Wanaopoteza pasipoti 'kukamuliwa’ zaidi
KATIKA kukabiliana na wimbi la ongezeko la upotevu wa hati za kusafiria, Serikali kupitia Idara ya Uhamiaji nchini imesema imelazimika kupandisha kiwango cha ada za maombi mapya kwa waliopoteza hati hizo.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania