Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GLADNESS MARTIN BRUS PASIPOTI YAKO NA VITAMBULISHO VINGINE VIMEOKOTWA


BI GLADNESS MARTIN BRUSH PASIPOTI YAKO NA VITU VYAKO VINGINE AMBAVYO ULIPOTEZA AMA KWA KUDONDOSHA AU KUPORWA POCHI YAKO BASI HATI YAKO HIYO NA VITU VINGINE MBALIMBALI VIMEOKOTWA NA VIPO KATIKA MIKONO SALAMA.
YEYOTE ANAE MFAHAMU MHUSIKA AME TAARIFA AFIKE OFISI YA MTENDAJI KATA-TABATA MSIMBAZI SOKONI, ATAKABIDHIWA. 

KWA MAELEZO ZAIDI PIGA 0713624583 

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

GLADNESS MARTIN BRUS PASIPOTI YAKO NA VITAMBULISHO VYAKO VINGINE VIMEOKOTWA

BI GLADNESS MARTIN BRUSH PASIPOTI YAKO NA VITU VYAKO VINGINE AMBAVYO ULIPOTEZA AMA KWA KUDONDOSHA AU KUPORWA POCHI YAKO BASI HATI YAKO HIYO NA VITU VINGINE MBALIMBALI VIMEOKOTWA NA VIPO KATIKA MIKONO SALAMA.
YEYOTE ANAE MFAHAMU MHUSIKA AMA TAARIFA AFIKE OFISI YA MTENDAJI KATA-TABATA MSIMBAZI SOKONI, ATAKABIDHIWA. 

KWA MAELEZO ZAIDI PIGA 0713624583  

 

10 years ago

Michuzi

makala ya sheria: JE UNAHITAJI PASIPOTI, HII NI NAMNA NYEPESI YA KUPATA PASIPOTI.

Na Bashir YakubYapo mambo  ambayo huwaumiza  watu vIchwa  yumkini  yakiwa   ni mambo madogo na ya kawaida.  Tatizo mara nyingi  huwa ni taarifa. Taarifa  zikimfikia  mtu ndipo huhisi jambo  ambalo alikuwa halijui  kuwa ni jepesi. 
Lakini kabla  ya taarifa mtu  huendelea kufikiria jambo hilo kwa ugumu. Katika kipindi kama hiki kuwa na kitu kama pasipoti si jambo la  anasa  au ufahari tena isipokuwa ni jambo  ambalo limeishaingia katika matumizi ya kawaida   ya kila siku ya walio wengi. Hii ni...

 

10 years ago

GPL

MNIGERIA AMPATIA MASOGANGE PASIPOTI YA SAUZI

Stori: Sifael Paul na Imelda Mtema Habari ya mjini kwenye ulimwengu wa mastaa Bongo ni taarifa kuwa video queen maarufu, Agness Gerald ‘Masogange’ amepatiwa passport (pasipoti) ya kuishi nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’ na mwanaume anayedaiwa kuwa ni mfanyabiashara raia wa Nigeria. Video queen maarufu, Agness Gerald ‘Masogange’. MWANAUME KAMWINGIZA MKENGE?
Kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika,...

 

11 years ago

Habarileo

Wanaopoteza pasipoti 'kukamuliwa’ zaidi

KATIKA kukabiliana na wimbi la ongezeko la upotevu wa hati za kusafiria, Serikali kupitia Idara ya Uhamiaji nchini imesema imelazimika kupandisha kiwango cha ada za maombi mapya kwa waliopoteza hati hizo.

 

10 years ago

Habarileo

Waliopoteza vyeti kupewa vingine

BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA), limeanzisha utaratibu wa kutoa vyeti mbadala kwa watahiniwa waliopoteza au kuunguliwa na vyeti vyao.

 

10 years ago

Michuzi

ZOEZI LA MAOMBI YA PASIPOTI KWA WATANZANIA NCHINI ITALI LAENDELEA

Maofisa wa Uhamiaji kutoka Dar Es Salaam na Zanzibar wameanza zoezi la kupokea maombi ya pasipoti kutoka kwa Watanzania waliopo nchini Italy. Maofisa hao wanategemewa kuelekea katika nchi za Turkey na Greece,kwa ajili ya zoezi hilo hilo.
 Haya ni matunda ya Kamati ya Diaspora iliyokutana na Mh Balozi James Alex Msekela, mwezi juni mwaka huu. Kamati ilikutana na balozi na maofisa wa juu wa kibalozi kwa ajili ya kutambulisha kamati na uongozi wake,na pia kuwakilisha kero na matatizo ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Je, unaweza kuyakabili matatizo yasiathiri furaha yako na maisha yako?

Je, ukikutana na mtu njiani, akakuuliza kama una matatizo katika maisha yako, utamjibu vipi?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani