Shule ya sekondari Manzese kunufaika na mradi wa Biogas
![](http://2.bp.blogspot.com/-S-oElQKRI04/VEN_fnzr77I/AAAAAAAGr4o/6kuB_dficeg/s72-c/09.jpg)
Meneja Uhusiano wa Jamii Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es salaam (DAWASA) Bi. Nelly Msuya (wa kwanza kulia) akiwaongoza waandishi wa habari na kujionea sehemu utakapojengwa mtambo wa kuzailsha gesi na zinapojengwa maabara katika shule ya sekondari Manzese. Kushoto ni Meneja wa Mradi wa ujenzi wa mtambo wa nishati endelevu inayohifadhi mazingira (Biogas) kutoka UN-HABITAT Phillemon Mutashubirwa.
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari Manzese wakishiriki kuandaa eneo ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1hqr8yrDqyI/VffsWyBOwLI/AAAAAAAH488/Ee-A2LU4fk4/s72-c/002.MTAKUJA.jpg)
WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI YA MTAKUJA YA JIJINI WAENDELEA KUNUFAIKA NA MRADI WA KOMPYUTA MASHULENI
![](http://1.bp.blogspot.com/-1hqr8yrDqyI/VffsWyBOwLI/AAAAAAAH488/Ee-A2LU4fk4/s640/002.MTAKUJA.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gt4Ky1G_lQ4/VffsYVF9ZEI/AAAAAAAH49U/RKh5a7eJxt0/s640/005.MTAKUJA.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*67Uoec4vv0J2sAt9AoBWtKoiKAnRPSboa*SKuBGUz2Lic6gqLX5oK8DhAv52yZiGXEWpKVeFEt3cTrVLLKcu5tTHzL5lY0b/001.MTAKUJA.jpg?width=650)
WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI YA MTAKUJA YA JIJINI WAENDELEA KUNUFAIKA NA MRADI WA KOMPYUTA MASHULENI
11 years ago
GPLWANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI YA MANZESE WATEMBELEA GLOBAL
10 years ago
Dewji Blog26 Aug
Shule za sekondari zaidi ya 30 kufaidika na mradi wa vitabu wa Airtel Shule Yetu
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa mradi wa “Airtel Shule Yetu” kwa mwaka 2014/15, katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Mradi huu wa vitabu umeweza kufikia shule zaidi ya 1,000 toka ulipoanza miaka kumi iliyopita. Wanaoshuhudia ni Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso (katikati), na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice Singano Mallya.
Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Tanzania,...
10 years ago
MichuziShule ya sekondari ya Kutukutu Morogoro wafaidika na mradi wa "Airtel Shule Yetu"
Msaada huo wenye thamani ya shilingi milioni mbili umekabidhiwa hivi karibu na wawakilishi wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel ikiwa ni mpango wa SHULE YETU unaosimamiwa na kampuni hiyo.
Akipokea msaada huo kwa niaba ya walimu na wanafunzi wa shule hiyo mkuu wa shule ya sekondari Kutukutu Finyilise Elias amesema,...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2cgQuBR1Cohv0VJ9k9o0w4dq-OsI2ZbRPj17wHF1wWGAO46GrReJcQpfcUyRN6FbnyDq-6gQFvech93CXFfYyZrBwUCJnNBQ/001.MAKUMBOSHO.jpg?width=650)
WANAFUNZI SEKONDARI YA MAKUMBUSHO WAENDELEA KUNUFAIKA NA MRADI WA SMART SCHOOL CHINI YA VODACOM FOUNDATION
9 years ago
Dewji Blog16 Sep
Shule ya Sekondari ya Mtakuja ya Dar es Salaam, wanafunzi wake wanufaika na mradi wa kompyuta mashuleni
Wanafunzi wa kidato cha pili wa shule ya sekondari ya Mtakuja iliyopo Kunduchi Mbezi beach jijini Dar es Salaam,wakimsikiliza mwalimu wao wa masomo ya Sayansi Elibariki John,akiwafundisha somo hilo kwa vitendo kupitia kompyuta mpakato zilizotolewa msaada na Vodacom Foundation miezi mitatu iliyopita kupitia mradi wake wa kompyuta mashuleni unaoendeshwa na Learning In Sync.
Mwalimu wa masomo ya Sayansi wa shule ya sekondari ya Mtakuja iliyopo Kunduchi Mbezi beach jijini Dar es Salaam,...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-LfJe8B_U5kY/VX8wI8b9K0I/AAAAAAAARBg/ZxTm9bmAsGU/s72-c/E86A9472%2B%2528800x533%2529.jpg)
TANAPA WAKABIDHI MRADI WA UJENZI WA BWENI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NURU YA WILAYANI SIHA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-LfJe8B_U5kY/VX8wI8b9K0I/AAAAAAAARBg/ZxTm9bmAsGU/s640/E86A9472%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xPwhGTR_1DY/VX8wI4ehQLI/AAAAAAAARBk/l4zxc2sLYLc/s640/E86A9481%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8xDX88h1brY/VX8wQ22yjJI/AAAAAAAARCY/cFxbCuEh41g/s640/E86A9529%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AfcwAL96Vas/VX8wMvQw5PI/AAAAAAAARBw/lEqNbbmf4Cg/s640/E86A9487%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xKK41JRT0sc/VX8wNWQcVyI/AAAAAAAARB4/UQNkdGg0kb8/s640/E86A9489%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xWDIUEDy0Vw/VX8wQp1tDKI/AAAAAAAARCc/h25ux4xfpbw/s640/E86A9518%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8X94VZFilN0/Vat255KUEhI/AAAAAAAHqf0/g7jyEpnTghg/s72-c/001.KINYEREZI.jpg)
SHULE YA SEKONDARI KINYEREZI TABATA JIJINI DAR YANUFAIKA NA KOMPYUTA 24 KUPITIA MRADI WA VODACOM FOUNDATION
![](http://3.bp.blogspot.com/-8X94VZFilN0/Vat255KUEhI/AAAAAAAHqf0/g7jyEpnTghg/s640/001.KINYEREZI.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CZJ_E29v_Sw/Vat24fOSuVI/AAAAAAAHqfs/3_PpPUr9jVg/s640/002.KINYEREZI.jpg)