Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Thierry Henry, Pires, mabosi Arsenal kutua Tanzania

Uongozi wa Arsenal jana umeanza mazungumzo rasmi na kampuni 20 nchini kwa lengo la kufungua uhusiano wa kibiashara, lakini katika mpango huo makocha wa timu hiyo na baadhi ya nyota waliowahi kutamba watapata fursa ya kutembelea Tanzania.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Thierry Henry ni ''Mwalimu'' ?

Thierry Henry aliwashangaza wanafunzi katika shule moja nchini Wales alipoingia darasani akiwa amevalia nywele bandia na miwani

 

10 years ago

Mtanzania

Kiwango cha Cazorla chamkuna Thierry Henry

Santi-CazorlaMANCHESTER, England

GWIJI wa Arsenal, Thierry Henry anaamini Santi Cazorla amekuwa ‘mtaamu’ sana uwanjani na kiwango chake ndicho kilichangia timu hiyo kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Manchester City katika mchezo wa Ligi Kuu England uliopigwa Etihad juzi.
Akizungumza katika mechi yake ya kwanza kama mchambuzi wa soka wa kituo cha televisheni cha Skysport, Henry alidai Cazorla ndiye alikuwa msingi wa kiwango bora kilichoonyeshwa na Arsenal katika mechi hiyo.
Cazorla alifunga bao la...

 

5 years ago

Mirror Online

Reason why Anthony Martial has not reached Thierry Henry's level explained

Reason why Anthony Martial has not reached Thierry Henry's level explained  Mirror OnlineFrance icon Henry feels Martial's development and consistency hindered by Man Utd's lack of characters  Goal.comThierry Henry makes secret admission about Arsenal dressing room and Man Utd's Anthony Martial  Football.LondonThe concern Arsenal FC great Thierry Henry has about Manchester United forward Anthony Martial  Manchester Evening NewsMan Utd star Anthony Martial dressing room problem revealed by...

 

5 years ago

Just Arsenal News

Former Gunner reveals how Thierry Henry reduced top-class opponents to average players

Former Gunner reveals how Thierry Henry reduced top-class opponents to average players  Just Arsenal NewsPremier League Player of the Season by club - your picks revealed  Sky SportsArsenal players 'face pay-cut' if club fails to qualify for Champions League  Mirror Online‘Henry reduced top-class opponents to helpless also-rans’ – Arsenal icon is Premier League’s best ever, says Smith  Goal.comArsenal 'tell players they can avoid wage cuts if they qualify for Champions League'  Daily...

 

9 years ago

Bongo5

Thierry Henry amtaja Paul Scholes kuwa ndiye mchezaji bora wa muda wote katika ligi kuu England

Mchezaji soka na gwiji wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa, Thierry Henry amewafanya watu kubaki na mshangao kwa kumtaja kiungo wa zamani wa England na Manchester United, Paul Scholes kuwa ndiye mchezaji bora aliyewahi kukutana naye katika historia ya Premier League. Henry alijibu swali hilo katika interview moja na Sky Sport, […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Pires amwagia sifa Wanyama, asema ana sifa zote za kucheza Arsenal

robert-pires_3068381k

Robert Pires.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Robert Pires amemsifia mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya na Southampton, Victor Wanyama na kuwa ana sifa za kucheza Arsenal kutokana na ubora alionao.

Pires aliulizwa na mwandishi wa habari wa Kenya kuhusu uwezo wa Wanyama na kusema kuwa amekuwa akimwangalia mchezaji huyo na anamwona kama mchezaji mwenye uwezo mzuri ambao kama akiongeza juhudi anaweza katika ubora wa wachezaji bora wa dunia.

“Namjua Wanyama, ni balozi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Henry ataka kuisaidia Arsenal

Uwezekano wa Thiery Henry kujiunga na Arsenal kama mkufunzi umeongezeka baada ya kusema anataka kusaidia timu hiyo kushinda taji

 

9 years ago

Bongo5

Thiery Henry adai Arsenal itatwaa ubingwa wa EPL msimu huu

THMchezaji wa zamani wa Arsenal, Thiery Henry ameda ana imani kuwa Arsenal wanapaswa kutwaa ubingwa wa EPL mwaka huu. Kwa sasa Arsenal wanashika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi hiyo Manchester City lakini wakitofautiana kwa idadi ya magoli ya kufungwa na kufunga huku wakishinda michezo yao yote minne ya mwisho ya ligi. Alipokuwa akiongea […]

 

10 years ago

Mwananchi

Ujumbe wa Arsenal kutua nchini Jumapili kufanya uwekezaji

 jumbe wa Klabu Arsenal ya England unatarajiwa nchini Jumapili pamoja na mengine ya soka, klabu hiyo kuwekeza nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani