MZOGA WA NYANGUMI WAIBUKA PWANI YA MTWARA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-JYtiWlygMoY/VAzFuGKPn6I/AAAAAAAGhVY/T8weiD8Jls0/s72-c/f6725c0e2bb75dead8ad32ae0caa1905%2B(1).jpg)
Mzoga wa samaki aina ya nyangumi umeibuka katika pwani ya Mtwara leo baada ya kukutwa ukielea bahari kuu na wavuvi. Mzoga huo ulivutwa hadi pwani kwa mshangao wa wananchi. Taarifa kamili ya tukio hilo zinatafutwa kwa sasa angalkia taswira za mzoga huo
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nd24W9ECLPNgRU5iJq9GuicZ7lcbrgSjkRcp39fE4VvK5yP2zpzjaAEXpIGLQVx3s28CE560t9jgDuqxDlykJxVwJNAKOjh2/NYANGUMI.jpg?width=650)
TAZAMA PICHA ZA NYANGUMI ALIYEIBUKA PWANI YA MTWARA
9 years ago
BBCSwahili23 Dec
Mzoga wa nyangumi wapatikana ufukweni
10 years ago
BBCSwahili04 Nov
Nilikuwa mjinga aliyepanda mzoga wa nyangumi
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Nyangumi wa tani 30 aonekana Mtwara
WAKAZI wa Msangamkuu, Mtwara Mjini mkoani Mtwara na vitongoji vyake, jana walimiminika katika pwani ya Bahari ya Hindi kumshangaa samaki aina ya Nyangumi mwenye urefu wa futi 48 na tani...
10 years ago
Mwananchi09 Sep
Nyangumi aliyevuliwa Mtwara awa kivutio
10 years ago
Vijimambo07 Oct
Ugonjwa mpya waibuka Mtwara
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Waziri-Wa-Afya--Ocxtober7-2014.jpg)
Ugonjwa uliodhaniwa kuwa ni surua, ulioibuka katika shule ya Msingi Mkoma1, Kata ya Mnikachi wilaya ya Newala, Mtwara, imebainika siyo surua baada ya sampuli zilizochunguzwa kuonesha kuwa ugonjwa huo ni rubella.
Dalili za ugonjwa huo zinazodaiwa kuwa sawa na ugonjwa wa surua zimeelezwa kuwa ni pamoja na kuwashwa macho, homa, kuharisha, ngozi kuwasha, vipele, kubabuka midomo, mafua, kuumwa tumbo, ngozi kukakamaa pamoja na kupoteza hamu ya...
11 years ago
Habarileo08 Aug
Homa ya malale yaenea Lindi, Mtwara, Pwani
MIKOA ya Lindi, Mtwara na Pwani inakabiliwa na magonjwa ya malale kwa upande wa binadamu na Nagama kwa mifugo, kutokana kuwapo maambukizi ya vijidudu vitokanavyo na mifugo.
5 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI MGALU ASEMA BOMBA LA GESI KUVINUFAISHA VIWANDA VIPYA 50 PWANI,DAR NA MTWARA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CtBy_0HfB-s/VO13X40NuUI/AAAAAAAHFxY/Iy7NNVikRac/s72-c/unnamed%2B(46).jpg)
NAIBU WAZIRI WA NISAHATI NA MADINI AKUTANA NA MAMENEJA WA TANESCO,MKOA LINDI, MTWARA, PWANI NA DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-CtBy_0HfB-s/VO13X40NuUI/AAAAAAAHFxY/Iy7NNVikRac/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ElIA4ntlnE4/VO13X4gTJpI/AAAAAAAHFxM/PHbFDEwohBg/s1600/unnamed%2B(47).jpg)