Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chanjo ya Minyoo, Matende na Mabusha Yazinduliwa Dar

1.Wauguzi wa Wilaya ya Kinondoni wakitoa dawa za chanjo kwa wakazi wa maeneo ya Manzese Dar.Wauguzi  mbalimbali wa Wilaya ya Kinondoni wakitoa dawa za chanjo kwa wakazi wa Manzese Dar.2.Mmoja wa akina mama akiwa kwenye mstari wa kuchukua vidonge vya kuzuia, ninyoo, matende na mabusha kwenye zahanati ya manzese.Mmoja wa akina mama akiwa kwenye mstari kuchukua vidonge vya kuzuia minyoo, matende na mabusha kwenye Zahanati ya Manzese.3.,Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni, Dkt. Azizi Msuya (kulia) akimnywesha dawa mtoto aliyefika kwenye zahanati ya Manzese kwa ajili ya kinga ya chanjo ya minyoo,matende na mabusha.Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni, Dkt. Azizi Msuya (kushoto) akimnywesha dawa mtoto aliyefika kwenye Zahanati ya Manzese kwa ajili ya chanjo hiyo.4.Dkt. Azizi Msuya akihojiwa na wanahabari kwenye uzinduzi huo wa chanjo.Dkt. Azizi Msuya akihojiwa na wanahabari kwenye uzinduzi wa chanjo hiyo.5.Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Manzese, Nestory Kobero akihojiwa na mwanahabari.Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Manzese, Nestory Kobero...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Dar waendelea na kumeza dawa kijikinga na Minyoo, Matende na Mabusha

1

Baadhi wa wakazi wa Dar es Salaam waliokutwa na mpiga picha wetu wakimeza vidonge vya kuzuia minyoo, matende na mabusha kwenye kituo cha kusubiri abiri wa Kivuko cha Kigamboni jijini Dar es Salaam.Aliyekaa chini na aliyesimama (aliyeshika kipima urefu) ni watumishi wa Wizara ya Afya, Mandeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto wakigawa dawa hizo baada ya kumpima mwananchi urefu.

2

3

Kampeni ya Ugawaji wa Dawa za kujikinga na magonjwa ya minyoo, matende na mabusha inaanza jijini Dar es Salaam...

 

10 years ago

Michuzi

CHANJO YA SURUA-RUBELLA, MATENDE NA MABUSHA KUTOLEWA

Na Beatrice Lyimo- MAELEZO,Dar es salaam.
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo inatarajia kufanya kampeni shirikishi ya ugonjwa wa Surua na Rubella kuanzia tarehe 18 hadi 24 oktoba, 2014.
Akizungumzia kampeni hiyo itakayofanyika nchini nzima leo jijini Dar es Salaam, Kaimu Katibu Mkuu wa wizara hiyo Dkt. Donan Mmbando amesema kuwa itawahusisha watoto wenye umri wa kuanzia miezi 9 hadi miaka 15.
Amesema kampeni hiyo itaambatana na utoaji wa matone ya Vitamini...

 

9 years ago

Michuzi

Huduma ya kugawa Dawa za Matende na Mabusha kuanza Disemba 19 Dar

Na Shamimu Nyaki - Maelezo
Serikali  kupitia Mpango wa  wa Taifa wa kudhibiti Magonjwa yasiyopewa kipaumbele leo   imetangaza tarehe 19 hadi 23 mwezi huu kuwa itaanza zoezi la kugawa dawa kwa makundi yanayopaswa kupata dawa za magojwa hayo. 
 Tamko  hilo  limetolewa  na Katibu mkuu wa Wizara Ya Afya na Ustawi wa Jamii,Wazee,na Watoto  Bw. Donald  Mmbando   alipokuwa anazungumza na waandishi wa Habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam na kusema kuwa Magonjwa  ambayo hayapewi kipaumbele  ni...

 

9 years ago

Mwananchi

Matatizo yanayowakabili wagonjwa wa mabusha, matende hapa nchini

Madaktari bingwa wa upasuaji wa mabusha na matende wametembelea  Mkoa wa Mtwara ili kuzinduzi wa kambi ya upasuaji kwa watu wenye tatizo la magonjwa hayo.

 

10 years ago

Michuzi

WAKAZI DAR WAASWA KUJITOKEZA KWENYE CHANJO YA MATENDE NA SURUA-RUBELLA.

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Saidi Meck Sadiki akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuhusu zoezi la utoaji wa chanjo ya Matende , Mabusha, dawa za Minyoo, matone ya Vitamini A, na Surua  - Rubella,  litakalofanyika  katika mikoa yote ya Tanzania kuanzia  Oktoba 18 hadi 24, 2014. Kaimu Mgaga Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Dkt. Hawa Kawawa  akisisitiza umuhimu wa  chanjo ya Surua –Rubella itakayotolewa wakati wa zoezi la chanjo Oktoba 18 hadi 24 na umuhimu wake...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wakazi Dar waaswa kujitokeza kwenye chanjo ya Matende na Surua-Rubella

RC - DSM -1

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Saidi Meck Sadiki akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari jana jijini Dar es salaam kuhusu zoezi la utoaji wa chanjo ya Matende , Mabusha, dawa za Minyoo, matone ya Vitamini A, na Surua  – Rubella,  litakalofanyika  katika mikoa yote ya Tanzania kuanzia  Oktoba 18 hadi 24, 2014.

RC -DSM -2

Kaimu Mgaga Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Dkt. Hawa Kawawa  akisisitiza umuhimu wa  chanjo ya Surua –Rubella itakayotolewa wakati wa zoezi la chanjo Oktoba 18 hadi 24 na umuhimu wake...

 

11 years ago

Dewji Blog

Watoto 4000 kupatiwa chanjo katika Wiki ya Chanjo — Parseko Kone, Singida

DSC07952

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizindua utoaji wa chanjo kimkoa katika hospitali ya St.Calorus iliyopo kijiji cha Mtinko. Jumla ya watoto 3,999 wanatarajiwa kupatiwa chanjo mbalimbali.

DSC07953

DSC07970

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizungumza na wakazi wa tarafa ya Mtinko wilaya ya Singida, muda mfupi baada ya kuzindua zoezi la chanjo kimkoa lililoanza jana na linatarajiwa kumalizika Aprili 30 mwaka huu.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu

JUMLA ya watoto 3,999 mkoani...

 

5 years ago

Michuzi

WANAHABARI WAPATIWA ELIMU YA UELEWA WA CHANJO YA SARATANI YA HPV PAMOJA NA CHANJO NYINGINE KWA NJIA YA MTANDAO

WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto kupitia Mpango wa Taifa  Chanjo wameendesha semina maalumu kwa njia ya mtandao  kwa Waandishi wa Habari  zaidi ya 50 nchini.
Semina hiyo ya  siku moja ya uelewa wa Chanjo ya kukinga ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi (HPV Vaccine) ambayo hutolewa bila malipo kwa wasichana wa miaka 14 hapa nchini iliendeshwa mubashara kupitia mtandao wa ZOOM.
Awali akiwasilisha mada maalumu ya chanjo hiyo ya HPV, Afisa Mradi, Mpango wa Taifa wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Wanafunzi kupewa chanjo homa ya ini Dar

Wanafunzi wa shule zote za msingi na sekondari mkoani Dar es Salaam, wanatarajiwa kupewa chanjo ya maambukizi ya Homa ya Ini ‘Hepatitis B’, kama njia mbadala ya kukabiliana na kasi ya maambukizi ya ugonjwa huo nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani