Ujumbe wa Arsenal kutua nchini Jumapili kufanya uwekezaji
 jumbe wa Klabu Arsenal ya England unatarajiwa nchini Jumapili pamoja na mengine ya soka, klabu hiyo kuwekeza nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog16 May
Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Nyusi kutua nchini Jumapili Mei 17 kwa ziara ya siku 3
Rais Filipe Nyusi wa Msumbiji
Rais wa Msumbiji Mhe.Filipe Jacinto Nyusi anatarajia kuwasili nchini Tanzania Mei 17 mwaka huu kwa ziara ya kikazi ya siku tatu ambapo pamoja na mambo mengine anatarajia kulihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaloendelea na vikao vyake mjini Dodoma.
Akitoa taarifa ya ziara hiyo leo jijini Dar es salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Mecki Sadiki amesema kuwa Rais Filipe Nyusi atawasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius...
10 years ago
Mwananchi20 Jan
Thierry Henry, Pires, mabosi Arsenal kutua Tanzania
10 years ago
Bongo Movies23 Feb
Sasa ni Zamu ya Yusup Mlela na Esha Buheti Kutua Marekani Kufanya Project
“Nawatakia safari njema ndugu zangu mungu awatangulie kwa kila jambo najua mungu ndio anayepanga kuna mengi ila hili limeanza kwenu na milango mnaifungua wazi msiwe kama wangine wenye kucheka machoni uku moyo umekunjama. Hahahahaha.alianza Wastara . Mona . Sasa zamu yenu Mlela na Esha mkatuwakilishe vyema . USA . CHAO pamoja wasaniii wadogo haoooooooooooooooooo . Mmmmmmmmmmmmmm majuuuuuuuu”- Steven Mengere 'Steve Nyerere’ aliekuwa raisi wa Bongo Movie Unity alibandika andiko hili mtandaoni...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cPakA0chAEwj6tuwTPXOCfQI6N7I9iFMK-YDs77eHtx7Ail0duS1lvaxaYfOIvUUA-rq7TInrfYz1B*ooCeva2TNxzEdwRcg/Mafikizolo720x478.jpg?width=650)
MAFIKIZOLO KUTUA LEO JIJINI DAR, KUFANYA MAKAMUZI KESHO MLIMANI CITY
10 years ago
Bongo526 Nov
Jaguar kutua TZ kwajili ya Uwoya, Irene adai anakuja kufanya mipango ya ndoa yao
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-KFpwzB-AXIs/VJ5Jz_yr2WI/AAAAAAAAsG8/MVmWY-dtPSI/s72-c/WAZIRI.jpg)
TUTANI: NYALANDU KUFANYA TAMASHA KUBWA ILONGELO JUMAPILI
![](http://1.bp.blogspot.com/-KFpwzB-AXIs/VJ5Jz_yr2WI/AAAAAAAAsG8/MVmWY-dtPSI/s1600/WAZIRI.jpg)
Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu, Desemba 28, 2014 (kesho J’pili) atafanya mkutano mkubwa kwa ajili ya kumshukuru Mwenyezi Mungu na wananchi wa Singida Vijijini na Watanzania wote kwa kutimiza miaka 15 ya ubunge.
Taarifa iliyotolewa na Mbunge huyo, Elia Diga, imesema kuwa mkutano huo ambao utaambatana na burudani mbalimbali, utafanyika katika Kata ya Ilongero na utahudhuriwa na viongozi wa Chama na serikali, viongozi wa dini zote...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IyvRwmqDCyg/Vbo_RJGoLhI/AAAAAAAHswQ/5ULxGoP-o_s/s72-c/mail.google.com.jpg)
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Barcelona kutua nchini Desemba
11 years ago
Mtanzania13 Aug
Patrick Phiri kutua leo nchini
![Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Patrick-Phiri.jpg)
Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mpya wa Simba, Patrick Phiri, anatarajia kutua leo nchini na kukabidhiwa mikoba ya aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Mcroatia Zdravko Logarusic, aliyefungashiwa virago vyake mwishoni mwa wiki iliyopita.
Phiri anatarajia kuwasili majira ya saa 8 mchana kwa ndege ya Shirika la Ndege la Fastjet akitokea nchini kwao Zambia.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva, alithibitisha ujio wa kocha huyo leo,...