Mimi Siyo Punda Sibebi Madawa—Shilole
Msanii wa kike wa muziki wa Bongofleva Shilole alimaarufu kama 'Shishi Baby' amefunguka na kusema habebi dawa ya kulevya kwani yeye si punda ila anapokwenda nje anakwenda kufanya kazi zake na sanaa.
Shilole alipokuwa akipiga stori kwenye kipindi cha Planet Bongo cha EATV, ambapo amesema watu wengi huwa wanakuwa na dhana hiyo wakidhani labda wasanii wanapokwenda nje huwa wanabeba dawa za kulevya lakini kwa upande wake amekana wazi na kusema anapenda kazi yake ya muziki na kuiheshimu hivyo...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tVyYDnk4ZvOAEpztpGTl*GjCAIL0N0Fen98dA0DTggxxBnUG6wLqOEKIrJzSWdO1d*d5ab0CJqUgo3mqha1QuvlUdTe881VB/hj.gif?width=650)
MAYA: MIMI SIYO MGUMBA
10 years ago
Bongo Movies07 Mar
Mimi Siyo Marioo — Niva
Mwigizaji wa filamu Zubery Mohamed ‘Niva’ amekanusha kuwa yeye siyo Marioo yaani analelewa na wanawake bali ni jina tu ambalo limetokana na wimbo wake alioufanya na kurekodi.
“Napata shida sana watu wananiona eti mimi Marioo jina hili nimepewa na mpenzi wangu ambaye simtaji kwa jina lake mimi ni mwanaume ninayejua majukumu yangu wala simtegemei mwanamke yoyote zaidi ya wao kujipendekeza kwangu,”anasema Niva.
Niva anasema kuwa wapo wasanii wanyonge wenye tabia hizo lakini si kwake kwani...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V7mcip*tK2QXHeXeOL6Zn*M*d5OKSVJlWaOC-MDlLSMP6XT5CLOKANQ2o7qLS3AgQTm*nWyKwzhafeMrfY10hIDFyFkE0dzu/Ester.jpg)
ESTER: MIMI SIYO MBURULA, WANAOJIUZA NI HAOHAO!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzn4ICuAlE7A*qWbPlysjqFOSURzNKq6M*Zv1kGTkkZzZ8xQOgjlN-Jd2dUStM7q97PHKdLXDQXbIpSwhmT4fdYnI2x9KQPh/IMG20141218WA0003.jpg?width=650)
FAIZA: MIMI SIYO MBULULA KWA KUVAA PEMPASI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7X1wIOHFtrxxFpT4bjrTlnO23H8BY2Q5kfppaOSLvHGuThV8b9hesxpcRNDt14rsi6U39FiGqOJ7DXIWM*viVayr6hhzezhc/p.txt.jpg?width=650)
JIDE MIMI SIYO YESU WALA BIKIRA MARIA!
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago
![Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala](http://alphaigogo.com/wp-content/uploads/2015/02/Tab-Obago-169x300.jpg)
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...
10 years ago
Bongo Movies04 Jul
Mwanaume aliyezaa na Shilole Atoboa Haya Kuhusu Yeye na Shilole
Yule mwanaume aliyezaa na Staa wa Bongo Movies na Fleva,Shilole,aitwaye Elias Makala ameibuka na kuzungumza na U heard na Soudy Brown kuwa hakuwahi kumbaka msaniii huyo kama ambayo anazungumza kwenye vyombo vya habari.
‘’Mimi namshangaa sana Shilole anavyosema kuwa nilimbaka,sijawahi kumbaka nilikuwa naishi naye kama mume na mke kwa zaidi ya miaka saba, na nilimuuliza kwanini anasema uongo kuwa nilimbaka alinijibu kuwa habari hiyo inamsaidia kumpaisha (kick) kwenye muziki wake,’’alisema...
10 years ago
Bongo Movies11 May
Kauli ya Shilole na Mchumba Wake Juu ya Picha Chafu za Shilole Akiwa Stejini
Haya ndiyo maelezo ya wawili hao kuhusiana na picha za mwanadada shilole zikimuonyesha wazi sehemu ya kifua chake wakati akiwa stejini anatumbuiza huko nchini Ubelgiji.
Show ni movement na uwezi mkataza mtu kupiga picha ukiwa kwa stage'na kuna nguo za show na nguo za kutoka out kikawaida'ukiruka ruka sana sidiria ni rahisi kuchomoka akina dada mnafaham na mtu yupo stejini anakua hajitambui kama nini kimetokea coz yupo stejin kwenye mood ya kazi na kila mtu ni binadamu na ndio mana wengine...
10 years ago
Bongo515 Dec
Shilole: Sio kwamba nimeacha kuigiza ila nafatutia timing, asema filamu ijayo itakuwa ni true story (Shilole In Dar)