MAYA ALIA NA WANAUME WAKWARE
Stori: Erick Evarist MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amefunguka kuwa anashindwa kufikiria suala zima la ndoa kwani wanaume wengi ni waongo ‘wakware’. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’. Akipiga stori na safu hii, Maya alisema umefika wakati hata ndoa zenyewe zinakuwa chache kwani uaminifu haupo ndiyo maana amekuwa makini katika eneo hilo....
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies04 Mar
Leila Alia na Wakware Bongo Movie!
Mrembo na mwigizaji wa filamu za hapa Bongo maarufu kama Bongo Movies, Jennifer Ernest ‘Leila’ amefunguka kwa kusema kuwa rushwa ya ngono na dhuluma katika tasnia ya Filamu inaua vipaji halisi na kubaki wababaishaji wanaopewa nafasi kwa ajili ya kujitoa sadaka ya miili yao.
Leila anasema kuwa watayarishaji wengi wamekuwa wakitolea muswada (Script) katika mahoteli au nyumba za kulala wageni na waopewa ni wale wanaokidhi matakwa yao, lakini mbaya zaidi ni wasanii kuchezeshwa kwa mikopo...
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Wanafunzi wa kike wanavyoangukia kwenye mikono ya wanaume wakware
11 years ago
GPLKHADIJA KOPA ALIA WANAUME KUMSUMBUA
10 years ago
Bongo529 Sep
Sugu na Faiza waachana, Faiza alia kwa uchungu, ‘wanaume nawasihi msiache wake zenu’
11 years ago
GPLLULU AWATETEA MABOSI WAKWARE
10 years ago
VijimamboStory ya wanawake wa Rombo kukodi wanaume Kenya kuwaridhisha kimapenzi yatinga bungeni, wanaume wataka waombwe radhi
Habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi juzi yenye kichwa cha habari ‘Wanawake wa Rombo wakodi wanaume kutoka Kenya’ imeibukia bungeni leo.Habari hiyo iliandikwa kutokana na kauli aliyoitoa mkuu wa wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo, aliyedai kuwa kutokana na wanaume wa wilaya hiyo kuwa walevi wa kutupa, wake zao wamekuwa wakikodi wanaume kutoka Kenya ili kuwaridhisha kimapenzi.
“Tatizo la ulevi wilayani Rombo na matumizi ya pombe zisizokuwa na viwango ni kubwa sana na linahitaji nguvu...
10 years ago
Bongo504 Sep
New Video: One Six — Maya
11 years ago
Dewji Blog28 May
Maya Angelou Dies at 86
Renowned writer, actress and civil rights activist Maya Angelou has died, according to CNN. She was 86.
Angelou died at her home in Winston-Salem, N.C., her publicist said. Her son posted teh following statement on Facebook: “Her family is extremely grateful that her ascension was not belabored by a loss of acuity or comprehension. She lived a life as a teacher, activist, artist and human being. She was a warrior for equality, tolerance and peace. The family is extremely appreciative of...
11 years ago
GPLMAYA: ATAKAYENIOA ATAFAIDI