Maya Angelou Dies at 86
Renowned writer, actress and civil rights activist Maya Angelou has died, according to CNN. She was 86.
Angelou died at her home in Winston-Salem, N.C., her publicist said. Her son posted teh following statement on Facebook: “Her family is extremely grateful that her ascension was not belabored by a loss of acuity or comprehension. She lived a life as a teacher, activist, artist and human being. She was a warrior for equality, tolerance and peace. The family is extremely appreciative of...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
MAYA ANGELOU, AFARIKI DUNIA
Mwandishi wa vitabu na mwanaharakati mashuhuri wa Marekani,Maya Angelou enzi za uhai wake. Akiwa mmoja wa waandishi maarufu zaidi kwa miaka 50, Angelou anajulikana zaidi kwa kitabu chake cha mwaka 1969, I Know Why the Caged Bird Sings. Kilikuwa ni kitabu cha kwanza kati ya saba ya vitabu kuhusu maisha yake kuanzia mateso aliyopata miaka ya 1930s. I Know Why the Caged Bird Sings, kilichoandika kuhusu ubaguzi wa rangi na mateso...
11 years ago
BBC
VIDEO: Looking back at Maya Angelou's life
US author, poet and civil rights activist Maya Angelou has died at the age of 86.
11 years ago
BBC
VIDEO: Poet Maya Angelou remembers Mandela
Poet Maya Angelou tells the BBC's Jonny Dymond that Nelson Mandela's greatest gift to the world was his ability to forgive.
11 years ago
BBC
11 years ago
Bongo504 Sep
New Video: One Six — Maya
Video mpya kutoka kutoka kwa msanii One six ngoma inaitwa “Maya” Video imeongozwa na Erick Backamaza
11 years ago
GPL
MAYA: SIJAPOTEZWA KISANAA
Stori: Gladness Mallya Mnanikosea! mwigizaji wa sinema za Kibongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amefunguka kuwa watu wanaomsema kuwa amepotezwa kisanaa wanamkosea kwani anafanya sanaa kwa malengo. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’. Maya alitoa kauli hiyo wikiendi iliyopita baada ya kusambaa kwa taarifa mitandaoni kuwa amepotezwa kisanaa na wasanii chipukizi kiasi cha kumfanya asisikike kama...
11 years ago
GPL
MAYA: ATAKAYENIOA ATAFAIDI
Na Hamida Hassan
MWIGIZAJI mkongwe Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amesema licha ya kuwa bado hajaolewa lakini atakayemuoa atafaidi mapishi yake kwani ni fundi wa kupika. Mayasa Mrisho ‘Maya’. Maya alifunguka hayo juzikati wakati paparazi wetu alipombananisha juu ya uwezo wake kwenye ‘sekta’ ya mahanjumati ndipo alipofunguka kuwa yeye ni hodari katika eneo hilo. “Wee… mi noma...
11 years ago
GPL
MAYA: SIJAONA WA KUZAA NAYE
Stori: imelda Mtema Msanii mahiri wa filamu za hapa Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amefunguka kuwa katika pitapita zake zote bado hajaona mwanaume ambaye anaweza kuwa naye na kumzalia mtoto kwani wote anawaona ni waluwalu. Staa wa Bongo Buvi Mayasa Mrisho, alimaarufu 'Maya'. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni Maya alisema kuwa hakuna kitu anachokitamani kama kupata mtoto lakini kila akifikiria mtu anayeweza kupata...
10 years ago
GPL
MAYA: MIMI SIYO MGUMBA
Gladness Mallya MSANII mkongwe kwenye gemu la filamu Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amefunguka kwamba siyo mgumba wala hana gundu ila ni muda tu haujafika wa kuzaa au kuolewa. Maya aliyasema hayo kutokana na maneno ya watu wanaomuandama kwamba hazai na ana gundu ndiyo maana haolewi ambapo alisema siyo kweli ila anasubiri wakati ukifika atazaa kwani ana uzazi na hajawahi kutafuta mtoto na kumkosa. “Bado sijapata...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania