Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAZAMA PICHA ZA NYANGUMI ALIYEIBUKA PWANI YA MTWARA

Mzoga wa samaki aina ya nyangumi ukiwa katika pwani ya Bahari ya Hindi mkoani Mtwara baada ya kuvutwa ukielea majini na wavuvi wa Kata ya Msangamkuu. Mzoga huo una urefu wa futi 48 na uzito unaokadiriwa kuwa zaidi ya tani 30. Wananchi kutoka katika Kata ya Msangamkuu,…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MZOGA WA NYANGUMI WAIBUKA PWANI YA MTWARA LEO

Mzoga wa samaki aina ya nyangumi umeibuka katika pwani ya Mtwara leo baada ya kukutwa ukielea bahari kuu na wavuvi. Mzoga huo ulivutwa hadi pwani kwa mshangao wa wananchi. Taarifa kamili ya tukio hilo zinatafutwa kwa sasa angalkia taswira za mzoga huo



 

10 years ago

Tanzania Daima

Nyangumi wa tani 30 aonekana Mtwara

WAKAZI wa Msangamkuu, Mtwara Mjini mkoani Mtwara na vitongoji vyake, jana walimiminika katika pwani ya Bahari ya Hindi kumshangaa samaki aina ya Nyangumi mwenye urefu wa futi 48 na tani...

 

10 years ago

Mwananchi

Nyangumi aliyevuliwa Mtwara awa kivutio

Samaki aina ya nyangumi aliyetegwa na wavuvi hadi kufa katika Pwani ya Kata ya Msangamkuu, Wilaya ya Mtwara amegeuka kuwa kivutio baada ya wananchi kutoka sehemu mbalimbali kujazana katika eneo hilo kumwona.

 

10 years ago

Africanjam.Com

PICHA: TAZAMA PICHA ZA ZINEDINE ZIDANE ENZI ZA UTOTO/UJANA WAKE

2Zinedine Zidane a.k.a Zizou amezaliwa June 23 mwaka 1972 na hadi leo amefikisha miaka 43. Zidane ameoa mwaka 1994 mke wake anaitwa Veronique Zidane. Hadi leo wana watoto wanne ambao ni Enzo Fernandez, Theo Zidane, Elyaz Zidane, Luca Zidane.Happy Birthday To Fundi Zizou.
13
enzokombezizi

 

10 years ago

Africanjam.Com

PICHA: TAZAMA PICHA 37 ZA YALIYOJIRI KWENYE "ZARI ALL WHITE PARTY"

Tweet





Wasanii wa Yamoto Band wakiwa wametulia tayari kwa shoo

Mpiga Picha Mkuu wa Global Publishers, Richard Bukos (kati) akipozi na watangazaji Sauda Mwilima wa Star TV(kulia) na Khadija Shaibu 'Dida' wa Times FM.

Wanausalama wakiwaondoa baadhi ya watu waliokosa tiketi



DSC_2862IMG_4432DSC_2512IMG_4344DSC_2824IMG_4407DSC_2765IMG_4299
.IMG_4300IMG_4304
Khamis DakotaIMG_4306
.IMG_4307
IMG_4313
.IMG_4325IMG_4347DSC_3307WCB IIWCB IIIDSC_2777DSC_2788DSC_2803DSC_2837DSC_2821DSC_2859DSC_2862DSC_2592DSC_2869DSC_3131DSC_2713



Source : www.globalpublishers.info               www.millardayo.com

 

11 years ago

Bongo Movies

PICHA: Tazama picha tano (5) kali sana za mwanadada Elizabeth Michael a.k.a LULU. Utazipenda.

Picha kwa hisani ya blog ya http://www.domozege.blogspot.com

 

11 years ago

Habarileo

Homa ya malale yaenea Lindi, Mtwara, Pwani

MIKOA ya Lindi, Mtwara na Pwani inakabiliwa na magonjwa ya malale kwa upande wa binadamu na Nagama kwa mifugo, kutokana kuwapo maambukizi ya vijidudu vitokanavyo na mifugo.

 

10 years ago

Vijimambo

TAZAMA UJAUZITO WA ZARI ULIVYOKUA (PICHA)

Siku zilizosalia za Diamond kuitwa ‘baba’ zinaendelea kuyoyoma. Zari The Bosslady, mchumba wake staa huyo wa ‘Mdogo Mdogo’ anayetarajia kumpa mtoto wake wa kwanza ameendelea kuonekana kama wasemavyo waingereza ‘very pregnant’. 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani