Wastara:Nimeshuka Kisanaa!!
Mwigizaji wa filamu nchini, Wastara Juma amesema anajihisi kupoteza mwelekeo unaomfanya kushuka kisanaa tokea kufariki kwa mumewe, Juma Kilowoko ‘Sajuki’ kwani ari yake ya kufanya kazi imepotea.
Akipiga stori na wa GPL hivi karibuni, alisema Sajuki alikuwa ni msaada mkubwa sana kwake kisanaa mbali na maisha ya kawaida, kwani anashindwa kupita njia alizokuwa anapitishwa na mumewe huyo kiasi cha kujikuta akitoa filamu kati ya mbili hadi tatu kwa mwaka.
“Nikiri tu kwamba nimeshuka kisanaa,...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
WASTARA AKIRI KUSHUKA KISANAA
Stori: Mayasa Mariwata/Risasi Mchanganyiko
STAA wa filamu nchini, Wastara Juma amesema anajihisi kupoteza mwelekeo unaomfanya kushuka kisanaa tokea kufariki kwa mumewe, Juma Kilowoko ‘Sajuki’ kwani ari yake ya kufanya kazi imepotea. Staa wa filamu nchini, Wastara Juma. Akipiga stori na paparazi wetu hivi karibuni, alisema Sajuki alikuwa ni msaada mkubwa sana kwake kisanaa mbali na maisha ya kawaida, kwani...
11 years ago
GPL
MAYA: SIJAPOTEZWA KISANAA
Stori: Gladness Mallya Mnanikosea! mwigizaji wa sinema za Kibongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amefunguka kuwa watu wanaomsema kuwa amepotezwa kisanaa wanamkosea kwani anafanya sanaa kwa malengo. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’. Maya alitoa kauli hiyo wikiendi iliyopita baada ya kusambaa kwa taarifa mitandaoni kuwa amepotezwa kisanaa na wasanii chipukizi kiasi cha kumfanya asisikike kama...
10 years ago
GPL
JOHARI: SIJAFULIA KISANAA
Brighton masalu
BLANDINA William Wilbert Chagula ‘Johari,’ amesema kwa sasa amedhamiria kufanya kazi mara kwa mara tofauti na zamani ambapo alikuwa ‘akibeep’, huku akiweka wazi kuwa waliodhani ameisha kisanii wakae mkao wa kula kwani alikuwa akiusoma mchezo. Staa wa filamu za kibongo, Blandina Chagula ‘Johari,’. Akizungumza kwa njia ya simu na ‘kiruka njia’ wa gazeti hili,...
10 years ago
Mwananchi17 Mar
Ufundi wa kisanaa katika alenga wapya
Fani ni ufundi wa kisanaa anaotumia mwandishi katika kuumba kazi yake. Fani hujumuisha muundo, mtindo, mandhari, matumizi ya lugha na vipengele vingine.
11 years ago
Mwananchi12 Oct
Bado nipo kisanaa, siasa ilinificha kwenye uigizaji
Mwanzoni mwa miaka ya 2000 sanaa ya uigizaji nchini ilionekana kuwa kivutio kikubwa kwa Watanzania kutokana na vipaji mbalimbali vilivyoonekana kupitia vipindi vya runinga.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania