Barnaba afanya kazi na msanii mwingine wa Uganda, ‘Kleyah’
Barnaba amefanya collabo na msanii wa Uganda, Kleyah. Wawili hao wanarekodi wimbo uitwao ‘Msobe Msobe katika studio za High Table zinazomilikiwa na Barnaba. Barnaba ameiambia Bongo5, “Kleyah alinitafuta kupitia simu alipewa namba yangu kupitia kituo kimoja hivi cha redio. Ni msanii ambaye mwenye uwezo mkubwa sana na sikutegemea kama msanii kama huyu anaweza kunitafuta maana […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo506 Nov
Music: Kleyah Ft Barnaba Classic — Msobe Msobe
![Msobe Msobe Cover](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Msobe-Msobe-Cover-300x194.jpg)
Anajulikana kwa jina Kleyah ambaye hivi karibuni aliweza kufika kwenye studio za High Table Sound zinazomilikiwana msanii mahiri kweye medani ya muziki Bongo Fleva Barnaba Classic.
Ngoma yake mpya inakwenda kwa jina la “Msobe msobe” ukiwa imeandaliwa na best song writer wa hapa nchini Barnaba pamoja na kushirikiana nae, Katika Studio za High Table Sound.
9 years ago
Bongo528 Nov
Video: Kleyah Ft. Barnaba – Msobe Msobe
![10957391_160702830949285_786640396_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/10957391_160702830949285_786640396_n-300x194.jpg)
Video mpya ya msanii kutoka Uganda ambaye kwasasa anaishi hapa Tanzania anaitwa Kleyah wimbo unaitwa “Msobe Msobe” amemshirikisha Barnaba. Video imeongozwa na Hanscana.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Dewji Blog31 May
Download na Sikiliza wimbo mpya msanii Wiz Tayson Ft Barnaba — Sijutii
Barnaba ameingia katika list ya wasanii wakubwa walioshiriki katika kazi za wasanii wengine na ndiye msanii anayeongoza kusaidia wasanii wanaochipukia katika muziki wa Bongo Fleva kwa mwaka 2015.
Safari hii Barnaba anasikika kwenye kiitikio cha wimbo mpya kabisa wa Hip Hop alioshirikiswa na Wiz Tayson kutoka Maskan ya B.O.B Click.
Wiz Tayson wimbo wake mpya huu ameupatia jina la SIJUTII alioufanyia katika studio za Kir record chini ya muandaaji Rash Don.
Sijutii Wiz anazungumzia maisha ya...
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Msanii mwingine Bongo Movie afariki dunia
IKIWA zimepita siku chache tangu msiba wa mwigizaji na muongozaji filamu za Kibongo, Adam Kuambiana, mwigizaji mwingine, Rachel Haule ‘Recho’, amefariki dunia jana asubuhi. Inaelezwa kifo cha Recho kimesababishwa na...
10 years ago
Vijimambo08 Feb
MSANII MWINGINE WA BONGO MOVIE AFARIKI DUNIA LEO
![](http://api.ning.com/files/IR6j1-Mhm*W99toUtkCEzR4OIBxb1Yegwq1OSVuQ7pTIpQ*85*b-QUVitNpA-D3F2TCrhcJP0owTAhH6wTe8SHAbLJ4mvIGC/IMG20150207WA0022.jpg?width=550)
![](http://api.ning.com/files/IR6j1-Mhm*UjTJpo9JIEKobFCswrtAaRWSCXUyQ*sLeH7Ymvzb1cAljJBooE8*jGLIqeOiQzRWAPX*CfJaKNNWRCRnf*s0DO/IMG20150207WA0000.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/IR6j1-Mhm*V9mgtjoeDJVV*ve80kqiWFVxs-P658a9QdrbICI43nUkYuESH3MFFgttaDCFjuJXS1lEI3p7oEC6c*oWu1zpRm/IMG20150207WA0017.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/IR6j1-Mhm*UEiilxLUNHe92*xE0AWYZnXZVQCDHoT-3FeQE-45qecJh8fFvmrk-Ic2k0LwWrJy7FuQrjFFNRlkCXSOzj2l-1/IMG20150207WA0008.jpg?width=650)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-F6zegiXmBOY/VDJsClHPiGI/AAAAAAAArAg/8P9UxLOo3l8/s72-c/0%2C%2C17898808_4%2C00.jpg)
UGONJWA MWINGINE WAIBUKA NCHI JIRANI YA UGANDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-F6zegiXmBOY/VDJsClHPiGI/AAAAAAAArAg/8P9UxLOo3l8/s640/0%2C%2C17898808_4%2C00.jpg)
Kwa mujibu wa WHO na mamlaka za afya za...