UADILIFU: Tuna tatizo la maadili ya uongozi - Wasira
>Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu) Stephen Wasira amekiri kuwa Tanzania inakabiliwa na tatizo la maadili katika uongozi. Kuna haja ya kuweka sheria kali kwa ajili ya kudhibiti hali hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
KwanzaJamii13 Aug
Kimiti: Tuna tatizo la uongozi
Dodoma. Waziri wa zamani na mwanasiasa wa siku nyingi nchini, Paul Kimiti (74) amesema nchi inakabiliwa na tatizo la uongozi na utendaji serikalini kiasi cha watu wanaoharibu kazi kutochukuliwa hatua.
Kimiti, ambaye amewahi kuongoza wizara tofauti tangu mwaka 1982, alisifu Serikali ya Awamu ya Kwanza akisema ilikuwa na wasaidizi makini wa Rais ambao walijua mambo mengi na kumfikishia mkuu wa nchi ambaye pia alifanyia kazi taarifa hizo.
Katika mahojiano maalumu na Mwananchi, mwanasiasa...
10 years ago
VijimamboMH. STEPHEN WASIRA AJIVUNIA REKODI YA UADILIFU KATIKA MBIO ZA URAIS
Waziri wa kilimo, chakula na ushirika Mh. Stephen Wassira amesema kuwa rekodi yake ya uadilifu katika utumishi wa serikali, kutohusishwa na vitendo vya rushwa na ufisadi pamoja na malezi mema aliyolelewa na hayati baba wa taifa mwalimu Julius Nyerere tangu akiwa kijana ni mambo yaliyomsukuma kutangaza nia ya kugombea urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia chama cha mapinduzi ili kuwatumikia wananchi ambao wanakabiliwa na changamoto za umaskini.Mh.Wassira ambaye pia ni mjumbe wa...
9 years ago
MichuziAhadi ya Uadilifu itaimarisha maadili ya kibiashara, huduma kwa umma
Na Mwandishi Wetu
“Suala la maadili si jipya, Watanzania watakumbuka tangu enzi la Azimio la Arusha misingi ya maadili imekuwa ikisisitizwa kama kijenzi muhimu cha ufanisi katika utoaji wa huduma kwa umma,” ni kauli ya Tixon Nzunda, Naibu Kamishna wa Maadili aliyoitoa siku ya uzinduzi wa Ahadi ya Uadilifu, Agosti 14, 2015, Ikulu Dar es Salaam.
Kauli hii inasadifu ninachotaka kukieleza hapa katika makala haya na kwa hakika kumpa kongole Rais anayemaliza muda wake, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete...
“Suala la maadili si jipya, Watanzania watakumbuka tangu enzi la Azimio la Arusha misingi ya maadili imekuwa ikisisitizwa kama kijenzi muhimu cha ufanisi katika utoaji wa huduma kwa umma,” ni kauli ya Tixon Nzunda, Naibu Kamishna wa Maadili aliyoitoa siku ya uzinduzi wa Ahadi ya Uadilifu, Agosti 14, 2015, Ikulu Dar es Salaam.
Kauli hii inasadifu ninachotaka kukieleza hapa katika makala haya na kwa hakika kumpa kongole Rais anayemaliza muda wake, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete...
9 years ago
Michuzi20 Aug
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Ukosefu wa maadili tatizo sugu kwa vijana
>Maadili ni hatua muhimu ambayo humtambulisha binadamu ndani ya jamii yake. Katika hali ya kawaida maadili hujitokeza katika matendo, kwa vile ndicho kielelezo sahihi cha kupima maadili ya jamii fulani.
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Sumaye: Uongozi bora tatizo Afrika
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema matatizo na migogoro mingi inayotokea barani Afrika inasababishwa na kutokuwapo kwa uongozi na utawala bora. Sumaye alibainisha kuwa ili kutimiza sera ya uongozi na...
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE KUZINDUA KOZI YA UONGOZI NA MAADILI YA CHUO CHA MWALIMU NYERERE.
Mhadhiri wa Chuo Cha Kumbukumbu cha Mwalimu Nyerere,Shadrack Mwakalila akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya kozi ya uongozi na maadili ya chuo hicho ,Kushoto ni Mhadhiri Msasidizi wa Chuo Cha Kumbukumbu cha Mwalimu Nyerere,Amon Katunzi iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka)
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
Rais Dk.Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa kozi ya uongozi na maadili iliyoanzishwa na Chuo cha Kumbukumbu...
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
Rais Dk.Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa kozi ya uongozi na maadili iliyoanzishwa na Chuo cha Kumbukumbu...
10 years ago
Michuzi24 Nov
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania