Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Thiery Henry kupewa kazi ya ukufunzi

Arsenal ina mpango wa kumpatia aliyekuwa mshambulizi wa timu hiyo Thiery Henry fursa ya ukufunzi katika timu hiyo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Thiery Henry adai Arsenal itatwaa ubingwa wa EPL msimu huu

THMchezaji wa zamani wa Arsenal, Thiery Henry ameda ana imani kuwa Arsenal wanapaswa kutwaa ubingwa wa EPL mwaka huu. Kwa sasa Arsenal wanashika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi hiyo Manchester City lakini wakitofautiana kwa idadi ya magoli ya kufungwa na kufunga huku wakishinda michezo yao yote minne ya mwisho ya ligi. Alipokuwa akiongea […]

 

9 years ago

Bongo5

Thiery Henry ndiye mchambuzi wa soka kwenye TV anayelipwa fedha nyingi zaidi UK

1DA5076200000578-3361435-image-a-63_1450207906418

Mchezaji wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa, Thiery Henry ndiye mchambuzi wa soka anayelipwa fedha nyingi zaidi nchini Uingereza.

1DA5076200000578-3361435-image-a-63_1450207906418

Sky Sport wanamlipa pauni milioni nne kila mwaka katika mkataba wake wa miaka sita.

Pamoja na kuwa nao, mkataba wake unamruhusu kufanya kazi hiyo na vituo vya runinga vingine.

Tayari imefahamika kuwa BBC Sport wanatarajia kumtangaza kama mchambuzi wao wa European Championship.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,...

 

9 years ago

BBCSwahili

Eto’o apewa kazi ya ukufunzi Uturuki

Nyota wa zamani wa Barcelona, Inter Milan na Chelsea Samuel Eto’o ameteuliwa kuwa kaimu mkufunzi wa klabu ya Antalyaspor ya Uturuki.

 

10 years ago

Habarileo

Wasichana wa kazi Uganda kupewa vyeti vya kazi

INSPEKTA Jenerali wa Polisi nchini Uganda, Jenerali Kale KayihuraINSPEKTA Jenerali wa Polisi nchini Uganda, Jenerali Kale Kayihura, ameagiza Jeshi la Polisi kuanza kutoa vyeti kwa wasichana wa nyumbani, wakati Umoja wa Mataifa (UN), ukitaka Serikali ya Uganda kuchukua hatua dhidi ya msichana wa kazi, aliyemtesa mtoto kwa kumpiga, kumtupa chini na kumkanyaga.

 

10 years ago

BBCSwahili

Henry aimezea mate kazi ya Arsene Wenger

Aliyekuwa mchezaji wa Arsenal Thierry Henry amefichua kuwa ndoto yake kuu ni kumrithi mkufunzi Arsene Wenger

 

9 years ago

Mwananchi

Waliopoteza Ubunge ACT kupewa kazi maalum

Wakati wanasiasa wengine wakiamini kuwa walimaliza Uchaguzi Mkuu Oktoba 25 baada ya kupiga kura, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe anasema anaamini siku hiyo ndiyo ilikuwa mwanzo wa maandalizi yake ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020.

 

10 years ago

Habarileo

CCM waomba polisi kupewa vitendea kazi

VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na watendaji wa Serikali wilayani Kyerwa mkoani Kagera wameishauri na kuiomba Serikali kuboresha na kuongeza vitendea kazi ikiwemo magari ya Polisi kwa ajili ya kufanyia doria ili kudhibiti magendo ya rasilimali za nchi zinazovushwa na baadhi ya Watanzania wasiokuwa wazalendo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Thierry Henry ni ''Mwalimu'' ?

Thierry Henry aliwashangaza wanafunzi katika shule moja nchini Wales alipoingia darasani akiwa amevalia nywele bandia na miwani

 

11 years ago

GPL

Henry Joseph aitesa Simba

Henry Joseph.
Na Hans Mloli
KOCHA Msaidizi wa Simba, Selemani Matola, amesema ni pengo kubwa kwa Henry Joseph kukosekana kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoendelea huko Zanzibar. Henry hakuweza kuungana na timu hiyo iliyoondoka wiki iliyopita kuelekea visiwani humo huku ofisa habari wa klabu hiyo, Stanley Phillip, akibainisha kuwa, matatizo ya kifamilia ndiyo yaliyomzuia kiungo huyo kujiunga na Wekundu hao....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani