Matatizo yanayowakabili wagonjwa wa mabusha, matende hapa nchini
Madaktari bingwa wa upasuaji wa mabusha na matende wametembelea Mkoa wa Mtwara ili kuzinduzi wa kambi ya upasuaji kwa watu wenye tatizo la magonjwa hayo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1ShdCoffVe0/VD_P7Ofe4HI/AAAAAAAGq88/OEskFyZ0M9o/s72-c/1222173_orig.jpg)
CHANJO YA SURUA-RUBELLA, MATENDE NA MABUSHA KUTOLEWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-1ShdCoffVe0/VD_P7Ofe4HI/AAAAAAAGq88/OEskFyZ0M9o/s1600/1222173_orig.jpg)
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo inatarajia kufanya kampeni shirikishi ya ugonjwa wa Surua na Rubella kuanzia tarehe 18 hadi 24 oktoba, 2014.
Akizungumzia kampeni hiyo itakayofanyika nchini nzima leo jijini Dar es Salaam, Kaimu Katibu Mkuu wa wizara hiyo Dkt. Donan Mmbando amesema kuwa itawahusisha watoto wenye umri wa kuanzia miezi 9 hadi miaka 15.
Amesema kampeni hiyo itaambatana na utoaji wa matone ya Vitamini...
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Chanjo ya Minyoo, Matende na Mabusha Yazinduliwa Dar
Wauguzi mbalimbali wa Wilaya ya Kinondoni wakitoa dawa za chanjo kwa wakazi wa Manzese Dar.
Mmoja wa akina mama akiwa kwenye mstari kuchukua vidonge vya kuzuia minyoo, matende na mabusha kwenye Zahanati ya Manzese.
Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni, Dkt. Azizi Msuya (kushoto) akimnywesha dawa mtoto aliyefika kwenye Zahanati ya Manzese kwa ajili ya chanjo hiyo.
Dkt. Azizi Msuya akihojiwa na wanahabari kwenye uzinduzi wa chanjo hiyo.
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Manzese, Nestory Kobero...
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Dar waendelea na kumeza dawa kijikinga na Minyoo, Matende na Mabusha
Baadhi wa wakazi wa Dar es Salaam waliokutwa na mpiga picha wetu wakimeza vidonge vya kuzuia minyoo, matende na mabusha kwenye kituo cha kusubiri abiri wa Kivuko cha Kigamboni jijini Dar es Salaam.Aliyekaa chini na aliyesimama (aliyeshika kipima urefu) ni watumishi wa Wizara ya Afya, Mandeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto wakigawa dawa hizo baada ya kumpima mwananchi urefu.
Kampeni ya Ugawaji wa Dawa za kujikinga na magonjwa ya minyoo, matende na mabusha inaanza jijini Dar es Salaam...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jDTbENn1_Uk/VnMkHLWniKI/AAAAAAAINK8/sLie17qKqm0/s72-c/images.jpeg)
Huduma ya kugawa Dawa za Matende na Mabusha kuanza Disemba 19 Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-jDTbENn1_Uk/VnMkHLWniKI/AAAAAAAINK8/sLie17qKqm0/s400/images.jpeg)
Serikali kupitia Mpango wa wa Taifa wa kudhibiti Magonjwa yasiyopewa kipaumbele leo imetangaza tarehe 19 hadi 23 mwezi huu kuwa itaanza zoezi la kugawa dawa kwa makundi yanayopaswa kupata dawa za magojwa hayo.
Tamko hilo limetolewa na Katibu mkuu wa Wizara Ya Afya na Ustawi wa Jamii,Wazee,na Watoto Bw. Donald Mmbando alipokuwa anazungumza na waandishi wa Habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam na kusema kuwa Magonjwa ambayo hayapewi kipaumbele ni...
9 years ago
MichuziWAGONJWA 100 WA UGONJWA WA MABUSHA WANAFANYIWA UPASUAJI MANISPAA YA MTWARA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sC7zRVnXXK4/Xr5udiEWwpI/AAAAAAALqUU/S5Fi5Kp3r5kSL9fXOl1tr4xYoHbw8NH9wCLcBGAsYHQ/s72-c/huduma-1-768x693.jpg)
WAGONJWA WENYE MATATIZO YA MOYO WASHAURIWA KUHUDHURIA KLINIKI BILA KUKOSA
![](https://1.bp.blogspot.com/-sC7zRVnXXK4/Xr5udiEWwpI/AAAAAAALqUU/S5Fi5Kp3r5kSL9fXOl1tr4xYoHbw8NH9wCLcBGAsYHQ/s1600/huduma-1-768x693.jpg)
Wataalamu wa usingizi na wagonjwa walioko katika chumba cha Uangalizi maalum (ICU) wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimlaza mgonjwa kabla ya kuzibuliwa mshipa mkubwa wa damu ya moyo ambao haukuwa unapitisha damu vizuri. Upasuaji huo wa bila kufungua kifua unafanyika kwa kutumia mtambo wa Cathlab (Catheterization Laboratory) ambapo mgonjwa anatobolewa tundu dogo katika mshipa wa damu ulioko kwenye paja.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/huduma-2-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/huduma-3-1024x683.jpg)
Wataalamu wabobezi wa moyo na wazibuaji wa mishipa ya damu ya moyo wa...
5 years ago
BBCSwahili24 May
Idadi ya wagonjwa wa corona nchini Kenya yafikia 1,214 baada ya kutangazwa wagonjwa wapya 22
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1woV2DlXM1I/XqUwL4izw0I/AAAAAAAAJtw/6MyntbeTLfEXZtdFV-xmssz9EfzIDK4mgCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-04-26-09-46-54.jpg)
MUHIMBILI KUFUNGA MASHINE TATU ZA KUSAFISHA DAMU HOSPITALI YA AMANA ILI KUHUDUMIA WAGONJWA WENYE MATATIZO YA FIGO WALIOAMBUKIZWA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-1woV2DlXM1I/XqUwL4izw0I/AAAAAAAAJtw/6MyntbeTLfEXZtdFV-xmssz9EfzIDK4mgCLcBGAsYHQ/s640/PHOTO-2020-04-26-09-46-54.jpg)
Mojawapo ya mashine ya kusafisha damu kwa wagonjwa wa figo iliyofungwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana ambayo thamani yake ni TZS. 70 Mil.
![](https://1.bp.blogspot.com/-C9SzRQw0VPc/XqUwLzKSPZI/AAAAAAAAJts/i1i-k5MOdmwmeJrjW4vBmdnI-T-ipMihQCLcBGAsYHQ/s640/PHOTO-2020-04-26-09-46-54%2B2.jpg)
Mashine ya kusaidia mgonjwa kupumua ambayo itafungwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana ambayo thamani yake ni TZS. 56 Mil.
![](https://1.bp.blogspot.com/-QVchssb9eP4/XqUwL9rYO1I/AAAAAAAAJt0/-HWZUnwo1U4yzHAn5tQipuQ4RbiMVZPEACLcBGAsYHQ/s640/PHOTO-2020-04-26-09-46-54%2B3.jpg)
Mtambo wa kuchuja maji (Portable RO System) kwenda kwenye mashine ya kusafisha damu wenye thamani ya TZS. 28 Mil uliofungwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imefunga mashine tatu za kusafisha damu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bbMcK5KN-BU/Xo8Ejy-NScI/AAAAAAALmpY/ZE-MwAuyrtAi0EtJdHAe60INyxptisUtQCLcBGAsYHQ/s72-c/SIRRO1.jpg)
KUFUATIA VURUGU ZINAZOENDELEA NCHINI MSUMBIJI, HALI YA USALAMA YAIMARISHWA HAPA NCHINI,
![](https://1.bp.blogspot.com/-bbMcK5KN-BU/Xo8Ejy-NScI/AAAAAAALmpY/ZE-MwAuyrtAi0EtJdHAe60INyxptisUtQCLcBGAsYHQ/s640/SIRRO1.jpg)