MAYA: MIMI SIYO MGUMBA
![](http://api.ning.com:80/files/tVyYDnk4ZvOAEpztpGTl*GjCAIL0N0Fen98dA0DTggxxBnUG6wLqOEKIrJzSWdO1d*d5ab0CJqUgo3mqha1QuvlUdTe881VB/hj.gif?width=650)
Gladness Mallya MSANII mkongwe kwenye gemu la filamu Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amefunguka kwamba siyo mgumba wala hana gundu ila ni muda tu haujafika wa kuzaa au kuolewa. Maya aliyasema hayo kutokana na maneno ya watu wanaomuandama kwamba hazai na ana gundu ndiyo maana haolewi ambapo alisema siyo kweli ila anasubiri wakati ukifika atazaa kwani ana uzazi na hajawahi kutafuta mtoto na kumkosa. “Bado sijapata...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies07 Mar
Mimi Siyo Marioo — Niva
Mwigizaji wa filamu Zubery Mohamed ‘Niva’ amekanusha kuwa yeye siyo Marioo yaani analelewa na wanawake bali ni jina tu ambalo limetokana na wimbo wake alioufanya na kurekodi.
“Napata shida sana watu wananiona eti mimi Marioo jina hili nimepewa na mpenzi wangu ambaye simtaji kwa jina lake mimi ni mwanaume ninayejua majukumu yangu wala simtegemei mwanamke yoyote zaidi ya wao kujipendekeza kwangu,”anasema Niva.
Niva anasema kuwa wapo wasanii wanyonge wenye tabia hizo lakini si kwake kwani...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V7mcip*tK2QXHeXeOL6Zn*M*d5OKSVJlWaOC-MDlLSMP6XT5CLOKANQ2o7qLS3AgQTm*nWyKwzhafeMrfY10hIDFyFkE0dzu/Ester.jpg)
ESTER: MIMI SIYO MBURULA, WANAOJIUZA NI HAOHAO!
9 years ago
Bongo Movies10 Nov
Mimi Siyo Punda Sibebi Madawa—Shilole
Msanii wa kike wa muziki wa Bongofleva Shilole alimaarufu kama 'Shishi Baby' amefunguka na kusema habebi dawa ya kulevya kwani yeye si punda ila anapokwenda nje anakwenda kufanya kazi zake na sanaa.
Shilole alipokuwa akipiga stori kwenye kipindi cha Planet Bongo cha EATV, ambapo amesema watu wengi huwa wanakuwa na dhana hiyo wakidhani labda wasanii wanapokwenda nje huwa wanabeba dawa za kulevya lakini kwa upande wake amekana wazi na kusema anapenda kazi yake ya muziki na kuiheshimu hivyo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzn4ICuAlE7A*qWbPlysjqFOSURzNKq6M*Zv1kGTkkZzZ8xQOgjlN-Jd2dUStM7q97PHKdLXDQXbIpSwhmT4fdYnI2x9KQPh/IMG20141218WA0003.jpg?width=650)
FAIZA: MIMI SIYO MBULULA KWA KUVAA PEMPASI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7X1wIOHFtrxxFpT4bjrTlnO23H8BY2Q5kfppaOSLvHGuThV8b9hesxpcRNDt14rsi6U39FiGqOJ7DXIWM*viVayr6hhzezhc/p.txt.jpg?width=650)
JIDE MIMI SIYO YESU WALA BIKIRA MARIA!
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago
![Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala](http://alphaigogo.com/wp-content/uploads/2015/02/Tab-Obago-169x300.jpg)
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...
10 years ago
Mwananchi12 Jun
Namna ya kumsaidia mgumba kupata mtoto
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uMxF1o08j-U/Xl7BSvq-BZI/AAAAAAALgy8/Bqv3aCKfOw43nc0NGLNs9jxzCCApWfR_gCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-01-768x432.jpg)
MGUMBA AWATAKA WANANCHI KUCHANGIA SHUGHULI ZA MAENDELEO MOROGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-uMxF1o08j-U/Xl7BSvq-BZI/AAAAAAALgy8/Bqv3aCKfOw43nc0NGLNs9jxzCCApWfR_gCLcBGAsYHQ/s640/PIX-01-768x432.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/pix-02-1024x576.jpg)
5 years ago
MichuziSERIKALI HAITOPANGA BEI ZA MAZAO YA WAKULIMA-MHE MGUMBA
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
Serikali imesisitiza kuwa haitopanga wala kuingilia bei za mazao ya wakulima nchini badala yake wakulima watajipangia bei na kuuza wenyewe ilihali serikali ikisalia kama msimamizi.
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe Omary Mgumba (Mb)...