Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nilikuwa mjinga aliyepanda mzoga wa nyangumi

Mwanaume aliyepigwa picha akiwa amepanda mzoga wa nyangumi amesema kuwa ilikuwa ni ujinga uliompelekea kuhatarisha maisha yake .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mzoga wa nyangumi wapatikana ufukweni

Mzoga wa nyangumi umepatikana ufukweni nje ya mji Capetown Afrika Kusini.

 

10 years ago

Michuzi

MZOGA WA NYANGUMI WAIBUKA PWANI YA MTWARA LEO

Mzoga wa samaki aina ya nyangumi umeibuka katika pwani ya Mtwara leo baada ya kukutwa ukielea bahari kuu na wavuvi. Mzoga huo ulivutwa hadi pwani kwa mshangao wa wananchi. Taarifa kamili ya tukio hilo zinatafutwa kwa sasa angalkia taswira za mzoga huo



 

10 years ago

Mwananchi

Kweli mkataa kwao ni mjinga

Vijana wa Carribean waliathirika sana na mabadiliko yaliyokuwa yakitokea katika nchi za Ulaya na Marekani. Wao walikuwa masikini sana ukizingatia nchi zao hazikuwa zao kiasilia. Babu na Bibi zao walitupwa pale kama watumwa huru baada ya kutumika kwa muda mrefu huko Ulaya. Hawakuweza kuweka misingi thabiti ya maendeleo kama ile iliyofanywa Ulaya kwa karne nyingi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho:Daktari'mjinga' hatakuwepo uwanjani

Meneja wa Chelsea manager Jose Mourinho amekariri msimamo wake dhidi ya kitengo cha utabibu cha timu yake.

 

11 years ago

BBCSwahili

Apokezwa jeneza lenye mzoga wa Paka

Familia ya afisaa mmoja wa Elimu nchini Kenya imeshangazwa kwa kupata jeneza dogo likiwa limewekwa nje ya mlango wao mjini Kisumu

 

10 years ago

Tanzania Daima

Nyangumi wa tani 30 aonekana Mtwara

WAKAZI wa Msangamkuu, Mtwara Mjini mkoani Mtwara na vitongoji vyake, jana walimiminika katika pwani ya Bahari ya Hindi kumshangaa samaki aina ya Nyangumi mwenye urefu wa futi 48 na tani...

 

10 years ago

Vijimambo

NYANGUMI MWINGINE AONEKANA UFUKWENI PEMBA

Wafanyakazi wa Uvuvi pemba wakimpima Nyangumi aliyeonekana Pemba akiwa ameanguka ufukwe wa bahari wa shamiani.
Wananchi wakikata minufo ya Nyangumi aliyeangukia katika ufukwe wa bahari ya Pemba maeneo ya shamiani, kama wanavyoonekana pichani wakiwa katika harakati hizo.

 

10 years ago

Mwananchi

Nyangumi aliyevuliwa Mtwara awa kivutio

Samaki aina ya nyangumi aliyetegwa na wavuvi hadi kufa katika Pwani ya Kata ya Msangamkuu, Wilaya ya Mtwara amegeuka kuwa kivutio baada ya wananchi kutoka sehemu mbalimbali kujazana katika eneo hilo kumwona.

 

10 years ago

GPL

TAZAMA PICHA ZA NYANGUMI ALIYEIBUKA PWANI YA MTWARA

Mzoga wa samaki aina ya nyangumi ukiwa katika pwani ya Bahari ya Hindi mkoani Mtwara baada ya kuvutwa ukielea majini na wavuvi wa Kata ya Msangamkuu. Mzoga huo una urefu wa futi 48 na uzito unaokadiriwa kuwa zaidi ya tani 30. Wananchi kutoka katika Kata ya Msangamkuu,…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani