GLADNESS MARTIN BRUS PASIPOTI YAKO NA VITAMBULISHO VINGINE VIMEOKOTWA
BI GLADNESS MARTIN BRUSH PASIPOTI YAKO NA VITU VYAKO VINGINE AMBAVYO ULIPOTEZA AMA KWA KUDONDOSHA AU KUPORWA POCHI YAKO BASI HATI YAKO HIYO NA VITU VINGINE MBALIMBALI VIMEOKOTWA NA VIPO KATIKA MIKONO SALAMA.
YEYOTE ANAE MFAHAMU MHUSIKA AME TAARIFA AFIKE OFISI YA MTENDAJI KATA-TABATA MSIMBAZI SOKONI, ATAKABIDHIWA.
KWA MAELEZO ZAIDI PIGA 0713624583
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziGLADNESS MARTIN BRUS PASIPOTI YAKO NA VITAMBULISHO VYAKO VINGINE VIMEOKOTWA
YEYOTE ANAE MFAHAMU MHUSIKA AMA TAARIFA AFIKE OFISI YA MTENDAJI KATA-TABATA MSIMBAZI SOKONI, ATAKABIDHIWA.
KWA MAELEZO ZAIDI PIGA 0713624583
10 years ago
Michuzimakala ya sheria: JE UNAHITAJI PASIPOTI, HII NI NAMNA NYEPESI YA KUPATA PASIPOTI.
Lakini kabla ya taarifa mtu huendelea kufikiria jambo hilo kwa ugumu. Katika kipindi kama hiki kuwa na kitu kama pasipoti si jambo la anasa au ufahari tena isipokuwa ni jambo ambalo limeishaingia katika matumizi ya kawaida ya kila siku ya walio wengi. Hii ni...
10 years ago
GPLMNIGERIA AMPATIA MASOGANGE PASIPOTI YA SAUZI
11 years ago
Habarileo15 Mar
Wanaopoteza pasipoti 'kukamuliwa’ zaidi
KATIKA kukabiliana na wimbi la ongezeko la upotevu wa hati za kusafiria, Serikali kupitia Idara ya Uhamiaji nchini imesema imelazimika kupandisha kiwango cha ada za maombi mapya kwa waliopoteza hati hizo.
10 years ago
Habarileo28 Oct
Waliopoteza vyeti kupewa vingine
BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA), limeanzisha utaratibu wa kutoa vyeti mbadala kwa watahiniwa waliopoteza au kuunguliwa na vyeti vyao.
10 years ago
Vijimambo10 years ago
Michuzi10 years ago
MichuziZOEZI LA MAOMBI YA PASIPOTI KWA WATANZANIA NCHINI ITALI LAENDELEA
Haya ni matunda ya Kamati ya Diaspora iliyokutana na Mh Balozi James Alex Msekela, mwezi juni mwaka huu. Kamati ilikutana na balozi na maofisa wa juu wa kibalozi kwa ajili ya kutambulisha kamati na uongozi wake,na pia kuwakilisha kero na matatizo ya...
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Je, unaweza kuyakabili matatizo yasiathiri furaha yako na maisha yako?