Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ujumbe wa Arsenal kutua nchini Jumapili kufanya uwekezaji

 jumbe wa Klabu Arsenal ya England unatarajiwa nchini Jumapili pamoja na mengine ya soka, klabu hiyo kuwekeza nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Nyusi kutua nchini Jumapili Mei 17 kwa ziara ya siku 3

filipe_nyusiRais Filipe Nyusi wa Msumbiji

Rais wa Msumbiji Mhe.Filipe Jacinto Nyusi anatarajia kuwasili nchini Tanzania Mei 17 mwaka huu kwa ziara ya kikazi ya siku tatu ambapo pamoja na mambo mengine anatarajia kulihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaloendelea na vikao vyake mjini Dodoma.

Akitoa taarifa ya ziara hiyo leo jijini Dar es salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Mecki Sadiki amesema kuwa Rais Filipe Nyusi atawasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius...

 

10 years ago

Mwananchi

Thierry Henry, Pires, mabosi Arsenal kutua Tanzania

Uongozi wa Arsenal jana umeanza mazungumzo rasmi na kampuni 20 nchini kwa lengo la kufungua uhusiano wa kibiashara, lakini katika mpango huo makocha wa timu hiyo na baadhi ya nyota waliowahi kutamba watapata fursa ya kutembelea Tanzania.

 

10 years ago

Bongo Movies

Sasa ni Zamu ya Yusup Mlela na Esha Buheti Kutua Marekani Kufanya Project

“Nawatakia safari njema ndugu zangu mungu awatangulie kwa kila jambo najua mungu ndio anayepanga kuna mengi ila hili limeanza kwenu na milango mnaifungua wazi msiwe kama wangine wenye kucheka machoni uku moyo umekunjama. Hahahahaha.alianza Wastara . Mona . Sasa zamu yenu Mlela na Esha mkatuwakilishe vyema . USA . CHAO pamoja wasaniii wadogo haoooooooooooooooooo . Mmmmmmmmmmmmmm majuuuuuuuu”- Steven Mengere 'Steve Nyerere’  aliekuwa raisi wa Bongo Movie Unity alibandika andiko hili mtandaoni...

 

11 years ago

GPL

MAFIKIZOLO KUTUA LEO JIJINI DAR, KUFANYA MAKAMUZI KESHO MLIMANI CITY

Kundi maarufu la muziki wa Kwaito la nchini Afrika Kusini, Mafikizolo linatarajia kutua mchana huu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya onesho moja tu linalotarajia kufanyika katika ukumbi wa Mlimani City, kesho, Jumamosi Aprili 5 mwaka huu. Mafikizolo imekuwa na rekodi nzuri ya kushinda kwenye tuzo mbalimbali za muziki, kutokana na kupiga muziki na kucheza kwa umahiri, hasa mtindo wao maarufu wa Kwaito. Kundi hilo linaloundwa na...

 

10 years ago

Bongo5

Jaguar kutua TZ kwajili ya Uwoya, Irene adai anakuja kufanya mipango ya ndoa yao

Msanii wa muziki kutoka Kenya, Jaguar ameweka wazi hisia zake za kumkubali sana staa wa filamu Irene Uwoya kutoka Bongo, ambapo amesema anajipanga kutua Bongo mwishoni mwa mwaka huu kuja kumuona staa huyu anayevutiwa naye. Jaguar Jaguar ameiambia E-Newz ya Eatv kuwa akitua Bongo hataishia kumuona Irene tu, bali atakwenda hadi kwa wazazi wa staa […]

 

10 years ago

Vijimambo

TUTANI: NYALANDU KUFANYA TAMASHA KUBWA ILONGELO JUMAPILI

*Zaidi ya watu 20,000 kuhudhuria
Na Mwandishi Wetu
Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu, Desemba 28, 2014 (kesho J’pili) atafanya mkutano mkubwa kwa ajili ya kumshukuru Mwenyezi Mungu na wananchi wa Singida Vijijini na Watanzania wote kwa kutimiza miaka 15 ya ubunge.

Taarifa iliyotolewa na Mbunge huyo, Elia Diga, imesema kuwa mkutano huo ambao utaambatana na burudani mbalimbali, utafanyika katika Kata ya Ilongero na utahudhuriwa na viongozi wa Chama na serikali, viongozi wa dini zote...

 

10 years ago

Mwananchi

Barcelona kutua nchini Desemba

Nyota wa zamani wa Barcelona, Patrick Kluivert, Rivaldo na Deco wanatarajiwa kukiongoza kikosi cha wachezaji wa zamani wa Barcelona kwa ajili ya kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya kikosi cha wakongwe wa soka nchini mwezi Desemba.

 

11 years ago

Mtanzania

Patrick Phiri kutua leo nchini

Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri

Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

KOCHA Mpya wa Simba, Patrick Phiri, anatarajia kutua leo nchini na kukabidhiwa mikoba ya aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Mcroatia Zdravko Logarusic, aliyefungashiwa virago vyake mwishoni mwa wiki iliyopita.

Phiri anatarajia kuwasili majira ya saa 8 mchana kwa ndege ya Shirika la Ndege la Fastjet akitokea nchini kwao Zambia.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva, alithibitisha ujio wa kocha huyo leo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani