Thierry Henry, Pires, mabosi Arsenal kutua Tanzania
Uongozi wa Arsenal jana umeanza mazungumzo rasmi na kampuni 20 nchini kwa lengo la kufungua uhusiano wa kibiashara, lakini katika mpango huo makocha wa timu hiyo na baadhi ya nyota waliowahi kutamba watapata fursa ya kutembelea Tanzania.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Thierry Henry ni ''Mwalimu'' ?
10 years ago
Mtanzania20 Jan
Kiwango cha Cazorla chamkuna Thierry Henry
MANCHESTER, England
GWIJI wa Arsenal, Thierry Henry anaamini Santi Cazorla amekuwa ‘mtaamu’ sana uwanjani na kiwango chake ndicho kilichangia timu hiyo kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Manchester City katika mchezo wa Ligi Kuu England uliopigwa Etihad juzi.
Akizungumza katika mechi yake ya kwanza kama mchambuzi wa soka wa kituo cha televisheni cha Skysport, Henry alidai Cazorla ndiye alikuwa msingi wa kiwango bora kilichoonyeshwa na Arsenal katika mechi hiyo.
Cazorla alifunga bao la...
5 years ago
Mirror Online27 Mar
Reason why Anthony Martial has not reached Thierry Henry's level explained
5 years ago
Just Arsenal News12 Apr
Former Gunner reveals how Thierry Henry reduced top-class opponents to average players
9 years ago
Bongo529 Oct
Thierry Henry amtaja Paul Scholes kuwa ndiye mchezaji bora wa muda wote katika ligi kuu England
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Pires amwagia sifa Wanyama, asema ana sifa zote za kucheza Arsenal
Robert Pires.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Robert Pires amemsifia mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya na Southampton, Victor Wanyama na kuwa ana sifa za kucheza Arsenal kutokana na ubora alionao.
Pires aliulizwa na mwandishi wa habari wa Kenya kuhusu uwezo wa Wanyama na kusema kuwa amekuwa akimwangalia mchezaji huyo na anamwona kama mchezaji mwenye uwezo mzuri ambao kama akiongeza juhudi anaweza katika ubora wa wachezaji bora wa dunia.
“Namjua Wanyama, ni balozi...
10 years ago
BBCSwahili29 Nov
Henry ataka kuisaidia Arsenal
9 years ago
Bongo530 Oct
Thiery Henry adai Arsenal itatwaa ubingwa wa EPL msimu huu
![TH](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/TH-94x94.jpg)
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Ujumbe wa Arsenal kutua nchini Jumapili kufanya uwekezaji