MAYA: SIJAPOTEZWA KISANAA

Stori: Gladness Mallya Mnanikosea! mwigizaji wa sinema za Kibongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amefunguka kuwa watu wanaomsema kuwa amepotezwa kisanaa wanamkosea kwani anafanya sanaa kwa malengo. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’. Maya alitoa kauli hiyo wikiendi iliyopita baada ya kusambaa kwa taarifa mitandaoni kuwa amepotezwa kisanaa na wasanii chipukizi kiasi cha kumfanya asisikike kama...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies28 Jan
Wastara:Nimeshuka Kisanaa!!
Mwigizaji wa filamu nchini, Wastara Juma amesema anajihisi kupoteza mwelekeo unaomfanya kushuka kisanaa tokea kufariki kwa mumewe, Juma Kilowoko ‘Sajuki’ kwani ari yake ya kufanya kazi imepotea.
Akipiga stori na wa GPL hivi karibuni, alisema Sajuki alikuwa ni msaada mkubwa sana kwake kisanaa mbali na maisha ya kawaida, kwani anashindwa kupita njia alizokuwa anapitishwa na mumewe huyo kiasi cha kujikuta akitoa filamu kati ya mbili hadi tatu kwa mwaka.
“Nikiri tu kwamba nimeshuka kisanaa,...
10 years ago
GPL
JOHARI: SIJAFULIA KISANAA
10 years ago
GPL
WASTARA AKIRI KUSHUKA KISANAA
10 years ago
Mwananchi17 Mar
Ufundi wa kisanaa katika alenga wapya
11 years ago
Mwananchi12 Oct
Bado nipo kisanaa, siasa ilinificha kwenye uigizaji
11 years ago
Bongo504 Sep
New Video: One Six — Maya
11 years ago
Dewji Blog28 May
Maya Angelou Dies at 86
Renowned writer, actress and civil rights activist Maya Angelou has died, according to CNN. She was 86.
Angelou died at her home in Winston-Salem, N.C., her publicist said. Her son posted teh following statement on Facebook: “Her family is extremely grateful that her ascension was not belabored by a loss of acuity or comprehension. She lived a life as a teacher, activist, artist and human being. She was a warrior for equality, tolerance and peace. The family is extremely appreciative of...
11 years ago
GPL
MAYA: ATAKAYENIOA ATAFAIDI
10 years ago
GPL
MAYA: MIMI SIYO MGUMBA