Waliopoteza Ubunge ACT kupewa kazi maalum
Wakati wanasiasa wengine wakiamini kuwa walimaliza Uchaguzi Mkuu Oktoba 25 baada ya kupiga kura, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe anasema anaamini siku hiyo ndiyo ilikuwa mwanzo wa maandalizi yake ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo28 Oct
Waliopoteza vyeti kupewa vingine
BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA), limeanzisha utaratibu wa kutoa vyeti mbadala kwa watahiniwa waliopoteza au kuunguliwa na vyeti vyao.
10 years ago
Habarileo26 Nov
Wasichana wa kazi Uganda kupewa vyeti vya kazi
INSPEKTA Jenerali wa Polisi nchini Uganda, Jenerali Kale Kayihura, ameagiza Jeshi la Polisi kuanza kutoa vyeti kwa wasichana wa nyumbani, wakati Umoja wa Mataifa (UN), ukitaka Serikali ya Uganda kuchukua hatua dhidi ya msichana wa kazi, aliyemtesa mtoto kwa kumpiga, kumtupa chini na kumkanyaga.
10 years ago
Michuzi19 Mar
10 years ago
BBCSwahili22 Nov
Thiery Henry kupewa kazi ya ukufunzi
10 years ago
Habarileo17 Apr
CCM waomba polisi kupewa vitendea kazi
VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na watendaji wa Serikali wilayani Kyerwa mkoani Kagera wameishauri na kuiomba Serikali kuboresha na kuongeza vitendea kazi ikiwemo magari ya Polisi kwa ajili ya kufanyia doria ili kudhibiti magendo ya rasilimali za nchi zinazovushwa na baadhi ya Watanzania wasiokuwa wazalendo.
9 years ago
Dewji Blog09 Sep
Mgombea ubunge Singida Mjini Musa Sima: “Nitampa Msindai kazi ya kusimamia Baraza la Wazee, ndio kazi anayoweza”
Mwenyekiti wa CCM Singida Mjini, Hamis Nguli (kulia) akimnadi Mgombea Ubunge Jimbo hilo Mussa Sima jana kwenye viwanja vya Kata ya Majengo.
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Singida mjini (CCM), Mussa Sima (kulia) akimnadi Mgombea Udiwanui Kata ya Majengo, Yage Kiaratu.
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Singida mjini kwa tiketi ya CCM, Mussa Sima akizungumza kwenye mkutano wa kampeni.
Mgombea Udiwani Kata mpya ya Misuna, Hamis Kisuke (Mzee wa Jaula) akinadi sera kwenye mkutano huo.
Mgombea udiwani...
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Polisi yathibitisha mgombea ubunge wa ACT kutekwa
9 years ago
Mwananchi02 Oct
Mgombea ubunge ACT - Wazalendo anusurika ajalini
9 years ago
Habarileo17 Aug
Zitto aongoza wagombea ubunge ACT-Wazalendo
CHAMA cha ACT Maendeleo kimetoa rasmi majina ya wagombea wake watakaokiwakilisha chama hicho, katika nafasi za ubunge na uwakilishi kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu, huku Kiongozi Mkuu wa chama hicho, Kabwe Zitto akiwania ubunge jimbo la Kigoma mjini.