Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabosi TBS, ATCL wakaangwa kortini

Mahakama ya Hakimu Mkazi KisutuMABOSI wa zamani wa mashirika ya umma, Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), jana walipanda kizimbani kujibu mashitaka yanayowakabili kutokana na uamuzi waliofanya walipokuwa wakiongoza mashirika hayo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Ukawa wakaangwa

HATUA ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kukashifu Waasisi wa Muungano, Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere na Shekhe Abeid Amaan Karume, imezidi kubomoa vyama vinavyounda umoja huo kwa wananchi.

 

11 years ago

Mwananchi

Wenye vyeti feki wakaangwa bungeni

Wabunge juzi jioni walichachamaa wakitaka mawaziri na wabunge wanaohusishwa na vyeti feki kulithibitishia Bunge juu ya uhalali wa vyeti vyao.

 

11 years ago

GPL

LULU AWATETEA MABOSI WAKWARE

Stori: Gabriel Ng’osha
STAA wa filamu ya Foolish Age, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewatetea mabosi wa wasanii akidai si wote wana tabia ya ‘kuduu’ na wafanyakazi wao. Staa wa filamu ya Foolish Age, Elizabeth Michael ‘Lulu’. Akijibu swali aliloulizwa na paparazi wetu kuhusiana na mabosi wakware, Lulu alitiririka:
“Imezoeleka kuwa mabosi wote hawawezi kufanya kazi na msanii...

 

9 years ago

Habarileo

Mabosi wa uchaguzi TFF, DRFA kuteta

KAMATI ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) chini ya Mwenyekiti wake Aloyce Komba, inatarajia kukutana na Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Chama cha Soka Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA), Rashid Sadallah kuzungumzia mambo mbalimbali kuhusu uchaguzi wa Chama cha Soka Temeke (TEFA).

 

9 years ago

Mwananchi

Kimbunga chawakumba mabosi TPA, TRL

Rais John Magufuli ametengua uteuzi na kumsimamisha kazi ya utumishi wa umma, Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dk Shaaban Mwinjaka kwa kushindwa kusimamia uwajibikaji katika Mamlaka ya Bandari nchini (TPA) na Kampuni ya Reli (TRL).

 

10 years ago

Habarileo

Mabosi kiwanda cha nondo mbaroni Dar

MAMLAKA ya Maji safi na Maji taka Dar es Salaam (Dawasco) imekamata mifuniko ya majitaka katika kiwanda cha nondo cha Iron & Steel cha jijini Dar es Salaam ikiwa ni hatua mojawapo za kuzuia uhujumu wa miundombinu ya majisafi na wizi wa maji.

 

10 years ago

GPL

MABOSI LAKE OIL WADAIWA KUMVUA NGUO MFANYAKAZI

Mfanyakazi wa kampuni ya mafuta ya Lake Oil, Deocres Deus Ruta (32) anayedai kunyanyanswa na mabosi zake. Stori:Makongoro Oging’
Baadhi ya vigogo wa kampuni ya mafuta ya Lake Oil wanadaiwa kumvua nguo mfanyakazi wao Deocres Deus Ruta (32) (pichani)ambaye ni dereva wao pia vijana wawili ambao siyo wafanyakazi wa kampuni hiyo. Akizungumza katika ofisi za gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita Ruta alidai kwamba Desemba...

 

10 years ago

Mwananchi

Thierry Henry, Pires, mabosi Arsenal kutua Tanzania

Uongozi wa Arsenal jana umeanza mazungumzo rasmi na kampuni 20 nchini kwa lengo la kufungua uhusiano wa kibiashara, lakini katika mpango huo makocha wa timu hiyo na baadhi ya nyota waliowahi kutamba watapata fursa ya kutembelea Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani