Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Thierry Henry ni ''Mwalimu'' ?

Thierry Henry aliwashangaza wanafunzi katika shule moja nchini Wales alipoingia darasani akiwa amevalia nywele bandia na miwani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Kiwango cha Cazorla chamkuna Thierry Henry

Santi-CazorlaMANCHESTER, England

GWIJI wa Arsenal, Thierry Henry anaamini Santi Cazorla amekuwa ‘mtaamu’ sana uwanjani na kiwango chake ndicho kilichangia timu hiyo kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Manchester City katika mchezo wa Ligi Kuu England uliopigwa Etihad juzi.
Akizungumza katika mechi yake ya kwanza kama mchambuzi wa soka wa kituo cha televisheni cha Skysport, Henry alidai Cazorla ndiye alikuwa msingi wa kiwango bora kilichoonyeshwa na Arsenal katika mechi hiyo.
Cazorla alifunga bao la...

 

10 years ago

Mwananchi

Thierry Henry, Pires, mabosi Arsenal kutua Tanzania

Uongozi wa Arsenal jana umeanza mazungumzo rasmi na kampuni 20 nchini kwa lengo la kufungua uhusiano wa kibiashara, lakini katika mpango huo makocha wa timu hiyo na baadhi ya nyota waliowahi kutamba watapata fursa ya kutembelea Tanzania.

 

5 years ago

Mirror Online

Reason why Anthony Martial has not reached Thierry Henry's level explained

Reason why Anthony Martial has not reached Thierry Henry's level explained  Mirror OnlineFrance icon Henry feels Martial's development and consistency hindered by Man Utd's lack of characters  Goal.comThierry Henry makes secret admission about Arsenal dressing room and Man Utd's Anthony Martial  Football.LondonThe concern Arsenal FC great Thierry Henry has about Manchester United forward Anthony Martial  Manchester Evening NewsMan Utd star Anthony Martial dressing room problem revealed by...

 

5 years ago

Just Arsenal News

Former Gunner reveals how Thierry Henry reduced top-class opponents to average players

Former Gunner reveals how Thierry Henry reduced top-class opponents to average players  Just Arsenal NewsPremier League Player of the Season by club - your picks revealed  Sky SportsArsenal players 'face pay-cut' if club fails to qualify for Champions League  Mirror Online‘Henry reduced top-class opponents to helpless also-rans’ – Arsenal icon is Premier League’s best ever, says Smith  Goal.comArsenal 'tell players they can avoid wage cuts if they qualify for Champions League'  Daily...

 

9 years ago

Bongo5

Thierry Henry amtaja Paul Scholes kuwa ndiye mchezaji bora wa muda wote katika ligi kuu England

Mchezaji soka na gwiji wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa, Thierry Henry amewafanya watu kubaki na mshangao kwa kumtaja kiungo wa zamani wa England na Manchester United, Paul Scholes kuwa ndiye mchezaji bora aliyewahi kukutana naye katika historia ya Premier League. Henry alijibu swali hilo katika interview moja na Sky Sport, […]

 

10 years ago

Michuzi

msaada tutani: mwalimu wa kiswahili sweden anatafuta mwalimu mwenzie kubadilishana nondo

Mimi ni mwalimu wa Kiswahili Sweden natafuta mwalimu yoyote anayefundisha kiswahili hapa ili tuweze badilishana materials. Nashindwa kufundisha kwa ufasaha vile sijapata mwenzangu.Email yangu ni linda.johansson5@kungsbacka.se
Kwa mawasiliano nitumie email.

 

11 years ago

Michuzi

Mwalimu Dodoma matatani kwa tuhuma za kuua mwalimu mwenzake kisa deni la buku moja

JESHI la Polisi Mkoani Dodoma linamshikilia Mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Hombolo Justus Jackson (28) kwa tuhuma ya kumuua mwalimu mwenzie kwa kukataa kulipa sh. 1,000 ya bili ya umeme aliyotakiwa kuchangia marehemu.  Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma, David Missime amemtaja mwalimu aliyeuwawa kuwa ni Freddy Ndahani (29) mwalimu wa shule ya Hombolo.Kamanda  Misime amesema walimu hao wote wawili wanalikuwa wakiishi katika nyumba moja na walikuwa wakichangia bili ya umeme katika nyumba...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwalimu adaiwa kumuua mwalimu mwenzake Kagera

>Mwalimu wa Shule ya Msingi Kaiho, Kijiji cha Rwigembe, mkoani Kagera, Tumaini Samson (42) anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumuua mwalimu mwenzake, Samson Mwenda (26) kutokana na kumchoma kwa kisu kifuani na mgongoni.

 

11 years ago

GPL

Henry Joseph aitesa Simba

Henry Joseph.
Na Hans Mloli
KOCHA Msaidizi wa Simba, Selemani Matola, amesema ni pengo kubwa kwa Henry Joseph kukosekana kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoendelea huko Zanzibar. Henry hakuweza kuungana na timu hiyo iliyoondoka wiki iliyopita kuelekea visiwani humo huku ofisa habari wa klabu hiyo, Stanley Phillip, akibainisha kuwa, matatizo ya kifamilia ndiyo yaliyomzuia kiungo huyo kujiunga na Wekundu hao....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani