MAYA ANGELOU, AFARIKI DUNIA
Mwandishi wa vitabu na mwanaharakati mashuhuri wa Marekani,Maya Angelou enzi za uhai wake. Akiwa mmoja wa waandishi maarufu zaidi kwa miaka 50, Angelou anajulikana zaidi kwa kitabu chake cha mwaka 1969, I Know Why the Caged Bird Sings. Kilikuwa ni kitabu cha kwanza kati ya saba ya vitabu kuhusu maisha yake kuanzia mateso aliyopata miaka ya 1930s. I Know Why the Caged Bird Sings, kilichoandika kuhusu ubaguzi wa rangi na mateso...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog28 May
Maya Angelou Dies at 86
Renowned writer, actress and civil rights activist Maya Angelou has died, according to CNN. She was 86.
Angelou died at her home in Winston-Salem, N.C., her publicist said. Her son posted teh following statement on Facebook: “Her family is extremely grateful that her ascension was not belabored by a loss of acuity or comprehension. She lived a life as a teacher, activist, artist and human being. She was a warrior for equality, tolerance and peace. The family is extremely appreciative of...
11 years ago
BBCVIDEO: Looking back at Maya Angelou's life
11 years ago
BBC11 years ago
BBCVIDEO: Poet Maya Angelou remembers Mandela
11 years ago
Mwananchi22 Feb
Mtume aliyetabiri mwisho wa dunia afariki dunia
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Mbunge afariki dunia
10 years ago
Uhuru Newspaper08 Apr
Dk. Mhita afariki dunia
NA MWANDISHI WETU ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA),Dk. Mohamed Mhita, amefariki dunia. Dk. Mhita ambaye pia ni mume wa Mbunge wa Kondoa Kaskazini, Zabein Mhita, anatarajiwa kuzikwa leo baada ya kuwasili kwa mkewe, aliyeko India kwa matibabu. Akizungumza na waandishi wa habari, mtoto wa marehemu, Muhaji Mhita alisema baba yake aliugua maralia, Jumatatu alfajiri na kupelekwa hospitali, ambapo alifariki usiku. Alisema walipofika hospitali walibaini kuwa shinikizo la...
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Mwanakatwe afariki dunia
KATIBU Mkuu wa zamani wa Chama cha Soka Tanzania (FAT, sasa Shirikisho la Soka Tanzania – TFF), Kanali mstaafu Ali Hassan Mwanakatwe amefariki dunia jana asubuhi katika Hospitali Kuu ya...
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Gurumo afariki dunia