Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliopoteza Ubunge ACT kupewa kazi maalum

Wakati wanasiasa wengine wakiamini kuwa walimaliza Uchaguzi Mkuu Oktoba 25 baada ya kupiga kura, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe anasema anaamini siku hiyo ndiyo ilikuwa mwanzo wa maandalizi yake ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Waliopoteza vyeti kupewa vingine

BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA), limeanzisha utaratibu wa kutoa vyeti mbadala kwa watahiniwa waliopoteza au kuunguliwa na vyeti vyao.

 

10 years ago

Habarileo

Wasichana wa kazi Uganda kupewa vyeti vya kazi

INSPEKTA Jenerali wa Polisi nchini Uganda, Jenerali Kale KayihuraINSPEKTA Jenerali wa Polisi nchini Uganda, Jenerali Kale Kayihura, ameagiza Jeshi la Polisi kuanza kutoa vyeti kwa wasichana wa nyumbani, wakati Umoja wa Mataifa (UN), ukitaka Serikali ya Uganda kuchukua hatua dhidi ya msichana wa kazi, aliyemtesa mtoto kwa kumpiga, kumtupa chini na kumkanyaga.

 

10 years ago

BBCSwahili

Thiery Henry kupewa kazi ya ukufunzi

Arsenal ina mpango wa kumpatia aliyekuwa mshambulizi wa timu hiyo Thiery Henry fursa ya ukufunzi katika timu hiyo

 

10 years ago

Habarileo

CCM waomba polisi kupewa vitendea kazi

VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na watendaji wa Serikali wilayani Kyerwa mkoani Kagera wameishauri na kuiomba Serikali kuboresha na kuongeza vitendea kazi ikiwemo magari ya Polisi kwa ajili ya kufanyia doria ili kudhibiti magendo ya rasilimali za nchi zinazovushwa na baadhi ya Watanzania wasiokuwa wazalendo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mgombea ubunge Singida Mjini Musa Sima: “Nitampa Msindai kazi ya kusimamia Baraza la Wazee, ndio kazi anayoweza”

MKT VS SIMA

Mwenyekiti wa CCM Singida Mjini, Hamis Nguli (kulia) akimnadi Mgombea Ubunge Jimbo hilo Mussa Sima jana kwenye viwanja vya Kata ya Majengo.

SIMA VS YAGE

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Singida mjini (CCM), Mussa Sima (kulia) akimnadi Mgombea Udiwanui Kata ya Majengo, Yage Kiaratu.

SIMA

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Singida mjini kwa tiketi ya CCM, Mussa Sima akizungumza kwenye mkutano wa kampeni.

KISUKE

Mgombea Udiwani Kata mpya ya Misuna, Hamis Kisuke (Mzee wa Jaula) akinadi sera kwenye mkutano huo.

MAGOTI

Mgombea udiwani...

 

9 years ago

Mwananchi

Polisi yathibitisha mgombea ubunge wa ACT kutekwa

Jeshi la Polisi mkoani Simiyu limethibitisha kutekwa kwa mgombea ubunge Jimbo la Bariadi, kupitia chama cha ACT Wazalendo Masunga Ng’hozo na watu wasiojulikana.

 

9 years ago

Mwananchi

Mgombea ubunge ACT - Wazalendo anusurika ajalini

Mgombea ubunge wa ACT-Wazalendo katika Jimbo la Manyovu mkoani Kigoma, Goodluck Kimali amenusurika kifo baada ya gari alilokuwa akisafiria kupinduka likiwa kwenye msafara wa Kiongozi wa chama hicho, Zitto Kabwe.

 

9 years ago

Habarileo

Zitto aongoza wagombea ubunge ACT-Wazalendo

CHAMA cha ACT Maendeleo kimetoa rasmi majina ya wagombea wake watakaokiwakilisha chama hicho, katika nafasi za ubunge na uwakilishi kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu, huku Kiongozi Mkuu wa chama hicho, Kabwe Zitto akiwania ubunge jimbo la Kigoma mjini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani