Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Manispaa ya Mtwara na harakati za kuuaga umasikini

KAMA umeshawahi kuishi ama kutembelea mkoa wa Mtwara miaka ya 1970 mpaka mwishoni wa 1990 na kufanikiwa kuuona ama kuwepo katika mkoa huo kwa kipindi cha karibuni, utakubaliana nami kifikra...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

CCM wajipanga kuuaga umasikini

IMEELEZWA kuwa endapo wanachama na viongozi wote wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) watalipa ada zao kwa asilimia 100 kitakuwa na uwezo wa kukusanya Sh bilioni 12 kwa mwezi na kuzidi ruzuku inayotolewa na serikali kwa vyama vya siasa.

 

11 years ago

Habarileo

Tanzania kuuaga umasikini mwaka 2025

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter MuhongoTANZANIA inatarajiwa kuondoka kwenye kundi la nchi masikini na kuhamia kwenye kundi la nchi zenye kipato cha kati ifikapo mwaka 2025.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wizara, Stemmuco na harakati za kuwainua kielimu Mtwara

MIONGONI mwa mikoa iliyopo nyuma kielimu kwa muda mrefu ni Lindi na Mtwara. Kutokana na fursa zinazojitokea katika mikoa hiyo,  zikiwemo za gesi na mafuta, suala la elimu linapaswa kuwekewa...

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA AITEKA MANISPAA YA MTWARA MJINI


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa Mtwara mjini kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Mashujaa ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa kazi ya CCM ni kuisimamia Serikali kutimiza wajibu wake kwa wananchi.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi wa mkoa wa Mtwara ambapo aliwaambia matatizo yao sugu ya korosho, bandari na kukatika kwa umeme lazima yapatiwe ufumbuzi kwa kutaka Mawaziri wa wizara husika kuja na majibu .

 

9 years ago

Michuzi

WAGONJWA 100 WA UGONJWA WA MABUSHA WANAFANYIWA UPASUAJI MANISPAA YA MTWARA

 Mratibu wa Taifa wa Mpango wa kudhibiti magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele Dkt. Upendo Mwingira, akielezea majukumu ya mpango huo wakati wa uzinduzi wa kambi ya kuwafanyia upasuaji watu wenye tatizo la ugonjwa wa mabusha Manispaa na Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara,iliyofanyika katika hospitali  ya Mkoa ya Ligula. Kaimu Mkuu wa Wilaya akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kambi ya kuwafanyia upasuaji watu wenye ugonjwa wa mabusha. Dkt. Upendo Mwingira akiwafariji wagonjwa...

 

10 years ago

Michuzi

Vijana Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara wajiajiri kupitia mfuko wa mendeleo ya Vijana

Kikosi kazimaalum kutoka Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo wa kiongea na Kaimu Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara-Mikindani ,Bw. Rashid Mohamed walimpotembelea leo ofisini kwake kwa ajili ya kufuatilia na kufanya tathmini ya mikopo iliyokwishatolewa katika Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara-mikindani. Wajumbe wa kikundi cha AMKENI kutoka Halmashauri ya manispaa ya Mtwara mikindani wakiwa katika majadiliano na wajumbe wa kikosi kazi maalum kutoka...

 

10 years ago

GPL

MSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA ILALA JERRY SILAA AWAAGA WATUMISHI SITA WA AFYA WA MANISPAA HIYO WANAOENDA KUONGEZA UJUZI KOREA KUSINI

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa akipeana mkono wa kuagana na Mganga Mfawidhi wa zahanati ya Chanika Dk Betha Sanga ambaye pamoja na watumishi wengine sita wa afya wa Manispaa hiyo wamepata udhamini wa Serikali ya Korea Kusini kupitia Shirika lake la Maendeleo KOICA kwenda kuongeza ujuzi nchini Korea Kusini kwa ajili ya kuboresha huduma katika hospitali itakayojengwa Chanika. Wengine ni Dk  Agatha Shinyala na Dk...

 

11 years ago

Michuzi

Mtwara Festival kufanyika Agosti 16-17, 2014 kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara.


Bw. Anic Kashasha, Mwenyekiti Mtendaji wa shirika lisilo la kiserikali Tanzania Creative Industries Network (TACIN) ya Dar es Salaam, nilikuwa ninahutubia mkutano wa waandishi wahabari kwenye ukumbi wa Safari Lounge, mjini Mtwara, juu ya kuanzisha Mtwara Festival, utakaofanyika tarehe 16 - 17 Agosti, 2014 kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona,Mtwara.
Mtwara Festival imeandaliwa kwa kushirikiana na washirika wakuu na wadhamini wa TACIN, Shirika la maendeleo ya Petroli  Tanzania (TPDC). Huu ni...

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

“Azimio la Mtwara” Speech by Zitto Kabwe: Mtwara, 31-12-14

View this document on Scribd

PICHA

"Azimio la Mtwara" tarehe 31-12-2014 Zitto Kabwe na Prof. Ibrahim Lipumba

“Azimio la Mtwara” tarehe 31-12-2014 Zitto Kabwe na Prof. Ibrahim Lipumba

 


 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani