Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAYA: SIJAPOTEZWA KISANAA

Stori: Gladness Mallya Mnanikosea! mwigizaji wa sinema za Kibongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amefunguka kuwa watu wanaomsema kuwa amepotezwa kisanaa wanamkosea kwani anafanya sanaa kwa malengo. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’. Maya alitoa kauli hiyo wikiendi iliyopita baada ya kusambaa kwa taarifa mitandaoni kuwa amepotezwa kisanaa na wasanii chipukizi kiasi cha kumfanya asisikike kama...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Wastara:Nimeshuka Kisanaa!!

Mwigizaji wa filamu nchini, Wastara Juma amesema anajihisi kupoteza mwelekeo unaomfanya kushuka kisanaa tokea kufariki kwa mumewe, Juma Kilowoko ‘Sajuki’ kwani ari yake ya kufanya kazi imepotea.

Akipiga stori na wa GPL hivi karibuni, alisema Sajuki alikuwa ni msaada mkubwa sana kwake kisanaa mbali na maisha ya kawaida, kwani anashindwa kupita njia alizokuwa anapitishwa na mumewe huyo kiasi cha kujikuta akitoa filamu kati ya mbili hadi tatu kwa mwaka.

“Nikiri tu kwamba nimeshuka kisanaa,...

 

10 years ago

GPL

JOHARI: SIJAFULIA KISANAA

Brighton masalu
BLANDINA William Wilbert Chagula ‘Johari,’ amesema kwa sasa amedhamiria kufanya kazi mara kwa mara tofauti na zamani ambapo alikuwa ‘akibeep’, huku akiweka wazi kuwa waliodhani ameisha kisanii wakae mkao wa kula kwani alikuwa akiusoma mchezo. Staa wa filamu za kibongo, Blandina Chagula ‘Johari,’. Akizungumza kwa njia ya simu na ‘kiruka njia’ wa gazeti hili,...

 

10 years ago

GPL

WASTARA AKIRI KUSHUKA KISANAA

Stori: Mayasa Mariwata/Risasi Mchanganyiko
STAA wa filamu nchini, Wastara Juma amesema anajihisi kupoteza mwelekeo unaomfanya kushuka kisanaa tokea kufariki kwa mumewe, Juma Kilowoko ‘Sajuki’ kwani ari yake ya kufanya kazi imepotea. Staa wa filamu nchini, Wastara Juma. Akipiga stori na paparazi wetu hivi karibuni, alisema Sajuki alikuwa ni msaada mkubwa sana kwake kisanaa mbali na maisha ya kawaida, kwani...

 

10 years ago

Mwananchi

Ufundi wa kisanaa katika alenga wapya

Fani ni ufundi wa kisanaa anaotumia mwandishi katika kuumba kazi yake. Fani hujumuisha muundo, mtindo, mandhari, matumizi ya lugha na vipengele vingine.

 

11 years ago

Mwananchi

Bado nipo kisanaa, siasa ilinificha kwenye uigizaji

Mwanzoni mwa miaka ya 2000 sanaa ya uigizaji nchini ilionekana kuwa kivutio kikubwa kwa Watanzania kutokana na vipaji mbalimbali vilivyoonekana kupitia vipindi vya runinga.

 

11 years ago

Bongo5

New Video: One Six — Maya

Video mpya kutoka kutoka kwa msanii One six ngoma inaitwa “Maya” Video imeongozwa na Erick Backamaza

 

11 years ago

Dewji Blog

Maya Angelou Dies at 86

mayaangelou

Renowned writer, actress and civil rights activist Maya Angelou has died, according to CNN. She was 86.

Angelou died at her home in Winston-Salem, N.C., her publicist said. Her son posted teh following statement on Facebook: “Her family is extremely grateful that her ascension was not belabored by a loss of acuity or comprehension. She lived a life as a teacher, activist, artist and human being. She was a warrior for equality, tolerance and peace. The family is extremely appreciative of...

 

11 years ago

GPL

MAYA: ATAKAYENIOA ATAFAIDI

Na  Hamida Hassan
MWIGIZAJI mkongwe Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amesema licha ya kuwa bado hajaolewa lakini atakayemuoa atafaidi mapishi yake kwani ni fundi wa kupika. Mayasa Mrisho ‘Maya’. Maya alifunguka hayo juzikati wakati paparazi wetu alipombananisha juu ya uwezo wake kwenye ‘sekta’ ya mahanjumati ndipo alipofunguka kuwa yeye ni hodari katika eneo hilo. “Wee… mi noma...

 

10 years ago

GPL

MAYA: MIMI SIYO MGUMBA

Gladness Mallya MSANII mkongwe kwenye gemu la filamu Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amefunguka kwamba siyo mgumba wala hana gundu ila ni muda tu haujafika wa kuzaa au kuolewa. Maya aliyasema hayo kutokana na maneno ya watu wanaomuandama kwamba hazai na ana gundu ndiyo maana haolewi ambapo alisema siyo kweli ila anasubiri wakati ukifika atazaa kwani ana uzazi na hajawahi kutafuta mtoto na kumkosa. “Bado sijapata...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani