WAGONJWA 100 WA UGONJWA WA MABUSHA WANAFANYIWA UPASUAJI MANISPAA YA MTWARA
Mratibu wa Taifa wa Mpango wa kudhibiti magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele Dkt. Upendo Mwingira, akielezea majukumu ya mpango huo wakati wa uzinduzi wa kambi ya kuwafanyia upasuaji watu wenye tatizo la ugonjwa wa mabusha Manispaa na Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara,iliyofanyika katika hospitali ya Mkoa ya Ligula.
Kaimu Mkuu wa Wilaya akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kambi ya kuwafanyia upasuaji watu wenye ugonjwa wa mabusha.
Dkt. Upendo Mwingira akiwafariji wagonjwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi13 Nov
Matatizo yanayowakabili wagonjwa wa mabusha, matende hapa nchini
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_3HwQT2HIrI/VXheEWRuqKI/AAAAAAAHegs/vTzXBXSOViY/s72-c/20150610084807.jpg)
wagonjwa wa vikope kufanyiwa upasuaji
Zaidi ya wagonjwa elfu arobaini wanaougua ugonjwa wa vikope unaotokana na trakoma wanatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa macho katika mikoa sita nchini Tanzania kwa muda wa miaka mitano.
Hayo yamezungumzwa jana jijini hapa na Mratibu wa Mpango wa kudhibiti magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele dkt. Upendo Mwingira wakati akiwasilisha mada kwenye mkutano wa nne wa kazi kati ya wizara na wadau wanaofadhili mpango huo Upasuaji huo unafadhiliwa na...
9 years ago
StarTV26 Dec
Zaidi ya wagonjwa 300 kufanyiwa upasuaji wa macho Mwanza
Zaidi ya wagonjwa 300 wenye matatizo ya macho mkoani Mwanza wanatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa macho kati ya wagonjwa elfu tano watakaopatiwa matibabu na Taasisi ya Bilali Muslim misheni ya nchini Tanzania.
Matibabu hayo yanayotolewa na jopo la madaktari bingwa wa huduma za upasuaji wa magonjwa ya macho ni ishara tosha kuwa ni mkombozi wa utatuzi wa magonjwa hayo ambayo imekuwa ni changamoto kubwa miongoni mwa jamii kutokana na kuwa na gharama kubwa.
mkazi wa Mkuyuni jijini Mwanza mwenye...
10 years ago
Vijimambo06 Nov
NHIF YAPELEKA MADAKTARI MKOANI MARA, WAWAFANYIA UPASUAJI WAGONJWA MBALIMBALI
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/RVdzUcpnPNvf7Lm47Bo8sfuIVrAcyGvd7lly4MjCB9EQzE2MTAsAPEawrqHQXvVidPjfKQ-wYgYr0zJ78NGeWRDn_fuL0xyJ8MykTr3TlDpfhSVBy-y9=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/112.jpg)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/iErpnrvyMGX0v1LAL_e9oTbECKb7TDhSFQgi8eijCsNqpo01cHnFV5-uxAtxGg7Z4K2bBsp6d7A9hpwW8Xa4dWCefJc79qRLtHzuWWvcova6aaPrS1w=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/23.jpg)
10 years ago
Dewji Blog25 May
UNFPA wakabidhi msaada wa gari la wagonjwa, jengo na vifaa vya upasuaji Geita
Naibu Waziri ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mh. Kassim Majaliwa (wa pili kulia) akisalimiana na Meneja Biashara Idara ya Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Grace Lyon mara baada ya kuwasili kwenye maadhimisho ya siku ya kimataifa ya kutokomeza Fistula yaliyofanyika kitaifa katika Wilaya Mbogwe, Geita. Kulia ni Kaimu Mkuu wa wilaya ya Mbogwe, Amani Mwenegoha na Kushoto ni Naibu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Hospitali ya CCBRT, Haika Mawalla na wa pili kushoto...
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Manispaa ya Mtwara na harakati za kuuaga umasikini
KAMA umeshawahi kuishi ama kutembelea mkoa wa Mtwara miaka ya 1970 mpaka mwishoni wa 1990 na kufanikiwa kuuona ama kuwepo katika mkoa huo kwa kipindi cha karibuni, utakubaliana nami kifikra...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-akNPgp2Z10U/VHtFOJQ52gI/AAAAAAAAUQc/hwn_O9DjmLI/s72-c/4.jpg)
KINANA AITEKA MANISPAA YA MTWARA MJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-akNPgp2Z10U/VHtFOJQ52gI/AAAAAAAAUQc/hwn_O9DjmLI/s1600/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-aGuCDRqnhm4/VHtFOpDfhJI/AAAAAAAAUQg/vrx_3n-llFY/s1600/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZsH88_ALbQM/VHtFPhLXXwI/AAAAAAAAUQw/3K_ioBuqN40/s1600/7.jpg)
10 years ago
Vijimambo07 Oct
Ugonjwa mpya waibuka Mtwara
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Waziri-Wa-Afya--Ocxtober7-2014.jpg)
Ugonjwa uliodhaniwa kuwa ni surua, ulioibuka katika shule ya Msingi Mkoma1, Kata ya Mnikachi wilaya ya Newala, Mtwara, imebainika siyo surua baada ya sampuli zilizochunguzwa kuonesha kuwa ugonjwa huo ni rubella.
Dalili za ugonjwa huo zinazodaiwa kuwa sawa na ugonjwa wa surua zimeelezwa kuwa ni pamoja na kuwashwa macho, homa, kuharisha, ngozi kuwasha, vipele, kubabuka midomo, mafua, kuumwa tumbo, ngozi kukakamaa pamoja na kupoteza hamu ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XUO4_ojeSXM/VEetrQVFdSI/AAAAAAAGsqs/fKc04QwolTA/s72-c/unnamed%2B(83).jpg)
Chanjo ya ugonjwa wa surua na rubella Manispaa ya Ilala yavuka lengo
![](http://4.bp.blogspot.com/-XUO4_ojeSXM/VEetrQVFdSI/AAAAAAAGsqs/fKc04QwolTA/s1600/unnamed%2B(83).jpg)
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Manispaa ya Ilala imevuka lengo la kutoa chanjo ya ugonjwa wa Surua na Rubella kwa watu 468,297 ambapo awali lengo lao lilikuwa kutoa chanjo hiyo kwa watu 445,801 wakati wa wiki ya kutoa chanjo hiyo nchini.
Hayo yamesemwa na Mganga...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10