TAEC yasisitiza Uombaji Vibali wa Njia ya Mtandao
![](https://1.bp.blogspot.com/-cx2aTeOQj4w/XsfG7UolIvI/AAAAAAALrQc/K-t6BWpOXuMg1kBP2I7wU91bKHb1VM1xQCLcBGAsYHQ/s72-c/14448333-ae4f-47d0-8e30-a4c2b8741249.jpg)
Wadau na wafanyabiashara nchini wamesisitizwa kupata vibali vya vipimo vya mionzi vinavyotolewa na Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) kwa njia ya mfumo wa kieletroni kila mara wanapoingiza na kusafirisha bidhaa ndani na nje ya nchi.
Wito huo umetolewa na Mkuu wa Idara ya Ufundi na Kinga ya Mionzi wa TAEC, Bwana Yesaya Sungita katika mahojiano maalumu kuhusiana na utoaji wa vibali hivyo unaofanyika sasa kwa njia ya mtandao.
Utoaji wa vibali hivyo kwa njia ya mtandao umeanza tokea tarehe...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog27 Aug
Serikali yasisitiza matumizi ya ya vyeti halisi wakati wa uombaji wa kazi Sekretariati ya Ajira
Naibu Katibu Kitengo cha Udhibiti na Ubora toka Ofisi ya Rais, Sekretariat ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Humphrey Mniachi akiongea na waandishi wa Habari (Hawapo Pichani)Jinsi wanavyoshirikiana na Vyombo vingine serikalini katika Mchakato wa Ajira,wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Ofisi Hiyo Bi. Riziki Abraham.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano toka Ofisi ya Rais, Sekretariat ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bi. Riziki...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/GreO8RvjRSs/default.jpg)
10 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-q0-IndEQziU/U_ZWwpntxrI/AAAAAAAAA34/qU8zWRWkQUU/s72-c/1.jpg)
UCHAMBUZI: NJIA ZA KUPAMBANA NA UHALIFU MTANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-q0-IndEQziU/U_ZWwpntxrI/AAAAAAAAA34/qU8zWRWkQUU/s1600/1.jpg)
Jibu ni kwamba hivi sasa uhalifu mtandao umeendelea kukua huku...
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Tiba ya saratani kutolewa kwa njia ya mtandao
11 years ago
Uhuru Newspaper16 Jun
UDA kuuza tiketi kwa njia ya mtandao
Na Mwandishi Wetu,
KAMPUNI ya Simon Group Limited inayomiliki Shirika la Usafirishaji Dar es Salaam (UDA) imetangaza kuanza mpango wa kuuza tiketi kwa njia ya mtandao ili kuondoa msongmano na adha kwa watumiaji.
Mbali ya hatua hiyo, imesisitiza dhamira yake ya kuboresha sekta ya usafiri katika Jiji la Dar es Salaam licha ya kampeni zinazoendelea kutoka kwa washindani binafsi ikiwa na lengo la kuvuruga mpango unaoendelea wa uwezekezaji katika Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) ili waweze...
9 years ago
YkileoZIFAHAMU NJIA MADHUBUTI YA KUKABILIANA NA UHALIFU MTANDAO
Leo nitaangazia njia ambayo imeshika nafasi ya juu na imeonekana na uwezo mkubwa wa kuhimili uhalifu mtandao...
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Changamoto za miamala ya fedha kwa njia ya mtandao- 2
9 years ago
MichuziIFAHAMU NJIA MADHUBUTI YA KUKABILIANA NA UHALIFU MTANDAO
Naimani Mwaka huu Tanzania ita uchukulia mwezi huu...
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Msomi abuni twisheni kwa njia ya mtandao