Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Kleyah Ft. Barnaba – Msobe Msobe

10957391_160702830949285_786640396_n

Video mpya ya msanii kutoka Uganda ambaye kwasasa anaishi hapa Tanzania anaitwa Kleyah wimbo unaitwa “Msobe Msobe” amemshirikisha Barnaba. Video imeongozwa na Hanscana.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Music: Kleyah Ft Barnaba Classic — Msobe Msobe

Msobe Msobe Cover

Anajulikana kwa jina Kleyah ambaye hivi karibuni aliweza kufika kwenye studio za High Table Sound zinazomilikiwana msanii mahiri kweye medani ya muziki Bongo Fleva Barnaba Classic.
Ngoma yake mpya inakwenda kwa jina la “Msobe msobe” ukiwa imeandaliwa na best song writer wa hapa nchini Barnaba pamoja na kushirikiana nae, Katika Studio za High Table Sound.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...

 

9 years ago

Michuzi

Kleyah aachia video ya Msobe Msobe


Mwanamuziki wa Muziki wa kizazi kipya  Maarufu  kama bongo fleva KLEYAH ambaye anakuja kwa kasi katika Tasnia hiyo  hatimaye amezindua nyimbo yake mpya inayokwenda kwa jina la MZOBE MZOBE wimbo aliomshirikisha msanii maarufu  maarufu kutoka THT Barnaba Boy CLASSIC nyimbo ambayo inatabiriwa kufanya vizuri katika soko la musiki wa Tanzania.

KLEYAH ambaye ni Mhitimu wa shahada ya mawasiliano kutoka chuo kikuu cha cha Phoenix nchini marekani na baadae kufanya kazi katika shirika la kimataifa la...

 

9 years ago

Bongo5

Barnaba afanya kazi na msanii mwingine wa Uganda, ‘Kleyah’

Teaser-1Barnaba amefanya collabo na msanii wa Uganda, Kleyah. Wawili hao wanarekodi wimbo uitwao ‘Msobe Msobe katika studio za High Table zinazomilikiwa na Barnaba. Barnaba ameiambia Bongo5, “Kleyah alinitafuta kupitia simu alipewa namba yangu kupitia kituo kimoja hivi cha redio. Ni msanii ambaye mwenye uwezo mkubwa sana na sikutegemea kama msanii kama huyu anaweza kunitafuta maana […]

 

9 years ago

Mtanzania

Barnaba: Video ya ‘Nakutunza’ itachelewa

barnaba11NA CHRISTOPHER MSEKENA

MKALI wa Bongo Fleva, Elius Barnabas ‘Barnaba’ amesema video ya wimbo wa ‘Nakutunza’ aliomshirikisha nyota kutoka Uganda, Jose Chameleone, itachelewa kutoka kwa sababu ya staa huyo wa Uganda kuzongwa na kazi nyingi.

“Chameleone amebanwa na kazi zake atakapokuwa tayari ndiyo tutafanya video, nafikiri nitafanya nje ya nchi kwa sababu wimbo ni mkubwa na nataka unitangaze vema kimataifa, sitaki kukurupuka, ndiyo maana katika wimbo uliowahi kuumiza kichwa changu ni huu wa...

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Bongo5

Barnaba aanzisha bendi yake ‘Barnaba Classic’

Barnaba ameanzisha bendi yake mwenyewe. Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa bendi yake ilikuwepo lakini sasa itakuwa na vifaa vya kisasa. “Nina bendi toka muda mrefu ila sasa hivi ndo naifanya official. Naanza kunua vifaa vyangu vya muziki au kama akitokea mtu akaninunulia sio mbaya pi,” amesema. “Bendi itakuwa ni bendi tofauti zingine zote unazozijua. Mimi […]

 

10 years ago

GPL

10 years ago

Dewji Blog

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani