Waliopoteza vyeti kupewa vingine
BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA), limeanzisha utaratibu wa kutoa vyeti mbadala kwa watahiniwa waliopoteza au kuunguliwa na vyeti vyao.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziRAIA WAPYA WA TANZANIA WASHANGILIA KUPEWA VYETI VYA URAIA, MAMA MJAMZITO AJIFUNGUA AKIWA KATIKA KITUO CHA KUPOKELEA VYETI
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Waliopoteza Ubunge ACT kupewa kazi maalum
10 years ago
MichuziWATOTO WENYE UMRI CHINI YA MIAKA MITANO KUSAJILIWA NA KUPEWA VYETI BURE MKOANI MWANZA
Mkuu wa wilaya hiyo akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe Magesa Stanslaus Mulongo kama Mgeni rasmi katika Uzinduzi huo ametoa wito kwa wananchi kujitokeza kwa wingi katika...
10 years ago
Habarileo26 Nov
Wasichana wa kazi Uganda kupewa vyeti vya kazi
INSPEKTA Jenerali wa Polisi nchini Uganda, Jenerali Kale Kayihura, ameagiza Jeshi la Polisi kuanza kutoa vyeti kwa wasichana wa nyumbani, wakati Umoja wa Mataifa (UN), ukitaka Serikali ya Uganda kuchukua hatua dhidi ya msichana wa kazi, aliyemtesa mtoto kwa kumpiga, kumtupa chini na kumkanyaga.
11 years ago
Michuzi28 Apr
KUTANGAZA KWA KUPOTEA KWA VYETI VYA SECONDARY NA VYETI VYA KUZALIWA
Katika mazingira ya yasiyoelweka, natangaza KUPOTEA kwa vyeti vya kuzaliwa vyenye majina ya Marianne Mwiki na Even Mwiki.
ACSE from Lutheran Junior Seminary mwaka 2001 CSE from Mpwapwa Secondary School mwaka 1997
Mara ya mwisho vilitumwa Arusha Tanzania 2005,
Mwenye taarifa ya mtu yeyote kujiita Marianne Mwiki katika nafasi yeyote ya kazi, shule ama chuo sehemu yeyote, tafadhali tujulishe haraka iwezekanavyo, zawadi kubwa itatolewa kwa Mwenye taarifa yeyote itakayoweza kusaidia...
9 years ago
Habarileo24 Aug
‘Vigogo wanaohamia vyama vingine wana uchu wa mdaraka’
BAADHI ya wachambuzi wa masuala ya siasa nchini, wamesema hali ya siasa ya sasa ya wanasiasa wakongwe kuhamia vyama vingine, ni dalili ya kansa ya siasa na ujasiriamali wa siasa, ikiwemo uchu wa madaraka.
9 years ago
Bongo519 Nov
Vanessa Mdee kuanza kuvumbua na kusimamia vipaji vingine
![11419202_165666063787240_1338776917_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11419202_165666063787240_1338776917_n-300x194.jpg)
Wasanii wanaofanikiwa nchini wameonekana kutofaidi mafanikio yao wao wenyewe na badala yake wameanza kusaidia vipaji vingine.
Baada ya Diamond kuanzisha label yake ya WCB ambayo tayari imefanikiwa kumweka kwenye ramani Harmonize, Vanessa Mdee naye ataanza kufanya hivyo hivi karibuni.
Tayari ameanzisha kampuni yake, Mdee Music ambayo licha ya kusimamia kazi zake mwenyewe, itaanza pia kuvumbua na kusimamia vipaji vingine.
Vanessa ameiambia Bongo5 jana kuwa kampuni hiyo itakuwa ikifanya pia...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-JHclZNaTNNM/VQGWK1kRSXI/AAAAAAAAbtk/mRMa6R5tPek/s72-c/GLAD1.jpg)
GLADNESS MARTIN BRUS PASIPOTI YAKO NA VITAMBULISHO VINGINE VIMEOKOTWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-JHclZNaTNNM/VQGWK1kRSXI/AAAAAAAAbtk/mRMa6R5tPek/s1600/GLAD1.jpg)
BI GLADNESS MARTIN BRUSH PASIPOTI YAKO NA VITU VYAKO VINGINE AMBAVYO ULIPOTEZA AMA KWA KUDONDOSHA AU KUPORWA POCHI YAKO BASI HATI YAKO HIYO NA VITU VINGINE MBALIMBALI VIMEOKOTWA NA VIPO KATIKA MIKONO SALAMA.
YEYOTE ANAE MFAHAMU MHUSIKA AME TAARIFA AFIKE OFISI YA MTENDAJI KATA-TABATA MSIMBAZI SOKONI, ATAKABIDHIWA.
KWA MAELEZO ZAIDI PIGA 0713624583