Homa ya malale yaenea Lindi, Mtwara, Pwani
MIKOA ya Lindi, Mtwara na Pwani inakabiliwa na magonjwa ya malale kwa upande wa binadamu na Nagama kwa mifugo, kutokana kuwapo maambukizi ya vijidudu vitokanavyo na mifugo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CtBy_0HfB-s/VO13X40NuUI/AAAAAAAHFxY/Iy7NNVikRac/s72-c/unnamed%2B(46).jpg)
NAIBU WAZIRI WA NISAHATI NA MADINI AKUTANA NA MAMENEJA WA TANESCO,MKOA LINDI, MTWARA, PWANI NA DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-CtBy_0HfB-s/VO13X40NuUI/AAAAAAAHFxY/Iy7NNVikRac/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ElIA4ntlnE4/VO13X4gTJpI/AAAAAAAHFxM/PHbFDEwohBg/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
10 years ago
Michuzi03 Jan
10 years ago
VijimamboTPDC YATOA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA KUTOKA MADIMBA MTWARA,SONGO SONGO LINDI NA PWANI HADI DAR ES SALAAM.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4zse40b1aWM/U77l1lCQH6I/AAAAAAAF0nA/m0rKPRSjI0k/s72-c/pinda1504.jpg)
Wakazi wa Mtwara na Lindi kushuhudia fursa za Utalii na Uchumi kupitia Tamasha la Utamaduni la Mtwara,Waziri mkuu pinda kuwa mgeni rasmi.
![](http://1.bp.blogspot.com/-4zse40b1aWM/U77l1lCQH6I/AAAAAAAF0nA/m0rKPRSjI0k/s1600/pinda1504.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda.
Tamasha la Mkoa wa Mtwara, ‘Mtwara Festival’, linatarajia kufungua milango ya fursa kwa wakazi wa mikoa ya Mtwara na Lindi katika kuziona fursa kadhaa kwenye sekta ya Utalii na Uchumi.Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika kwa siku mbili kuanzia mwezi Agosti 16 na 17 mwaka huu kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona ulipo Mtwara mjini. Mgeni rasmi katika Tamasha hilo anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda huku likiwa na kauli mbiu isemayo ‘Fursa Zimefunguka,...
11 years ago
IPPmedia14 May
NIDA: Lindi, Mtwara next in registration
IPPmedia
The National Identification Authority (NIDA) is to begin registering residents of Lindi and Mtwara regions after completion of the exercise in Pemba and Unguja Islands which started in February this year. NIDA Head of Communications, Thomas William told ...
11 years ago
Habarileo15 Jan
Mtwara,Lindi kuwa ya kisasa
UCHUMI wa gesi unaotarajiwa kuinua maisha ya Watanzania, umesababisha Rais Jakaya Kikwete kuagiza maandalizi ya haraka ya ujenzi wa majiji ya kisasa katika miji ya Mtwara na Lindi. Akizungumza juzi na Waziri wa Nyumba, Makazi na Maendeleo ya Miji na Vijiji wa China, Jiang Weixin Ikulu, Zanzibar, Rais Kikwete aliomba nchi hiyo kusaidia kupanga miji ya kimkakati ya Mtwara, Lindi na Kigamboni, Dar es Salaam.
10 years ago
Habarileo03 Sep
Mabasi chakavu yapelekwa Lindi, Mtwara
OPERESHENI maalumu iliyofanywa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imebaini mabasi yanayokwenda katika mikoa ya kusini mengi yamechakaa na hakuna basi la daraja la kwanza.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-QwL3meGMo9I/VGXO-kGJdKI/AAAAAAAAS-s/hVtERESHCmg/s72-c/uh.jpg)
KINANA KUANZA ZIARA LINDI NA MTWARA
![](http://4.bp.blogspot.com/-QwL3meGMo9I/VGXO-kGJdKI/AAAAAAAAS-s/hVtERESHCmg/s1600/uh.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana anatarajia kufanya ziara katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
Akiongea na waandishi wa habari katika ukumbi wa Sekretarieti,Lumumba jijini Dar es salaam Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye alisema kuwa Ziara hiyo ni mwendelezo wa ziara za Sekretarieti ya Halmashauri Kuu Taifa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-CM_eh6OgOrc/VYHNgeXzQKI/AAAAAAAAVBg/TABNkEINlMw/s72-c/Mtwara%2Bdua.jpg)
LOWASSA APATA WADHAMINI LINDI, MTWARA
![](http://1.bp.blogspot.com/-CM_eh6OgOrc/VYHNgeXzQKI/AAAAAAAAVBg/TABNkEINlMw/s640/Mtwara%2Bdua.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SGq4qiH5gGg/VYHNhpliqmI/AAAAAAAAVBo/4rLyPWMTFHs/s640/Lowassa_Mwana%2BCCM%2Bmtwara.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3_ZDdYUV514/VYHNlIfplRI/AAAAAAAAVBw/FqDNBWH9Frs/s640/Lowassa_sheikh.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5Z36lqbSkx4/VYHNzLW-eiI/AAAAAAAAVCM/zlt0gGVPJfU/s640/Lindi4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yyRjc_MBV-o/VYHNssR41PI/AAAAAAAAVB4/2_T8Xo_PkLI/s640/CCM_Lindi.jpg)