LULU AWATETEA MABOSI WAKWARE
![](http://api.ning.com:80/files/6Yi1*KCqJURCu8UDRCvAG96lI7aZoXOpVtB56ZJnOerYJ5TLS6upUpikECerxbELOCimGdH-zZqwNMMsXUZA-TzCMKaKVagu/lulu.jpg?width=650)
Stori: Gabriel Ng’osha STAA wa filamu ya Foolish Age, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewatetea mabosi wa wasanii akidai si wote wana tabia ya ‘kuduu’ na wafanyakazi wao. Staa wa filamu ya Foolish Age, Elizabeth Michael ‘Lulu’. Akijibu swali aliloulizwa na paparazi wetu kuhusiana na mabosi wakware, Lulu alitiririka: “Imezoeleka kuwa mabosi wote hawawezi kufanya kazi na msanii...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Maximo awatetea Coutinho, Jaja
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Kimiti awatetea Ukawa lakini...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/F6kBJElJzObyxv3k53y3WqIoYIvFazpV3LlsN0eAav0Y6Jz7gZ7xOExe2lPHka*wy0dHyDpHc8gJaFYqnlsQ*-TZ0oyX-ZS9/maya.jpg?width=650)
MAYA ALIA NA WANAUME WAKWARE
10 years ago
Bongo Movies04 Mar
Leila Alia na Wakware Bongo Movie!
Mrembo na mwigizaji wa filamu za hapa Bongo maarufu kama Bongo Movies, Jennifer Ernest ‘Leila’ amefunguka kwa kusema kuwa rushwa ya ngono na dhuluma katika tasnia ya Filamu inaua vipaji halisi na kubaki wababaishaji wanaopewa nafasi kwa ajili ya kujitoa sadaka ya miili yao.
Leila anasema kuwa watayarishaji wengi wamekuwa wakitolea muswada (Script) katika mahoteli au nyumba za kulala wageni na waopewa ni wale wanaokidhi matakwa yao, lakini mbaya zaidi ni wasanii kuchezeshwa kwa mikopo...
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Wanafunzi wa kike wanavyoangukia kwenye mikono ya wanaume wakware
9 years ago
Bongo510 Nov
Oprah awatetea The Kardashians, asema watu wasidharau wanachokifanya wakidhani ni rahisi
![1447091589_oprah-lg](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/1447091589_oprah-lg-300x194.jpg)
Kwa macho ya watu wengi, The Kardashians ni watu waliopata umaarufu na utajiri kwa njia za mkato.
Oprah Winfrey ana mtazamo tofauti. Mtangazaji huyo maarufu wa TV na mwanamke mweusi tajiri zaidi duniani, amedai kuwa The Kardashians ni watu wanaofanya kazi kwa bidii na kujituma kuliko kawaida.
Akiongea kwenye kipindi cha Kyle and Jackie O Show cha KIIS FM nchini Australia, Jumatatu hii, Oprah alisema aliitembelea familia hiyo na kushangazwa na nidhamu yao ya kazi.
“Niliwahoji miaka miwili...
9 years ago
Mwananchi08 Dec
Kimbunga chawakumba mabosi TPA, TRL
9 years ago
Habarileo12 Sep
Mabosi wa uchaguzi TFF, DRFA kuteta
KAMATI ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) chini ya Mwenyekiti wake Aloyce Komba, inatarajia kukutana na Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Chama cha Soka Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA), Rashid Sadallah kuzungumzia mambo mbalimbali kuhusu uchaguzi wa Chama cha Soka Temeke (TEFA).
11 years ago
Habarileo06 Feb
Mabosi TBS, ATCL wakaangwa kortini
MABOSI wa zamani wa mashirika ya umma, Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), jana walipanda kizimbani kujibu mashitaka yanayowakabili kutokana na uamuzi waliofanya walipokuwa wakiongoza mashirika hayo.