Henry Joseph aitesa Simba
Henry Joseph. Na Hans Mloli KOCHA Msaidizi wa Simba, Selemani Matola, amesema ni pengo kubwa kwa Henry Joseph kukosekana kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoendelea huko Zanzibar. Henry hakuweza kuungana na timu hiyo iliyoondoka wiki iliyopita kuelekea visiwani humo huku ofisa habari wa klabu hiyo, Stanley Phillip, akibainisha kuwa, matatizo ya kifamilia ndiyo yaliyomzuia kiungo huyo kujiunga na Wekundu hao....
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLHenry Joseph azua balaa Simba SC
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Lowassa aitesa CCM
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeunda timu ya kuwachunguza makada wake wanaodaiwa kutangaza nia ya kuwania uongozi kabla ya wakati, na wanaomwaga fedha kwa wajumbe wa mkutano mkuu ili kuwashawishi wawaunge...
9 years ago
MichuziSt. Joseph & Forodhani ALUMNI kufanyika Jumamosi hii Septemba 26, 2015 viwanja vya St Joseph Cathedral High School jijini Dar es salaam
St Joseph &Forodhani ALUMNI imeandaa “reunion” mkutano wa pamoja siku ya Jumamosi tarehe 26 September kwa wanafunzi...
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Thierry Henry ni ''Mwalimu'' ?
11 years ago
GPLHenry, Berko wamgomea Logarusic
10 years ago
BBCSwahili29 Nov
Henry ataka kuisaidia Arsenal
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Henry na Carragher wamshangaa Van Gaal
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Thierry Henry na mwenzake wa Liverpool, Jamie Carragher ambao kwa sasa ni wachambuzi wa soka katika kituo cha michezo, Sky Sports wamemshangaa kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal kwa jinsi anavyomtumia mchezaji wake, Antony Martial.
Wakiwa katika kipindi cha michezo katika kituo hicho wakati wakimzungumzia Martial kwenye mchezo wa wikiendi iliyopita ambapo Manchester United ilipoteza mchezo huo mbele ya Norwich kwa kipigo cha...
10 years ago
BBCSwahili22 Nov
Thiery Henry kupewa kazi ya ukufunzi
10 years ago
Mtanzania20 Jan
Kiwango cha Cazorla chamkuna Thierry Henry
MANCHESTER, England
GWIJI wa Arsenal, Thierry Henry anaamini Santi Cazorla amekuwa ‘mtaamu’ sana uwanjani na kiwango chake ndicho kilichangia timu hiyo kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Manchester City katika mchezo wa Ligi Kuu England uliopigwa Etihad juzi.
Akizungumza katika mechi yake ya kwanza kama mchambuzi wa soka wa kituo cha televisheni cha Skysport, Henry alidai Cazorla ndiye alikuwa msingi wa kiwango bora kilichoonyeshwa na Arsenal katika mechi hiyo.
Cazorla alifunga bao la...