Wasichana wa kazi Uganda kupewa vyeti vya kazi
INSPEKTA Jenerali wa Polisi nchini Uganda, Jenerali Kale Kayihura, ameagiza Jeshi la Polisi kuanza kutoa vyeti kwa wasichana wa nyumbani, wakati Umoja wa Mataifa (UN), ukitaka Serikali ya Uganda kuchukua hatua dhidi ya msichana wa kazi, aliyemtesa mtoto kwa kumpiga, kumtupa chini na kumkanyaga.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziRAIA WAPYA WA TANZANIA WASHANGILIA KUPEWA VYETI VYA URAIA, MAMA MJAMZITO AJIFUNGUA AKIWA KATIKA KITUO CHA KUPOKELEA VYETI
10 years ago
BBCSwahili22 Nov
Thiery Henry kupewa kazi ya ukufunzi
10 years ago
Habarileo17 Apr
CCM waomba polisi kupewa vitendea kazi
VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na watendaji wa Serikali wilayani Kyerwa mkoani Kagera wameishauri na kuiomba Serikali kuboresha na kuongeza vitendea kazi ikiwemo magari ya Polisi kwa ajili ya kufanyia doria ili kudhibiti magendo ya rasilimali za nchi zinazovushwa na baadhi ya Watanzania wasiokuwa wazalendo.
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Waliopoteza Ubunge ACT kupewa kazi maalum
11 years ago
BBCSwahili03 Apr
Vyeti vya kukosa ukimwi vyauzwa Uganda
10 years ago
Dewji Blog27 Aug
Serikali yasisitiza matumizi ya ya vyeti halisi wakati wa uombaji wa kazi Sekretariati ya Ajira
Naibu Katibu Kitengo cha Udhibiti na Ubora toka Ofisi ya Rais, Sekretariat ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Humphrey Mniachi akiongea na waandishi wa Habari (Hawapo Pichani)Jinsi wanavyoshirikiana na Vyombo vingine serikalini katika Mchakato wa Ajira,wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Ofisi Hiyo Bi. Riziki Abraham.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano toka Ofisi ya Rais, Sekretariat ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bi. Riziki...
10 years ago
Habarileo28 Oct
Waliopoteza vyeti kupewa vingine
BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA), limeanzisha utaratibu wa kutoa vyeti mbadala kwa watahiniwa waliopoteza au kuunguliwa na vyeti vyao.
9 years ago
Bongo503 Nov
Barnaba afanya kazi na msanii mwingine wa Uganda, ‘Kleyah’
![Teaser-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Teaser-1-94x94.jpg)
11 years ago
Michuzi28 Apr
KUTANGAZA KWA KUPOTEA KWA VYETI VYA SECONDARY NA VYETI VYA KUZALIWA
Katika mazingira ya yasiyoelweka, natangaza KUPOTEA kwa vyeti vya kuzaliwa vyenye majina ya Marianne Mwiki na Even Mwiki.
ACSE from Lutheran Junior Seminary mwaka 2001 CSE from Mpwapwa Secondary School mwaka 1997
Mara ya mwisho vilitumwa Arusha Tanzania 2005,
Mwenye taarifa ya mtu yeyote kujiita Marianne Mwiki katika nafasi yeyote ya kazi, shule ama chuo sehemu yeyote, tafadhali tujulishe haraka iwezekanavyo, zawadi kubwa itatolewa kwa Mwenye taarifa yeyote itakayoweza kusaidia...