Wanafunzi waacha shule, wakimbilia ndoa
SHULE ya sekondari Hunyari iliyoko katika wilaya ya Bunda mkoani Mara, inakabiliwa na utoro mkubwa wa wanafunzi kutokana na baadhi yao kukatisha masomo kwa kuolewa na wengine kuchunga mifugo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo07 Jun
Wanafunzi waoa wake 3, waacha shule
HALI si shwari katika sekta ya elimu katika wilaya za Kalambo na Sumbawanga mkoani Rukwa, baada ya kuelezwa idadi kubwa ya wanafunzi wa kiume katika shule za sekondari hukatisha masomo ili kujikita katika kutunza familia, kwani wengi wao ni waume za watu, wengine wakiwa na wake hadi watatu.
11 years ago
Habarileo22 Oct
Wanafunzi 279 kati ya 320 waacha shule
KATI ya wanafunzi 320 walioanza kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari ya Abeid Amaan Karume iliyopo Bahi Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma ni wanafunzi 41 tu waliofanikiwa kufika kidato cha nne.
10 years ago
Mwananchi18 Nov
400 waacha shule kwa mimba, utoro
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Wasichana 700 wapata mimba, waacha shule
10 years ago
MichuziWANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MUHIMBILI 1988 WAIKUMBUKA SHULE YAO.
11 years ago
GPLBAADA YA SHULE YA SEKONDARI YA IFUNDA KUFUNGWA KWA VURUGU UONGOZI WA SHULE HIYO WAWAITA WANAFUNZI 28
11 years ago
Vijimambo08 Oct
FNB YAKABIDHI MADARASA BAADA YA KUFANYIA UKARABATI NA MADAWATI NA MIKOBA YA SHULE KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MSASANI B


11 years ago
GPL
JHIKOMAN ATEMBELEA SHULE YA MUZIKI YA REUTLINGEN,UJERMANI : WANAFUNZI NA WAKUU WA SHULE WAAHIDI KUTEMBELEA BAGAMOYO ! KILA WAKATI
11 years ago
Habarileo04 Feb
Wanafunzi waharibu shule
WANAFUNZI wa shule ya msingi na sekondari ya St Anne Marie Academy ya Dar es Salaam, wamefanya vurugu zilizoambatana na uharibifu mkubwa wa mali ikiwamo kuvunja vioo vya magari, mabweni, madarasa na kompyuta, chanzo kikidaiwa kuwa ni hatua ya uongozi wa shule kuwapa walinzi mamlaka makubwa ya kuwaadhibu.