Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI YA MANZESE WATEMBELEA GLOBAL

Mhariri Mtendaji Richard Manyota (kulia) wa Global Publishers akifafanua jambo mbele ya wanafunzi hao. Wanafunzi hao wakitunza kumbukumbu za maelezo muhimu.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WANAFUNZI WA SEKONDARI YA UPILI MANDERA WATEMBELEA GLOBAL

Mhariri Mtendaji wa Global Publishers, Richard Manyota (kulia) akiongea jambo na wanafunzi wa shule ya Sekondari ya wasichana ya Mandera iliyopo Chalinze, Bagamoyo. Wanafunzi wa shule ya wasichana Mandera wakimsikiliza…

 

11 years ago

Michuzi

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Ritariza kutoka Rombo Mkoani Kilimanjaro watembelea bunge dodoma

Kundi la kwanza la Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Ritariza kutoka Rombo Mkoani Kilimanjaro wakiwa katika Picha ya Pamoja na Mbunge wao wa Rombo Joseph Selasini (mstari wa nyuma katikati). Kundi la pili la Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Ritariza kutoka Rombo Mkoani Kilimanjaro wakiwa katika Picha ya Pamoja na Mbunge wao wa Rombo Joseph Selasini (mstari wa nyuma katikati).  Mbunge wa  Chama cha Wananchi CUF Mhe.Hamad Rashid akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Ritariza...

 

10 years ago

Michuzi

Shule ya sekondari Manzese kunufaika na mradi wa Biogas

Meneja Uhusiano wa Jamii Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es salaam (DAWASA) Bi. Nelly Msuya (wa kwanza kulia) akiwaongoza waandishi wa habari na kujionea sehemu utakapojengwa mtambo wa kuzailsha gesi na zinapojengwa maabara katika shule ya sekondari Manzese. Kushoto ni Meneja wa Mradi wa ujenzi wa mtambo wa nishati endelevu inayohifadhi mazingira (Biogas) kutoka UN-HABITAT Phillemon Mutashubirwa. Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari Manzese wakishiriki kuandaa eneo ...

 

10 years ago

GPL

BAADA YA SHULE YA SEKONDARI YA IFUNDA KUFUNGWA KWA VURUGU UONGOZI WA SHULE HIYO WAWAITA WANAFUNZI 28

 Mkuu wa shule ya sekondari ya Ifunda akizungumza na wanafunzi hao hivi karibuni. Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Ufundi Ifunda. Uongozi wa shule ya sekondari ya Ufundi Ifunda  mkoani  Iringa  imewaita wanafunzi 28 kufika shuleni hapo octoba 2 ikiwa ni baada ya  shule  hiyo …

 

11 years ago

GPL

WANAFUNZI WA MANDELA GIRLS WATEMBELEA GLOBAL

Mhariri Mtendaji wa Global Publishers, Richard Manyota (kulia) akiongea na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mandela Girls ya Bagamoyo. Sophia Juma Halfan (kushoto) na Rahma Nassibu Abdallah (kulia) wakimsikiliza kwa makini Mhariri Mtendaji.…

 

11 years ago

GPL

WANAFUNZI IRINGA UNIVERSITY WATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS

Mhariri Mtendaji wa Global Publishers Ltd, Richard Manyota akitoa ufafanuzi kwa baadhi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Iringa (zamani Tumaini University) walipotembelea ofisi za Global Publishers leo. Baadhi ya wanafunzi wanaosomea Uandishi wa Habari, Chuo Kikuu cha Iringa pamoja na viongozi wao wakimsikiliza Manyota. Wanafunzi 30 wanaosomea fani ya Uandishi wa Habari katika Chuo Kikuu… ...

 

10 years ago

Michuzi

MH. PINDA AKUTANA NA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI KIBOSHO

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Kibosho wakati alipokutana nao kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro wakiwa katika ziara ya kujifunza masuala ya usafiri wa anga. Mheshimiwa Pinda alikuwa akienda Dar es salaam akitoka Arusha Septemba 5, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda akutana na wanafunzi wa shule ya sekondari Kibosho

PG4A4849

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Kibosho wakati alipokutana nao kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro wakiwa katika ziara ya kujifunza masuala ya usafiri wa anga. Mheshimiwa Pinda alikuwa akienda Dar es salaam akitoka Arusha Septemba 5, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A4869

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani