Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yasisitiza matumizi ya ya vyeti halisi wakati wa uombaji wa kazi Sekretariati ya Ajira

Kaimu Katibu

Naibu Katibu Kitengo cha Udhibiti na Ubora toka Ofisi ya Rais, Sekretariat ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Humphrey Mniachi akiongea na waandishi wa Habari (Hawapo Pichani)Jinsi wanavyoshirikiana na Vyombo vingine serikalini katika Mchakato wa Ajira,wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Ofisi Hiyo Bi. Riziki Abraham.

rIZIKI Abraham

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano toka Ofisi ya Rais, Sekretariat ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bi. Riziki...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

TAEC yasisitiza Uombaji Vibali wa Njia ya Mtandao

Wadau na wafanyabiashara nchini wamesisitizwa kupata vibali vya vipimo vya mionzi vinavyotolewa na Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) kwa njia ya mfumo wa kieletroni kila mara wanapoingiza na kusafirisha bidhaa ndani na nje ya nchi.

Wito huo umetolewa na Mkuu wa Idara ya Ufundi na Kinga ya Mionzi wa TAEC, Bwana Yesaya Sungita katika mahojiano maalumu kuhusiana na utoaji wa vibali hivyo unaofanyika sasa kwa njia ya mtandao.

Utoaji wa vibali hivyo kwa njia ya mtandao umeanza tokea tarehe...

 

5 years ago

Michuzi

Serikali yasisitiza matumizi sahihi ya Kiswahili


Na Eleuteri Mangi, WHUSM, Dodoma.

Katika hali ya kawaida herufi huunda neno na maneno huunda sentensi nayo sentensi huunda kikundi cha maneno. Kwa kawaida neno ni tamko mojawapo miongoni mwa mengi ambalo mtu hulitamka katika mchakato wa mazungumzo unaopelekea iwepo misemo ambayo ni fungu la maneno yenye maana mahususi ili kutoa fundisho kwa jamii.

Kwa mantiki hiyo, semi ni maneno yanayozungumzwa na watu yanayoleta maana mahususi katika lugha inayozungumzwa katika eneo fulani. Kiswahili ikiwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yasisitiza matumizi ya takwimu sahihi

NBS -1

Kaimu Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Ofisi Bw. Michael Madembwe akizungumza na wazalishaji na watumiaji wa takwimu leo jijini Dar es salaam. Warsha hiyo imewakutanisha wadau hao  kutoka maeneo mbalimbali nchini, kubadilishana uzoefu na kuangalia changamoto mbalimbali zinazojitokeza katika usambazaji na ukusanyaji wa takwimu nchini.

Na  Aron Msigwa

SERIKALI imetoa wito kwa watafiti na wataalam kutoka vyuo vikuu, taasisi za elimu na mashirika binafsi kushiriki kikamilifu kuhamasisha  jamii...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YASISITIZA MATUMIZI YA TAKWIMU SAHIHI

Kaimu Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Ofisi Bw. Michael Madembwe akizungumza na wazalishaji na watumiaji wa takwimu leo jijini Dar es salaam. Warsha hiyo imewakutanisha wadau hao kutoka maeneo mbalimbali nchini, kubadilishana uzoefu na kuangalia changamoto mbalimbali zinazojitokeza katika usambazaji na ukusanyaji wa takwimu nchini. Kamishna wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012, Hajjat Amina Mrisho Said akifungua warsha ya siku mbili ya wazalishaji na watumiaji wa takwimu kutoka ...

 

11 years ago

Dewji Blog

Serikali yasisitiza utekelezaji wa Sheria ya usambazaji na uuzaji wa kazi za Filamu na Muziki

IMG_8798

Mkurugenzi Sera na Utafiti wa TRA Bw. Tonedeus Muganyizi akizungumza na wana umoja wa uingizaji na uuzaji wa kazi za filamu na muziki zinazotoka nchi za nje wakati wa kikao cha wafanyabiashara hao na asasi zinazosimamia usambazaji na uuzaji wa kazi za filamu na muziki jana jijini Dar es Salaam.

IMG_8698

Wadau mbalimbali wakijadiliana wakati wa kikao cha wafanyabiashara na asasi zinazosimamia usambazaji na uuzaji wa kazi za filamu na muziki jana jijini Dar es Salaam.

IMG_8787

Wana umoja wa kuingiza na kuuza...

 

11 years ago

Michuzi

Serikali yasisitiza utekelezaji wa Sheria ya usambazaji na uuzaji wa kazi za Filamu na Muziki.

Mkurugenzi Sera na Utafiti wa TRA Bw. Tonedeus Muganyizi akizungumza na wana umoja wa uingizaji na uuzaji wa kazi za filamu na muziki zinazotoka nchi za nje wakati wa kikao cha wafanyabiashara hao na asasi zinazosimamia usambazaji na uuzaji wa kazi za filamu na muziki jana jijini Dar es Salaam. Wadau mbalimbali wakijadiliana wakati wa kikao cha wafanyabiashara na asasi zinazosimamia usambazaji na uuzaji wa kazi za filamu na muziki jana jijini Dar es Salaam.
Na Genofeva Matemu – Afisa...

 

10 years ago

Vijimambo

HOTUBA YA MHE. CECILIA PARESSO (MB), MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI WIZARA YA KAZI NA AJIRA KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2015/16


Mhe. Cecilia Daniel Paresso (MB).
(Inatolewa kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu za Bunge kanuni ya 99(9) toleo la mwaka 2013).
1.0 UtanguliziMheshimiwa Spika,Kwanza napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuendelea kunilinda na kunitunza ili niweze kutumikia Taifa langu. Napenda kuishukuru familia yangu kwa msaada mkubwa na uvumilivu hasa ninapokuwa katika shughuli zangu za kisiasa.
Mheshimiwa Spika, Napenda kutumia fursa hii, kuwashukuru watanzania wote kwa kupokea na kulea harakati za mabadiliko...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani