UGONJWA MWINGINE WAIBUKA NCHI JIRANI YA UGANDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-F6zegiXmBOY/VDJsClHPiGI/AAAAAAAArAg/8P9UxLOo3l8/s72-c/0%2C%2C17898808_4%2C00.jpg)
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetoa tahadhari ya kusafiri nchini Uganda baada ya kuthibitishwa kuwa daktari mmoja amefariki kutokana na ugonjwa hatari wa Marburg unaosambazwa na popo.Kwa sasa Shirika hilo kwa ushirikiano na mamlaka za afya za Uganda wamemzuilia ndugu mmoja wa marehemu kwa hofu kuwa huenda naye aliambukizwa. Watu wengine zaidi ya 80, wakiwemo matabibu 38 waliokutana na mwenzao huyo siku kumi kabla ya kifo chake nao pia wanachunguzwa.
Kwa mujibu wa WHO na mamlaka za afya za...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo30 Dec
Ufisadi mwingine waibuka bandarin
MAKONTENA mengine 11,884 na magari 2,019, yamebainika kuwa yametoroshwa katika bandari kavu (ICD) saba jijini Dar es Salaam bila kulipiwa ushuru wa bandari, hivyo kuipotezea Serikali mapato ya Sh bilioni 48.55.
10 years ago
BBCSwahili30 Sep
Ugonjwa wa Polio waibuka Pakistan
10 years ago
Vijimambo07 Oct
Ugonjwa mpya waibuka Mtwara
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Waziri-Wa-Afya--Ocxtober7-2014.jpg)
Ugonjwa uliodhaniwa kuwa ni surua, ulioibuka katika shule ya Msingi Mkoma1, Kata ya Mnikachi wilaya ya Newala, Mtwara, imebainika siyo surua baada ya sampuli zilizochunguzwa kuonesha kuwa ugonjwa huo ni rubella.
Dalili za ugonjwa huo zinazodaiwa kuwa sawa na ugonjwa wa surua zimeelezwa kuwa ni pamoja na kuwashwa macho, homa, kuharisha, ngozi kuwasha, vipele, kubabuka midomo, mafua, kuumwa tumbo, ngozi kukakamaa pamoja na kupoteza hamu ya...
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Boko Haram lashambulia nchi Jirani
10 years ago
Habarileo28 Dec
Maziwa kutoka nchi jirani yalalamikiwa
CHAMA cha Wafugaji wa Ng’ombe wa Maziwa (TDCU) kinakusudia kumwandikia Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kupinga uingizwaji holela wa maziwa yaliyosindikwa kutoka nchi jirani.
11 years ago
BBCSwahili29 Apr
Nigeria:Wanafunzi walipelekwa nchi jirani
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Magufuli: Nitaboresha uhusiano wa kibiashara na nchi jirani
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
TPA yahamasisha nchi jirani kutumia Bandari Dar
MAMLAKA ya Bandari Tanzania (TPA) imezihamasisha nchi jirani kuendelea kutumia Bandari ya Dar es Salaam kwani sasa huduma zake zinaimarika kutokana na maboresho makubwa yanayoendelea kufanywa. Kaimu Meneja Mawasiliano wa...
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Elimu ya Tehama shuleni; Tujifunze kutoka nchi jirani