Henry na Carragher wamshangaa Van Gaal
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Thierry Henry na mwenzake wa Liverpool, Jamie Carragher ambao kwa sasa ni wachambuzi wa soka katika kituo cha michezo, Sky Sports wamemshangaa kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal kwa jinsi anavyomtumia mchezaji wake, Antony Martial.
Wakiwa katika kipindi cha michezo katika kituo hicho wakati wakimzungumzia Martial kwenye mchezo wa wikiendi iliyopita ambapo Manchester United ilipoteza mchezo huo mbele ya Norwich kwa kipigo cha...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Dec
Hatufikirii ubingwa:Van gaal
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Van Gaal:Tutashinda Wolfsburg
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
VAN GAAL : FIFA IMETUONEA
10 years ago
BBCSwahili25 Oct
Mourinho amsifu Van Gaal
10 years ago
BBCSwahili20 Oct
Van Gaal apuuza tathmini kumhusu
9 years ago
BBCSwahili29 Dec
Van Gaal: Sioni haja ya kujiuzulu
11 years ago
BBCSwahili29 Jun
Van Gaal; Kopo la maji uwanjani ?
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Louis van Gaal hana kisingizio
10 years ago
BBCSwahili16 Aug
Van Gaal aambulia kichapo Old Trafford