Ugonjwa mpya waibuka Mtwara
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dk. Seif Rashid.
Ugonjwa uliodhaniwa kuwa ni surua, ulioibuka katika shule ya Msingi Mkoma1, Kata ya Mnikachi wilaya ya Newala, Mtwara, imebainika siyo surua baada ya sampuli zilizochunguzwa kuonesha kuwa ugonjwa huo ni rubella.
Dalili za ugonjwa huo zinazodaiwa kuwa sawa na ugonjwa wa surua zimeelezwa kuwa ni pamoja na kuwashwa macho, homa, kuharisha, ngozi kuwasha, vipele, kubabuka midomo, mafua, kuumwa tumbo, ngozi kukakamaa pamoja na kupoteza hamu ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili30 Sep
Ugonjwa wa Polio waibuka Pakistan
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-F6zegiXmBOY/VDJsClHPiGI/AAAAAAAArAg/8P9UxLOo3l8/s72-c/0%2C%2C17898808_4%2C00.jpg)
UGONJWA MWINGINE WAIBUKA NCHI JIRANI YA UGANDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-F6zegiXmBOY/VDJsClHPiGI/AAAAAAAArAg/8P9UxLOo3l8/s640/0%2C%2C17898808_4%2C00.jpg)
Kwa mujibu wa WHO na mamlaka za afya za...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JYtiWlygMoY/VAzFuGKPn6I/AAAAAAAGhVY/T8weiD8Jls0/s72-c/f6725c0e2bb75dead8ad32ae0caa1905%2B(1).jpg)
MZOGA WA NYANGUMI WAIBUKA PWANI YA MTWARA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-JYtiWlygMoY/VAzFuGKPn6I/AAAAAAAGhVY/T8weiD8Jls0/s1600/f6725c0e2bb75dead8ad32ae0caa1905%2B(1).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jZDxDPfeboM/VAzFrpr21_I/AAAAAAAGhVA/EaJWhvvKkZE/s1600/c5e8adc9fad82af9c92189e94227a713.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_iQrdfLfnfg/VAzFslP6pBI/AAAAAAAGhVM/aM6vONMIgWo/s1600/861d1cf6d73e46742201ed3cb36d6ce8%2B(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-etKVEN3gG-I/VAzFsZlaK3I/AAAAAAAGhVI/jL5pW0HwZRw/s1600/39036934eea4ff666af2a65b333b9e7b.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima08 Aug
Ujambazi mpya waibuka Arusha
JIJI la Arusha limekumbwa na taharuki baada ya kuibuka kwa matukio ya wanawake wanaoendesha magari kuvamiwa na kupigwa risasi na watu wasiofahamika ambao hutoweka bila kuchukua chochote. Hadi sasa, wanawake...
9 years ago
MichuziWAGONJWA 100 WA UGONJWA WA MABUSHA WANAFANYIWA UPASUAJI MANISPAA YA MTWARA
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Utata mpya waibuka mauaji ya askari Kinapa
10 years ago
Mtanzania07 May
Mgogoro mpya wamiliki mabasi, madereva waibuka
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
MGOGORO mpya umeibuka kati ya wamiliki wa mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani baada ya wamiliki kutishia kuwafukuza kazi madereva wao walioshiriki mgomo.
Hatua hiyo imekuja baada ya baadhi ya madereva walioshiriki katika mgomo huo wa siku mbili kufukuzwa kazi na baadhi ya wamiliki wa mabasi hayo.
Kutokana na hatua hiyo, Mhasibu Mkuu wa Umoja wa Madereva Tanzania (UWAMATA) Issa Regan, aliwataka matajiri waliowafukuza madereva wao kuwarudisha kazini mara...
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Utata mpya waibuka kashfa ya ‘Miss Tanzania’ 2014
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mG6jG6VLyzg/VEiAprYFCVI/AAAAAAAGs3U/UfOXQtqh-wE/s72-c/IMG-20141020-WA0010.jpg)