana. Mdahalo huo ambao ni kwa ajili ya shule za sekondari za Dar es Salaam uliihuisha pia St Antony.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

GPL

WANAFUNZI WA SEKONDARI YA UPILI MANDERA WATEMBELEA GLOBAL

Mhariri Mtendaji wa Global Publishers, Richard Manyota (kulia) akiongea jambo na wanafunzi wa shule ya Sekondari ya wasichana ya Mandera iliyopo Chalinze, Bagamoyo. Wanafunzi wa shule ya wasichana Mandera wakimsikiliza…

 

10 years ago

Michuzi

MH. PINDA AKUTANA NA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI KIBOSHO

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Kibosho wakati alipokutana nao kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro wakiwa katika ziara ya kujifunza masuala ya usafiri wa anga. Mheshimiwa Pinda alikuwa akienda Dar es salaam akitoka Arusha Septemba 5, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani